Beating the Drum on One Side: Confusing the People on Both Sides

Beating the Drum on One Side: Confusing the People on Both Sides

Lady FaizaFoxy, sasa taka leta tania ndani ya kazi? Sisi iko kazini hapa! Karim Bhai nafenza tani ndani ya kazi leta Nyang'au ya Kericho ndani Kijiji ya Tanganyika pigana na Germans alafu sema yeye fanya 'kosa ya chiku'!! Hebu fikiri sasa mimi na wewe takubali kweli? Wewe kuona hapo ipo 4 ghosts yeye kaweka badae natumia as hypothesis kufanya criticism kwa Prof. Mohammad Said, sasa yeye fikiria sisi kula chana bateta ya jumbani yake rahisi rahisi si ndio? Pls kumpa salam ile kijana Matola. Yeye taka learn English basi akuje pale Gerezani Sikh Temple yetu tasaidia sisi peleka fanye course moja ile TOEFL.
Pls sicheke sana mimi kujua swahili zaidi kupita kaka yangu Bhipin Bhai.
Asanta sana.

kosa la kitoto = "kosa ya chiku" teh teh teh... mbavu zangu
 
Umerudi? ulikimbia humu, sasa huyo kasema nini cha kukufurahisha sana? kajiaibisha kutokujuwa Kiingereza kataka eti kunikosoa kitu ambacho hakielewi, ni kama wewe ulipokuja dai eti unataka kujuwa "sampling" imefanywa wapi? Khaa sampling! kwenye historia?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?

Naam mama yetu, kwa kweli yule aliezua swala la sampling, sijui methodology katuchekesha sana, labda hajamsoma huyo Kothari aliyemnunua kwa ajili hiyo vizuri, au alitaka labda Al A'lama Mohamed Said afanye ma analysis kwa ma STATA, SPSS alete ma regression models mi chi squares kwenye Historical Research. Kothari anatwambia "Historical research is thatwhich utilizes historical sources like documents, remains, etc. to study events or ideas ofthe past, including the philosophy of persons and groups at any remote point of time". Mostly ni kama Library Research ambapo wakaa zako chini kuchambua Recording of notes, Content analysis, Tape and Film listening. Na kwa hayo nina Uhakika kuwa Sheikh Mohammed Said kayafanya sana kama Reference zake zinavyobainisha. Data presentation ambayo nafikiri mwanahistoria anaweza kuifanya ku illustrate narration yake ni kwa kutumia frequency distribution tables with some percentages, maybe na baadhi ya charts (ila si kwa hypothetical data. Historical premises and inferences are built and made from concrete facts na si data zisizo na uhakika). Kwa kumrudisha Shule ndugu yetu yule, huyu hapa Kothari
 
Last edited by a moderator:
Mojamed Said njoo hapa uthibitishie vijana kuwa takwimu si zako, zimebuniwa. Nakuonya ukijaribu kupindisha ukweli nachukua iliyobaki, maana hadi sasa ni surual mkononi!

Mbona nguruvi3 unapata tabu sana! unafunga banda farasi wameshatoka zamaaani.

Unanchekesha! - by faizafoxy ( Madrasa product)
 
Halfu nawapa kifungua kinywa cha takwimu mahususi zakitaalam zilizofanywa na Mohamed Said, halafu tutaongee nikirudi kutoka shamba.

By Mohamed Said Salum

Table 1

Selection of Std.VII Pupils to Form I in Dar es Salaam Region 1978 -1981
Year Total Selected Muslims Percentage of
Muslims Selected
1978 956 216 23
1979 903 194 22
1980 1071 247 23

Source: Dar es Salaam City Council, Department of Education.

NB: In 1967 census Muslims in Dar es Salaam Region were 67%, therefore thenumber of Muslim students in Dar es Salaam Primary Schools is greater than thatof Christians. This should have reflected in the selection.
Watu wanafukia huu uozo! Mohamed Said anajua kuingia chuko kikuu ni sawa na kupanda basi

Mohamed anasema eti idadi ya wanafunzi ilitakiwa iwe reflected katika sekondari na vyuo.

