Beatification of Lowassa starts here

Ebu nieleweshe, dhambi ya Lowasa ni ipi?, naona umetumwa na Sita+Mwakyembe+ ki*****te.

Hivi mitambo iliyosababisha Lowasa akajiuzulu ndiyo hiyo iliyonunuliwa ambayo mama Clinton kaitembelea alipokuwa hapa Dar??
 
kwa wale wenye access na emmanuel tv, chekini mh LOWASSA yupo live anapata neno la mungu kwa prophet TB JOSHUA.

Lowassa-rais.jpg

Nampongeza sana Mh. Lowasa kwa namna ambavyo ameonyesha dhahiri kuwa yeye ni mtu wa Mungu, kwa wanaomjua Lowasa watakubaliana nami kuwa mara nyingi amekuwa mstari wa mbele kwenye mambo ya Mungu, na hii ndiyo maana wakati wa uongozi wake alikuwa mchapakazi hodari na msimamizi mzuri wa shughuli za serikali kitu kilichosabababisha apate maadui wengi kwani watanzania wengi hawajazoea utamaduni wa kusukumwa wengi hufanya kazi kwa mazoea bila kuzingatia taratibu zilizowekwa.

Uchapakazi wa Lowasa ulifanya amfunike rais, yeye alikuwa ndiyo tegemeo la mwisho la watanzania wapenda maendeleo, ndiyo maana kama sio Lowasa wimbo wa ukosefu wa shule kwa vijana wanaofaulu kwenda kidato cha kwanza ungekuwa unaendelea kuimbwa kwa kupokezana. Leo hii watu wamesahau kuwa ni juhudi binafsi za Lowasa ndiyo maana hilo la shule za kata lilifanikiwa, alipoondoka ameondoka nalo kwani viongozi wengine hawakuwa na maona.

Baadhi ya watu wachache hujaribu kumchafua Lowasa ili achafuke mbele za watu wakiwa na hofu kuwa huenda akagombea urais mwaka 2015 ukweli ni kuwa mpaka sasa kwenye chama cha CCM hakuna mtu anayeweza kumshinda Lowasa linapokuja suala la Utendaji na uwajibikaji.

Nilishangaa sana kuona kuwa kampuni iliyosababisha mheshimiwa Lowasa ajiuzuru imenunuliwa na wamarekani khaaaaa!!! si tuliambiwa ni ya kitapeli hata serikali isiiguse mitambo hiyo? Mitambo hii tuliambiwa ni michakavu iweje leo ionekane mitambo hiyo niyamaana kwa nchi iliyopiga hatua katika medeni za viwango?

Ndiyo maana nijuavyo mimi tatizo la Lowasa kuchukiwa sio ufisadi bali ni urais maana kwa vyovyote nia ya wenzetu ni kuhakikisha mwenzao anapata hivyo kila atakae inuka kama sio mwenzao lazima ataondoshwa.
 
Mke wake alilia sana siku ile alipokua anajiuzulu,,nadhani alipenda sana nae siku moja awe first lady.

All in all, ni bora EL apate urais kuliko BM.
 
Sema tu na mkeo alikuwa huko tena anakula hadi pilipili na ulcers zake na daktari wake hata hajamuona...eti TB Joshua!!!!! unaandaa msiba nyumbani kwako bila kujitambua. Mwambie mama aache maramoja na afuate masharti ya daktari wake.
 
Acha hizo wewe!! Kasome kitabu cha Mwanzo uone adhabu aliyopata dada yake Musa Miriam kwa kumkashifu mtumishi wa Mungu Musa!!
naye ni msanii tu Kama akins Getrude Rwakatare na Mwingira ambao wanatumia mazingaombwe ku hapnotize wafuasi wao
 
Nampongeza sana Mh. Lowasa kwa namna ambavyo ameonyesha dhahiri kuwa yeye ni mtu wa Mungu, kwa wanaomjua Lowasa watakubaliana nami kuwa mara nyingi amekuwa mstari wa mbele kwenye mambo ya Mungu, na hii ndiyo maana wakati wa uongozi wake alikuwa mchapakazi hodari na msimamizi mzuri wa shughuli za serikali kitu kilichosabababisha apate maadui wengi kwani watanzania wengi hawajazoea utamaduni wa kusukumwa wengi hufanya kazi kwa mazoea bila kuzingatia taratibu zilizowekwa. Uchapakazi wa Lowasa ulifanya amfunike rais, yeye alikuwa ndiyo tegemeo la mwisho la watanzania wapenda maendeleo, ndiyo maana kama sio Lowasa wimbo wa ukosefu wa shule kwa vijana wanaofaulu kwenda kidato cha kwanza ungekuwa unaendelea kuimbwa kwa kupokezana. Leo hii watu wamesahau kuwa ni juhudi binafsi za Lowasa ndiyo maana hilo la shule za kata lilifanikiwa, alipoondoka ameondoka nalo kwani viongozi wengine hawakuwa na maona. Baadhi ya watu wachache hujaribu kumchafua Lowasa ili achafuke mbele za watu wakiwa na hofu kuwa huenda akagombea urais mwaka 2015 ukweli ni kuwa mpaka sasa kwenye chama cha CCM hakuna mtu anayeweza kumshinda Lowasa linapokuja suala la Utendaji na uwajibikaji. Nilishangaa sana kuona kuwa kampuni iliyosababisha mheshimiwa Lowasa ajiuzuru imenunuliwa na wamarekani khaaaaa!!! si tuliambiwa ni ya kitapeli hata serikali isiiguse mitambo hiyo? Mitambo hii tuliambiwa ni michakavu iweje leo ionekane mitambo hiyo niyamaana kwa nchi iliyopiga hatua katika medeni za viwango? Ndiyo maana nijuavyo mimi tatizo la Lowasa kuchukiwa sio ufisadi bali ni urais maana kwa vyovyote nia ya wenzetu ni kuhakikisha mwenzao anapata hivyo kila atakae inuka kama sio mwenzao lazima ataondoshwa.
.Hakuna mtu anaeweza kumzuia Lowasa kuwa rais wa nchi hii kama makusudi ya Mungu yalikusudia hivyo tangu awali.Na ikiwa jambo lake hupenda hupendelea kuuliza kwa Mungu wa Israel(YAHWEH), basi anatenda vyema kuliko angejishikiza kwa miungu ya milingotini kama wafanyavyo wanasiasa wengi. Lowasa yupo katika wakati mgumu wa kukatiliwa na wakaribu wake kwa visa vya kuzushiwa. Ni nani aliye na kashfa ya kweli kumhusu Lowasa, ukiacha hii iliyopikwa ya Richmond?. Na sasa Richmond imetakaswa na wamarekani na serikali inaimba wimbo wa kusifu ubora wa mitambo yenyewe.NILIPOIONA HIYO PICHA YA LOWASA KWENYE SINAGOGI LA TB JOSHUA NIMEFANANISHA NA KISA CHA SAMWELI KUMPAKA MAFUTA DAUDI KWA KAZI YA MBELENI.
 
