Beating the Drum on One Side: Confusing the People on Both Sides

Beating the Drum on One Side: Confusing the People on Both Sides

Utawakana hadi nduguze katika imani, mie niko pembeni nasubiri m~`break wind' hadi kande ziishe then nitarudi

Wewe na IBLIS Tabia zenu zinafanana sana.
Nimejifunza kuwa IBLIS (Sheitwani) ana Tabia ya Kujamba wakati Adhana Inapotolewa.
Wewe unajamba wakati waungwana Wanajadili mambo ya Maana.
Wote nyie ni Ukoo mmoja.
Na jahannamu ndio mafikio yenu.
 
we chakubanga koma kabisa na lugha zako za shombo??

na usidiriki kabisa kujumuisha mawazo yako ya kikuda na ujumla wa waislam,,na huwez kuwa muislam wewe kobelo,,abadan wewe ni kafiri tuh

KWA SABABU HUWEZI KUWA MUISLAM KISHA UKAWA MTU WA VURUGU,,KAMA WEWE NI HIVYO BASI JIHUKUMU MWENYEWE KABLA HUJAHUKUMIWA CHAKUBIMBI WEWE

Mwenye matatizo mengi ni wewe pekeyako kimpango wako,usijumuishe na wengine umeskia wewe?

Nawewe kama unaficha iman yako ni juu yako vile vile

KWA MUISLAM ANAEJITAMBUA KIKWELI KWELI HAWEZI KUWA NA VURUGU,,MUISLAM ANAEJITAMBUA LAZIMA AWE MPOLE,,MTARATIBU NA MWENYE STAHA KWA KILA NAMNA

NA YULE ASIEJINYONGESHA KWA MAKAFIRI NA KUONEA HAYA IMAN YAKE KAMA WEWE ETI KISA TUH YEYE NI MUISLAM

WEWE NI KIKOJOZI KAMA WALIVYO VIKOJOZI WENGINE

SHIKA ADABU ZAKO

wewe jamaa mbona una fujo?matusi yote hayo ya nini?kama huna hoja kaa pembeni,wengine kama mimi ninayetaka kujifunza,JF ni darasa zuri sana.
"HIV HIZI SHULE HUWA MNAENDA KUSOMEA UJINGA" by FF wa JF
 
Ok sasa kwa mfano tuseme uhuru umeletwa na waislamu watu wakakubali. Itatuongezea nini? vyuo? mashule? au dispensaries? au ajira

Vipi hii nguvu tungetumia kupiga harambees za kuanzisha projects zetu?tungekuwa wapi? sisi tunalalamika tunamlalamikia nani? je ata akitusikiliza itatuongezea nini? tuthink big jamani.

wenzetu wanazidi kupiga hatua wanajenga mavyuo kila kona mpaka mabenk sisi tumekaa kulalamika tunasubiri tuletewe mikononi. Ubinafsi mtu akipata hasaidii wenzake na hataki kuhusishwa na waislamu wenzie, au aliye na mwanga ni kazi ya kuchochea mapambano ya kutumia nguvu badala ya kupanga mipango tuhamasishane vipi kutengeneza vya kwetu.kwa kweli ni mengi..ila inaumiza sana . ila tutafika tu

Mkuu chukua "Like" yangu.Umenena mambo ya maana sana mkuu,ila kwa wenye akili zao na wanaozitumia vyema tu ndio watakao kuelewa.
 
Bwana Hirji FK aka "Professor",

Tafadhali fanza kila uwezalo uje hapa kukabiliana na Nguli mwanzio Historian Dr Said M...maana nakhis yeye yutayari kukupa majawaba dhidi ya Crtique yako, hapa hapa mbele ya kadamnasi ya JF!

Lakini lazim uhakikishe yakua, upo Verified User yaani kama alivyofanza yeye Dr Mohamed Said! Kwani kwa hivi sasa tunapata mashaka kufahamu kama ni kweli huyu Prof. Hirji FK alokuja kutaka radhi/kuomba msamaha, je kweli ndoo weye!?

Pia kama utakubali kuwapo hapa mnakashani, tunakunasihi yakua nasi Wanajamvi wangine wenye mashaka amma kutoikubali hiyo critique yako "kiujumla", utupatie pia furusa kukuuliza masuali ya kina kwayo!

Kujificha kwako na kuadimika hapa jamvini/mnakashani kunazua vumbi,kitahanani na kitimtim kingi mno...khasa kutoka kwa hawa wafuasi wako, ambao wameamua/wanajaribu kuhamisha hii maudhui amma mintaaraf ya mjadala huu...huku wakijaribu ku-ignore ukweli yakua hata weye mwenyewe Professor wao umekubali yakua umefanza "kosa ya kitoto" na umetaka radhi na kuomba msamaha mara kadhaa!?