Huyu hajiulizi, wangapi waliandikishwa shule, wangapi walihudhuria, wangapi walipata mafunzo bora, wangapi walihitimu na wangapi waliachia njiani, au walimaliza tu kwa idadi.

Haya ni maswali very basic ambayo mtafiti wa kweli na siyo liar, alipaswa kujiuliza.
Mohamed akachukua data nyingine kutoka katika vigazeti akasema ni takwimu

Halafu hakuna analysis yoyote kuhusu hizo data mbili, akafikia conclusion

Unajua kuna jambo watu hawajui, hizi kazi za ubabaishaji na upotoshaji zinapoteza jamii na taifa kwa ujumla.

Leo wapo wanaoamini uvundo huu na masikini wameacha kujishughulisha wakijua Mohamed Said kawaambia ukweli

Tusimame pamoja tukartae wababishaji kama hawa.

Hizi data hata Fom6 hapaswi kuzifanyia kazi.

Hizi si data maana hata mwenyewe hawezi kuja hapa kutetea, amekimbia anajificha! anajua alichoandika ni Urongo

Mohamed Omba radhi kwa upotoshaji huu wa kizazi, omba radhi jamii ya wasomi kwa dhalili hii

Mimi naongea nawe, kwasababu ulipokuwa mtoni nilikuonya usioge na watoto, umeniita nimekuja !

Njoo hapa utetee uongo wako mweneywe. Mtu mzima unatutupia makapi ukidhani sote ni wapuuzi wa kumeza!

Njoo japa usikimbie
 
Watu wanafukia huu uozo! Mohamed Said anajua kuingia chuko kikuu ni sawa na kupanda basi

Mohamed anasema eti idadi ya wanafunzi ilitakiwa iwe reflected katika sekondari na vyuo.

Huyu hajiulizi, wangapi waliandikishwa shule, wangapi walihudhuria, wangapi walipata mafunzo bora, wangapi walihitimu na wangapi waliachia njiani, au walimaliza tu kwa idadi.

Haya ni maswali very basic ambayo mtafiti wa kweli na siyo liar, alipaswa kujiuliza.
Mohamed akachukua data nyingine kutoka katika vigazeti akasema ni takwimu

Halafu hakuna analysis yoyote kuhusu hizo data mbili, akafikia conclusion

Unajua kuna jambo watu hawajui, hizi kazi za ubabaishaji na upotoshaji zinapoteza jamii na taifa kwa ujumla.

Leo wapo wanaoamini uvundo huu na masikini wameacha kujishughulisha wakijua Mohamed Said kawaambia ukweli

Tusimame pamoja tukartae wababishaji kama hawa.

Hizi data hata Fom6 hapaswi kuzifanyia kazi.

Hizi si data maana hata mwenyewe hawezi kuja hapa kutetea, amekimbia anajificha! anajua alichoandika ni Urongo

Mohamed Omba radhi kwa upotoshaji huu wa kizazi, omba radhi jamii ya wasomi kwa dhalili hii

Mimi naongea nawe, kwasababu ulipokuwa mtoni nilikuonya usioge na watoto, umeniita nimekuja !

Njoo hapa utetee uongo wako mweneywe. Mtu mzima unatutupia makapi ukidhani sote ni wapuuzi wa kumeza!

Njoo japa usikimbie

Amma kwa hakika umeniacha hoi kwa kucheka, unajijibu mwenyewe post yako?

Source: Dar es Salaam City Council, Department of Education.

Ndute kaingia mitini kabaki mbwambwambwa na solo show.
 
Vipi makabrasha yaliyo na paya hujayaona? maana naona unahaha lakini kuonesha hizo data umezitoa wapi unashindwa.

Umeiona ze komedi ya Hirji? au umeikimbia? https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/810292-proffessor-karim-or-the-comedy-of-errors.html
Anayepaswa kuja kusema ni kweli au si kweli ni Mohamed Said

Mimi naongea naye sasa maana nilimwambia atoke mtoni, watoto wanachafua maji hatatakata, alichokifanya ni matusi akiwa na vijana. Nimekuja hapa amekimbia maana data zake mwenyewe anaona haya! RTulimwambia miaka 3 iliyopita kuwa uongo ni jambo baya sana.