afadhali anayemkumbuka mungu kwa namna yeyote ile kuliko kuchinja mbuzi wa kafara kila kukicha. Kuna jamaa alikua akionyeshwa akienda masjid kila ijumaa mwishoni mwa 2005 siku izi hatumwoni tena, hata mwisho wa mwezi haongei!!
 
Sema tu na mkeo alikuwa huko tena anakula hadi pilipili na ulcers zake na daktari wake hata hajamuona...eti TB Joshua!!!!! unaandaa msiba nyumbani kwako bila kujitambua. Mwambie mama aache maramoja na afuate masharti ya daktari wake.
tulishatupa vidonge vya daktari jalalani its a week now tunakula bata na YESU ALIYE HAI!!
 
that place is awesome my wife was there last sunday, wadau nawaambieni ile ni arena of liberty hakuna kinachoshindikana pale kwa jina la YESU, tayari nna testimony kibao za kushea. wife alikuwa na vidonda vya tumbo vinamkamata mpaka anapanda dirishani low pressure, ile kukanyaga tu pale hakusikia chochote mpaka wali wa ki nigeria wenye pilipili kibao alikuwa anakula sasa hivi hakuna cha low pressure wala ulcers kwishney. glory be to lord JESUS

hasara zote za kwenda huko wakati babu anaweza hayo kwa jina la huyo huyo? Au ndio mind set za kuamini vigeni tunaziendeleza? Wakifanya viongozi makosa, mkifanya nyinyi ni sawa sawa! Acheni hizo banaa!
 
.Hakuna mtu anaeweza kumzuia Lowasa kuwa rais wa nchi hii kama makusudi ya Mungu yalikusudia hivyo tangu awali.Na ikiwa jambo lake hupenda hupendelea kuuliza kwa Mungu wa Israel(YAHWEH), basi anatenda vyema kuliko angejishikiza kwa miungu ya milingotini kama wafanyavyo wanasiasa wengi. Lowasa yupo katika wakati mgumu wa kukatiliwa na wakaribu wake kwa visa vya kuzushiwa. Ni nani aliye na kashfa ya kweli kumhusu Lowasa, ukiacha hii iliyopikwa ya Richmond?. Na sasa Richmond imetakaswa na wamarekani na serikali inaimba wimbo wa kusifu ubora wa mitambo yenyewe.NILIPOIONA HIYO PICHA YA LOWASA KWENYE SINAGOGI LA TB JOSHUA NIMEFANANISHA NA KISA CHA SAMWELI KUMPAKA MAFUTA DAUDI KWA KAZI YA MBELENI.

Duh! Haya tusubiri tuone!
 
hasara zote za kwenda huko wakati babu anaweza hayo kwa jina la huyo huyo? Au ndio mind set za kuamini vigeni tunaziendeleza? Wakifanya viongozi makosa, mkifanya nyinyi ni sawa sawa! Acheni hizo banaa!
usipende ku judge vitu wakati hujui undani wake kwa babu nilishakwenda tukanywa kikombe swafi kabisa lkn hii ya kwenda scoan ni mipango ya miaka mitatu sasa na YESU NI YULE YULE vidonda vya tumbo vili erupt just one week before ya safari na kwa imani tuliyokuwa nayo tulijua ni shetani mwovu anataka tuahirishe safari lkn mke wangu akasema anakabidhi safari kwa YESU yeye ndiye atayemfikisha salama na kweli shetani akashindwa kwa jina la YESU leo hii hakuna maumivu tena.
 
Fisadi maarufu hapa nchini Bwa. Edward Lowasa jana tarehe 12 june 2011 alionekana nchini Nigeria kwenye Kanisa la mhubiri maarufu duniani T.b Joshua kwenye kituo maarufu cha television kiitwacho Emanuel Tv, kama ni kweli amemrudia Mungu wake nadhani nchi itasalimika na udhalimu mkubwa unaoendelea katika serekali ya C.C.M.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom