Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 54,023
- 43,168
Wanaukumbi naomba msaada wenu mnisaidie kuna ili neno "Dikshenari" ni nini ni lugha gani.Acha upuuzi wewe, kaangalie kwenye dikshenari peper maana yake nini, after all Hirji sio Prof wa History, kama Profesa Kimambo angefanya hivyo walau ningepata shida.
Hata Basil Davidson angeandika kama alivyoandika Prof Hirji bado sio tabu sabab hakua Prof wa History, tatizo ni hili la Mohamed Said kutojibu hoja za Prof.
Mimi najua tu neno "Dictionary"
Kwi kwi kwi kwi teh teh teh