Sasa, hivi ufanzavyo kukimbia hapa mnakashani, yaani ndio ile "kosa ya kitoto" inazidi kuwa "kuba"!

Kama ile critique umeandika yoote kwa kujiamini na bado unaikubali, sasa jongelea hapa jamvini upate kujibu masuali machache tu ya Wanajamvi na pia upate majawaba yako toka kwa Kaka yako amma "dugu yako" Dr Mohamed Said, au!?

Zaidi ya hivi, unatoa impression yakua uliparamia tu baadhi ya vitu kwa hidden agendas zako, na mbaya zaidi yaelekea unatetea ile injustice inayolalamikiwa na ile segment kubwa ya population ya Watanzania wanzio...huku ati ukijificha nyuma ya pazia la "mwanataaluma"!? Daah!

Ahsanta sana!
 
Vipi adabu za kusikiliza zimesiha! Teh teh teh teh!

Huu si ukumbi wa FF mbona umerudi kinyemela swahba!

Miliwaeleza vijana wako, wasiniombe nije jamvini, wewe utakua unatokea uani, unaona sasa! ehee

Data zimewekwa, si zangu ni zako na wewe unawajibu wa kuthibitisha ni zako, halafu ufafanue

Umesubiri vijana wametia taka taka katika uzi, sasa unaibuka kutoka mafichoni.

Nakusoma na muda si mrefu nateremsha kitu, si changu ni chako kutoka katika kabrasha. Of course sehemu nyingine zimenyofolewa na panya, kama ujuavyo hapa Bonde tuna panya, hata hivyo ninakuhakikishia hazina ya maandiko yako, ninayo ya kutosha sana.

Nitarudi

I can see Nguruvi3 acting like a football fan blaming the player while he does not play even in the school ground. Kabrashas are damaged or some of it gone with Panya Buku now in Kova's custody, and don't tell me now the floods of the bonde flushed away the remaining kabrashas! Because since the day you said you will come back we only see you taking a peekaboo in the debate hall scared of even taking a step. Teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
I can see Nguruvi3 acting like a football fan blaming the player while he does not play even in the school ground. Kabrashas are damaged or some of it gone with Panya Buku now in Kova's custody, and don't tell me now the floods of the bonde flushed away the remaining kabrashas! Because since the day you said you will come back we only see you taking a peekaboo in the debate hall scared of even taking a step. Teh teh teh!

Ritz
,
Huyu Nguruvi hajui kilitokea nini baada ya utafiti ule kugawiwa kwa kila
Muislam Tanzania.

Serikali haikusema kuwa sisi ni waongo au sijui "selective sampling," na
nini sijui.

Serikali ilipata mshtuko na wakataka kujua ni akina nani wamefanya haya.

Sisi tulikuwa tumesema kweli na tulikuwa sasa tunatafuta msaada wa umma
tujitoe katika dhulma ile.

Hii ilikuwa mwaka 1981 na baadhi ya makaratasi haya yaligawiwa kwenye
viwanja vya Bunge Karimjee Hall.
 

Ritz
,
Huyu Nguruvi hajui kilitokea nini baada ya utafiti ule kugawiwa kwa kila
Muislam Tanzania.

Serikali haikusema kuwa sisi ni waongo au sijui "selective sampling," na
nini sijui.

Serikali ilipata mshtuko na wakataka kujua ni akina nani wamefanya haya.

Sisi tulikuwa tumesema kweli na tulikuwa sasa tunatafuta msaada wa umma
tujitoe katika dhulma ile.

Hii ilikuwa mwaka 1981 na baadhi ya makaratasi haya yaligawiwa kwenye
viwanja vya Bunge Karimjee Hall.
Waliochaguliwa kuingia Dar es Salaam University 1985 hadi 1990[/B]

Year Christians Muslims

1985/86 85% 15%
1986/87 84% 16%
1988/89 82% 18%
1989/90 82% 18%

Watendaji Wizara ya Elimu 1987

Muslim Commissioners 1 Christian Commissioners 7
Muslim Directors 6 Christian Directors 31

Serikali 1987

Muslims Christians

Ministers 4 16
Deputy Ministers 4 7
Principal Secretaries 2 16
Regional Commissioners 5 15
District Commissioners 8 113

Inasemekana hivi sasa ndani ya Bunge Wakatoliki wanahodhi 85% ya viti na hiyo 15% imeachiwa Wakristo wa madhehebu mengine na Waislam.

Mohamed Said
Table 2

Religious Distribution University of Dar es Salaam 1971/72-1973/74
Year Muslim % Non-Muslim % Total
1969/70 17 83 100
*1970/71 - - -
1971/72 13 87 100
1972/73 14 86 100
1973/74 13 87 100
*1974/75 - - -
1975/76 15 85 100
*1976/77 - - -
*1977/78 - - -

1978/79 14 86 100
**1979/80 14 86 100
**1980/81 11 89 100
**1981/82 16 84 100

* Official Statistics not available

** Students selected for Faculty of Agriculture, Forestry and Veterinary Science and medicine not included.

Source: 1969/70-1978/79 University of Dar es Salaam Students Directory.

1979/80-1981/82 Daily News June 1979/1981
My take: Mohamed ulikimbia ukidhani nimeondoka,haya takwimu zako hizo hapo juu, tunaomba mchanganuo ili tujue zinaleta maana gani. Kwa jinsi zilivyo sasa hivi ni kichekesho kama si aibu, zikwamue kwanza kabla hujaandika lolote kihusiana nazo

Tusaidie kufafanua nini kimeleta mshtuko kwa kuangalia hizo takwimu, na zimeeleza nini hasa

Tupe sample size, limitation, exclusion n.k. ili tubaini sehemu nilizokazia uzi mwekundu

Hebu zichambue hizo takwiu 12 zilizokupa conlcusion ili tuone ulifikiaje conclusion hiyo kwa kutumia data hizo
 
Mohamed Said
Table 2

My take: Mohamed ulikimbia ukidhani nimeondoka,haya takwimu zako hizo hapo juu, tunaomba mchanganuo ili tujue zinaleta maana gani. Kwa jinsi zilivyo sasa hivi ni kichekesho kama si aibu, zikwamue kwanza kabla hujaandika lolote kihusiana nazo

Tusaidie kufafanua nini kimeleta mshtuko kwa kuangalia hizo takwimu, na zimeeleza nini hasa

Tupe sample size, limitation, exclusion n.k. ili tubaini sehemu nilizokazia uzi mwekundu

Hebu zichambue hizo takwiu 12 zilizokupa conlcusion ili tuone ulifikiaje conclusion hiyo kwa kutumia data hizo

What is wrong with you Nguruvi3 you have your answers in the quoted note. The 2 sources:

1) UDSM Student Directory (Not Mr. Said's own data)
2) Daily News wich is the Government owened tool of propagation.

So why should he explain to you go to those sources and confirm if he is cooking the data or not?
Get serious, it seems the Panya Buku did not damage kabrashas only teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
What is wrong with you Nguruvi3 you have your answers in the quoted note. The 2 sources:

1) UDSM Student Directory (Not Mr. Said's own data)
2) Daily News wich is the Government owened tool of propagation.

So why should he explain to you go to those sources and confirm if he is cooking the data or not?
Get serious, it seems the Panya Buku did not damage kabrashas only teh teh teh!

We singa singa una hatari sana
 
Last edited by a moderator:
Mohamed Said
Table 2

My take: Mohamed ulikimbia ukidhani nimeondoka,haya takwimu zako hizo hapo juu, tunaomba mchanganuo ili tujue zinaleta maana gani. Kwa jinsi zilivyo sasa hivi ni kichekesho kama si aibu, zikwamue kwanza kabla hujaandika lolote kihusiana nazo

Tusaidie kufafanua nini kimeleta mshtuko kwa kuangalia hizo takwimu, na zimeeleza nini hasa

Tupe sample size, limitation, exclusion n.k. ili tubaini sehemu nilizokazia uzi mwekundu

Hebu zichambue hizo takwiu 12 zilizokupa conlcusion ili tuone ulifikiaje conclusion hiyo kwa kutumia data hizo

Mkuu, nipo kipembezoni nakufahamu huku natafuna karmati nashushia na shurbat ya karkadee.


Al Maulamaa Ustaaz Mtafiti mbobezi anakuja na hoja ya " Inavyosemekana" na bado anaita huo uchochezi ni utafiti, tutajua tu leo kama kijambakoti kitatosha au kitavuka kwenye historia yetu adhim.

NB: "Inavyosemekana" ni neno linalotumiwa zaidi kwenye mipasho na vijiwe vya kuzusha.
 

Ritz
,
Huyu Nguruvi hajui kilitokea nini baada ya utafiti ule kugawiwa kwa kila
Muislam Tanzania.

Serikali haikusema kuwa sisi ni waongo au sijui "selective sampling," na
nini sijui.

Serikali ilipata mshtuko na wakataka kujua ni akina nani wamefanya haya.

Sisi tulikuwa tumesema kweli na tulikuwa sasa tunatafuta msaada wa umma
tujitoe katika dhulma ile.

Hii ilikuwa mwaka 1981 na baadhi ya makaratasi haya yaligawiwa kwenye
viwanja vya Bunge Karimjee Hall.

unam quote Punjab Singh halafu unamwita Ritz! UMEBAHA?
 
Last edited by a moderator:
8
Mkuu, nipo kipembezoni nakufahamu huku natafuna karmati nashushia na shurbat ya karkadee.


