That same argument you have used is under the heading Sound and Unsound Logic, did you notice? Now, did you notice the last sentence before that heading? "Selective examples convert the truths in Said's paper into half-truths"
It simply means, the sentence which was used as a mode of argument is not Hirji's but he is using "Selective examples" to "convert the truths in Said's paper into half-truths"
What is so hard in you reading and understanding that? they are just "examples" (mifano) and not reality. That is from Hirji's mouth. And Al Alama Mohamed Said's truth is being hypothetically "converted into half-truths" by your beloved "Professor".
Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
...Binafsi sikusoma Historia, hivyo kwangu fursa kama hizi za mijadala nazifurahia sana ili nami nitoke kwenye ujinga. Lakini naomba niseme wazi kuwa article ya Prof Hirji hadi sasa imekosa mtu makini wa kuichallenge ili sie tuliowajinga wa historia tufaidike.
Naamini kabisa kuwa Prof ametumia selective examples, na hivyo nimekuwa nikisubiri kwa hamu hoja zitakazomchallenge kwa kutumia mifano ambayo hakuiselect (au haipo?)
Dada examples can be real examples or hypothetical - e.g. naweza kusema JF kuna mabingwa wengi sana wa Historia kwa mfano Mzee Mohammed Said. -This is a selective example and its a real example. Kadharika katika
yaweza kuwa ni selective example. Lakini ni reality, au hutaki?Differences between Muslims and Christians in educational attainment and higher level jobs existed in 1961, and still persist. So do differences between males and females, between regions and between races.