Nilichukua kila hadhari kumwambia, ya habib hili si jema. Tukamweleza takwimu zinakuwaje, lakini Mohamed haelewei.

Fikiria mtu anasema TAA ilianzishwa na Sykes! Tulimktaza kiutu uzima lakini muongo haachi asili, kila akirudi anakuja na uongo ule ule. Sasa nipo hapa hakika nitamwaga data zake! naangalia makabrasha yangu, moja limeliwa na panya lakini linasomeka

Muulize Mohamed kama data si zake!
 
Mohamed njoo utetee data zako, usisubiri vijana wachafue uzi, mimi naongee na wewe!

Huwezi kunialika halafu ukaniacha sebuleni ukiwa umejificha...

Njoo ueleze, kisayansi unaweza kutumia data za Daily news, habari leo, uwazi m risasi mchanganyiko kuandika paper ya maana

Kuja hapa wakenya wanasema, na nitafumua zaidi ukiendelea kujificha.

Unafahamu wazi nina hazina ya maandishi yako! you know that.
 
Naam mama yetu, kwa kweli yule aliezua swala la sampling, sijui methodology katuchekesha sana, labda hajamsoma huyo Kothari aliyemnunua kwa ajili hiyo vizuri, au alitaka labda Al A'lama Mohamed Said afanye ma analysis kwa ma STATA, SPSS alete ma regression models mi chi squares kwenye Historical Research. Kothari anatwambia "Historical research is thatwhich utilizes historical sources like documents, remains, etc. to study events or ideas ofthe past, including the philosophy of persons and groups at any remote point of time". Mostly ni kama Library Research ambapo wakaa zako chini kuchambua Recording of notes, Content analysis, Tape and Film listening. Na kwa hayo nina Uhakika kuwa Sheikh Mohammed Said kayafanya sana kama Reference zake zinavyobainisha. Data presentation ambayo nafikiri mwanahistoria anaweza kuifanya ku illustrate narration yake ni kwa kutumia frequency distribution tables with some percentages, maybe na baadhi ya charts (ila si kwa hypothetical data. Historical premises and inferences are built and made from concrete facts na si data zisizo na uhakika). Kwa kumrudisha Shule ndugu yetu yule, huyu hapa Kothari

Ndio shida yenu, sasa hapa umeandika nini?, Historical Research ndio mdudu gani? Au ulimaanisha kufanya research kwa kutumia Historical method?, Unasema Historical research ni Library Research? Haya madudu peleka dustbin, kajisomee zaidi halafu urudi hapa. Na huyo Kothari wako.
 
Last edited by a moderator:
Kwani Basil Davidson ambae sio Prof wa History, nae amedandia treni kwa mbele?, Ritz ngoja nkufundishe maana umeshindwa kuelewa sasa unatapa tapa, hatuandiki Peper, tunaandika Paper, tena ulirudia kuandika mara mbili, kumaanisha kwamba ulikua hujui, sasa ole wako urudie tena, kwih kwih kwih.
Na mimi ngoja nikufundushe siyo nkufundishe.

Siku ingine andika Dictionary siyo Dikshenari.

Kwi kwi kwi teh teh teh
 
Last edited by a moderator:
Anayepaswa kuja kusema ni kweli au si kweli ni Mohamed Said

Mimi naongea naye sasa maana nilimwambia atoke mtoni, watoto wanachafua maji hatatakata, alichokifanya ni matusi akiwa na vijana. Nimekuja hapa amekimbia maana data zake mwenyewe anaona haya! RTulimwambia miaka 3 iliyopita kuwa uongo ni jambo baya sana.

Nilichukua kila hadhari kumwambia, ya habib hili si jema. Tukamweleza takwimu zinakuwaje, lakini Mohamed haelewei.

Fikiria mtu anasema TAA ilianzishwa na Sykes! Tulimktaza kiutu uzima lakini muongo haachi asili, kila akirudi anakuja na uongo ule ule. Sasa nipo hapa hakika nitamwaga data zake! naangalia makabrasha yangu, moja limeliwa na panya lakini linasomeka

Muulize Mohamed kama data si zake!

Nikikusoma nazidi kucheka, ohh Punjab Singh, bhaijan jii, please come and advice our Mr. Nguruvi3 in Kiswahili where to find the "Panya Bukus" who ate his kabrashas. He found neither the bukus nor the kabrashas yet.
 
Sheikh Ilunga anawasuta toka kaburini

 
Last edited by a moderator:
Mohamed njoo utetee data zako, usisubiri vijana wachafue uzi, mimi naongee na wewe!

Huwezi kunialika halafu ukaniacha sebuleni ukiwa umejificha...

Njoo ueleze, kisayansi unaweza kutumia data za Daily news, habari leo, uwazi m risasi mchanganyiko kuandika paper ya maana

Kuja hapa wakenya wanasema, na nitafumua zaidi ukiendelea kujificha.

Unafahamu wazi nina hazina ya maandishi yako! you know that.
Weka link Prof Nguruvi3.

Huu uzi hauwezi kuchafuka tuwasaidie Mods ku report. Unashindwa nini kuweka link.

Au makabrasha yameliwa na panya buku.
 
Last edited by a moderator:
Na mimi ngoja nikufundushe siyo nkufundishe.

Siku ingine andika Dictionary siyo Dikshenari.

Kwi kwi kwi teh teh teh

Huyo GAUTAMA kumuombea kote hasadifiki? kumbe mwenyewe anayapenda.
 
Last edited by a moderator:
Na mimi ngoja nikufundushe siyo nkufundishe.

Siku ingine andika Dictionary siyo Dikshenari.

Kwi kwi kwi teh teh teh

Teh teh Mkuu Ritz kuna mnakasha mwingine umeanzishwa huko upande wa Pili, naomba FF akupe taarifa, Mungu akijaalia tukutane huko, Msomi wenu kaandika Lugaro fort, hivi hii unaijua? Nitakufunza
 
Last edited by a moderator:
Weka link Prof Nguruvi3.

Huu uzi hauwezi kuchafuka tuwasaidie Mods ku report. Unashindwa nini kuweka link.

Au makabrasha yameliwa na panya buku.
Yamenyofolewa kidogo lakini yanasomeka.

Mohamed Said njoo uthibitishe kuwa data na maandishi ninayonukuu si yako.

Mimi naongea nawe, vijana waache wachezee matope, ni vijana hao tuwavumilie
 
Nikikusoma nazidi kucheka, ohh Punjab Singh, bhaijan jii, please come and advice our Mr. Nguruvi3 in Kiswahili where to find the "Panya Bukus" who ate his kabrashas. He has not yet found neither the bukus nor the kabrashas.
Mohamed Said;Nilikujajuakuwahistoriayauhuruwa Tanganyika inaogopwawakatinilipokuwamwanafunzi Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam. Ikawamwalimuwanguakisemakatikakusomeshahistoriaya Tanganyika kuwaNyererendiyemuasisiwa TANU nilikuwanamsahihishanakumuelezakuwahililisingewezekanakwakuwa TANU asiliyakeni African Association nachamahichokilianzishwa 1929na baba yakeAbdulwahid Sykes
[/QUOTE] Baba yake Abdul ni Klesit. Yeye alikuwa ni sehemu ya waamzilishi, si mwanzilishi pekee. Alikuwa katibu mkuu, akiwa na akina C.Matola. Hakuanzisha chama peke yake


Njoo uweke mambo sawa Mohamed Said, maana vijana ''wakirusha matope sisi tunatandika bakora''
 
Yamenyofolewa kidogo lakini yanasomeka.

Mohamed Said njoo uthibitishe kuwa data na maandishi ninayonukuu si yako.

Mimi naongea nawe, vijana waache wachezee matope, ni vijana hao tuwavumilie

wacha nikae kwenye sofa na popcorn zangu nikushushia na Coke Le mutuz nione misuli inavyoanguka.
 
Back
Top Bottom