Al Maulamaa Ustaaz Mtafiti mbobezi anakuja na hoja ya " Inavyosemekana" na bado anaita huo uchochezi ni utafiti, tutajua tu leo kama kijambakoti kitatosha au kitavuka kwenye historia yetu adhim.

NB: "Inavyosemekana" ni neno linalotumiwa zaidi kwenye mipasho na vijiwe vya kuzusha.

Karmati na sharbati lazma uhare sana vitu hivyo hamjazoea nyie wala miguruwe
 
Ritz,
Mweleza kuwa waja wa Allah wanapokutana na wajinga wao husema: "Salama."

Umeambiwa toa clarification ya "inasemekana" data!

The information comes from "the horses mouth", thats YOU!

akina Faiza wame "fart" kuhusu hypothetical data nawe unakuja na "inasemekana" data

MKUKI KWA NGURUWE, KWA BINADAMU . . . .
 
Mohamed Said
Table 2

My take: Mohamed ulikimbia ukidhani nimeondoka,haya takwimu zako hizo hapo juu, tunaomba mchanganuo ili tujue zinaleta maana gani. Kwa jinsi zilivyo sasa hivi ni kichekesho kama si aibu, zikwamue kwanza kabla hujaandika lolote kihusiana nazo

Tusaidie kufafanua nini kimeleta mshtuko kwa kuangalia hizo takwimu, na zimeeleza nini hasa

Tupe sample size, limitation, exclusion n.k. ili tubaini sehemu nilizokazia uzi mwekundu

Hebu zichambue hizo takwiu 12 zilizokupa conlcusion ili tuone ulifikiaje conclusion hiyo kwa kutumia data hizo

Hivi hizi si umeweka wewe mwenyewe?

Source: 1969/70-1978/79 University of Dar es Salaam Students Directory.

1979/80-1981/82 Daily News June 1979/1981

Cha kushangaza, source unaitaja wewe mwenyewe halafu unamuuliza Mohamed Said

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Last edited by a moderator:
Mbuzimtu,
Nimemuuliza Prof. Hirji kajua lini upungufu katika historia kwa kuwa sijapata
kumsikia katika haya.

Ikiwa kajua zamani ningependa yeye mwenyewe aseme kwa nini siku zote
hizo alikaa kimya?

Ikiwa amejua baada ya Mohamed Said kuandika basi nitamuwia radhi kwa
yote kwa sababu yeye si mweledi katika dhulma dhidi ya Waislam.

Bahati mbaya wanaokuja kujibu si yeye unakuja wewe.
Mimi simlazimshi mtu kuamini haya nisemayo.

Mimi naandika kwa kuwa naamini nina dhima ya kuifahamisha jamii kile
ninachokifahamu.

Ni hilo tu.

basi nitamuwia radhi kwa
yote kwa sababu yeye si mweledi katika dhulma dhidi ya Waislam.

Mzee wetu tunaendelea kukutahadharisha tena, malalamiko yako na uchochezi usipende kuyavika jina la historia hausikii, unasubiri uumbuke mara ngapi?

Mimi naandika kwa kuwa naamini nina dhima ya kuifahamisha jamii kile
ninachokifahamu
.

Mzee wetu wa Kariakoo gerezani, kile unachokifahamu hakiwezi kuwa historia ya Tanganyika history ni facts...Kila mtu angeleta kile anachokifahamu na kutaka iwe historia rasmi ya Tanganyika ingekuwa ni vurgu kubwa.

Naamini nimekufanza!!
 
Mkuu, nipo kipembezoni nakufahamu huku natafuna karmati nashushia na shurbat ya karkadee.


Al Maulamaa Ustaaz Mtafiti mbobezi anakuja na hoja ya " Inavyosemekana" na bado anaita huo uchochezi ni utafiti, tutajua tu leo kama kijambakoti kitatosha au kitavuka kwenye historia yetu adhim.

NB: "Inavyosemekana" ni neno linalotumiwa zaidi kwenye mipasho na vijiwe vya kuzusha.


= Kalimati

= sharbati
 
Nyakageni,
Huyo jamaa nazungumzanae kupitia Maalim Faiza na Ritz.

Au hairuhusiwi?

unasema Faiza "who calls a kettle black with hypothetical data, sparing a naked king (the pot) who is sooted black with inasemekana data?
 
Mzee wetu tunaendelea kukutahadharisha tena, malalamiko yako na uchochezi usipende kuyavika jina la historia hausikii, unasubiri uumbuke mara ngapi?



Mzee wetu wa Kariakoo gerezani, kile unachokifahamu hakiwezi kuwa historia ya Tanganyika history ni facts...Kila mtu angeleta kile anachokifahamu na kutaka iwe historia rasmi ya Tanganyika ingekuwa ni vurgu kubwa.

Naamini nimekufanza!!

Jee, umewahi kumsikia Mshume Kiyate?
 
Back
Top Bottom