Fisadi maarufu hapa nchini Bwa. Edward Lowasa jana tarehe 12 june 2011 alionekana nchini Nigeria kwenye Kanisa la mhubiri maarufu duniani T.b Joshua kwenye kituo maarufu cha television kiitwacho Emanuel Tv, kama ni kweli amemrudia Mungu wake nadhani nchi itasalimika na udhalimu mkubwa unaoendelea katika serekali ya C.C.M.
Anatakiwa kupiga goti mbele ya taifa na kutubu dhambi zake kwetu kabla hajaenda kwa Mungu...ni kazi bure anafanya kama hajaja kwetu raia atuombe radhi ndipo Mungu atamsamehe.
tunaweza msamehe akitubu ila urais hatutampa kwani jasiri haachi asili.
Ndio maana nasema hii ni maalum na binafsi nampongeza mkuukwani mmesahau kile kimemo cha mama shelukindo kwenda kwa shosty kilikuwa kinasemaje? nimeamini lisemwalo lipo.
Mh! Kabla ya 2015 tutaona mengi hakika! Ila akitaka kuwa safi sana amtose Rostam, mimi kwa mtazamo wangu naona huo ndio mkosi pekee kwake, najua waTz watamsamehe maana tu wepesi kusamehe na kusahau, lakini aonekanapo Rostam na .... Inakuwa ukakasi zaidi hata kama alimsaidia huu ni wakati wa kumtosa. Vinginevyo Rostam awe kama Patni wa Kenyakwani mmesahau kile kimemo cha mama shelukindo kwenda kwa shosty kilikuwa kinasemaje? nimeamini lisemwalo lipo.
Du! Jamani lowasa anatamani uraisi! Du, azidishe maombi na mbinu...ikiwezekana apindue uenyekiti wa Jk ccm.kwa wale wenye access na emmanuel tv, chekini mh LOWASSA yupo live anapata neno la mungu kwa prophet TB JOSHUA.![]()
Nigeria? anaumwa nini!
Homa ya uraisi wa Tanzania na kuendelea kutuibia