Beatification of Lowassa starts here

Beatification of Lowassa starts here

Jamani wana jf....naomba mnijuze hivi huyu mmasai anatu judge vipi watanzania hadi inampelekea kuamini kuwa bado tunamhitaji katika duru za uongozi? ina maana hasomi magazeti au hao wapambe wake hawamfikishii hizi taarifa? au anataka kuupata urais kwa kutumia NGUVU mie simuelewi kabisa
nisaidieni ana fikra gani (hatumhitaji katika duru za siasa kabisa kwani ni mmoja ya watu waliopelekea kufika hapa tulipo)
nb. mimi sio wa magamba tafadhali
 
Lowasa hana kosa Lolote mpaka sasa wanasema ni mtuhumiwa wa ufisadi, nijuavyo mimi ukituhumiwa sio kuwa imethibitika kuwa kweli umetenda kosa. Naomba kama kuna mtu yeyote ambaye anaushahidi wa nini ambacho Lowasa amekifanya cha ajabu zaidi ya viongozi wengine anijuze hapa jamvini kama ushahidi upo nijulishwe kwa nini mpaka sasa hajafikishwa mahakamani?. Kimsingi mimi huwa sipendi mambo ya unafiki ndiyo maana napata shida sana nikiona watu wanamwandama mtu bila kuwa na ushahidi wa kweli kwa mtaji huu "hii nchi lazima itaangamia" hebu fikiria mtu amekwenda kuhudhuria ibada anaambiwa anatafuta urais, hivi watu wanajua shida ya Lowasa? Lile kanisa huhudhuriwa na watu wengi kutoka nchi mbalimbali je ni dhambi Lowasa kwenda kama wengine? majungu ni mengi sana ila mtashindwa kwa "j...........la y..su"
 
kwa wale waliongalia emanuel tv juzi j2 inasemekana kua mh. Edward lowassa alionekana akiungama kwa prophet tb joshua. Hili naliona kama ni jambo jema kabisa lakini najiuliza swali moja. Kama ambavyo zakayo mtozaushuru alivyotubu kwa yesu na kusema ikiwa kuna watu niliowadhulumu haki yao, basi nitawarudishia mara nne, je mh. Lowassa ambaye ni mtuhumiwa wa ufisadi si anapaswa pia kufuata nyayo za zakayo? Nawasilisha na endapo kuna mtu mwenye data zaidi atujuze...
 
kwa wale waliongalia emanuel tv juzi j2 inasemekana kua mh. Edward lowassa alionekana akiungama kwa prophet tb joshua. Hili naliona kama ni jambo jema kabisa lakini najiuliza swali moja. Kama ambavyo zakayo mtozaushuru alivyotubu kwa yesu na kusema ikiwa kuna watu niliowadhulumu haki yao, basi nitawarudishia mara nne, je mh. Lowassa ambaye ni mtuhumiwa wa ufisadi si anapaswa pia kufuata nyayo za zakayo? Nawasilisha na endapo kuna mtu mwenye data zaidi atujuze...

Yes, atoe nusu ya mali yake yote kwa maskini, na kama aliiba mali ya umma kwa njia yoyote ile masi arudishe mara kumi na mbili. then aje tumpe urais kama anautaka.
 
Mwambie atumie mbinu ileile aliyotumia hadi mkamchagua tena kuwa
mbunge wa Mondul kwa kishindo
 
repetence is between God and Him not between Him and Tanzanians. Hata Mungu akikusamehe lazima kuna cost ya msamaha
1-alimsamehe Musa kwa kupiga mwamba ili utoe maji wakati alimwambia auamuru utoe maji, Musa alipotubu akamwambia lakini hutaingia Kanaani
2-Daudi alipomwua uria na akamwoa mke wa uria, alipoomba msamaha alimsamehe lakini mtoto akafa
etc etc

So does EL hata akisamehewa...Urais asahau!! and that is the cost of forgiveness
 
Kwa kweli hili sijaliona ila kutubu ni jambo jema popote, Tatizo ni jinsi, mahali, wakati na sehemu ya kutubu. Nina wasiwasi na huku kutubu kwa hawa manabii wa uongo. Sioni kama kuna msamaha huko. Kama kuna kosa waliokosewa ni watanzania na msamaha unapatikana hapahapa na watumishi wa bwana wako hapahapa
 
kwa wale waliongalia emanuel tv juzi j2 inasemekana kua mh. Edward lowassa alionekana akiungama kwa prophet tb joshua. Hili naliona kama ni jambo jema kabisa lakini najiuliza swali moja. Kama ambavyo zakayo mtozaushuru alivyotubu kwa yesu na kusema ikiwa kuna watu niliowadhulumu haki yao, basi nitawarudishia mara nne, je mh. Lowassa ambaye ni mtuhumiwa wa ufisadi si anapaswa pia kufuata nyayo za zakayo? Nawasilisha na endapo kuna mtu mwenye data zaidi atujuze...

sio issue,mwache mzee wetu ajiweke karibu na Sir God,usilete personal issue hapa
 
repetence is between God and Him not between Him and Tanzanians. Hata Mungu akikusamehe lazima kuna cost ya msamaha
1-alimsamehe Musa kwa kupiga mwamba ili utoe maji wakati alimwambia auamuru utoe maji, Musa alipotubu akamwambia lakini hutaingia Kanaani
2-Daudi alipomwua uria na akamwoa mke wa uria, alipoomba msamaha alimsamehe lakini mtoto akafa
etc etc

So does EL hata akisamehewa...Urais asahau!! and that is the cost of forgiveness

Mwisho wa ubaya ni aibu!Hili ni anguko la mwisho kwa EL!! Hata abel alipomua kaini mwisho wake unaeleweka!!Iweje fisadi akatubu kwa mfanyabiashara ya mihadarati nn kitatokea???? Wakati umefika sasa wa fungulia mbwa!!!
Who the cap fit????
 
that place is awesome my wife was there last sunday, wadau nawaambieni ile ni arena of liberty hakuna kinachoshindikana pale kwa jina la YESU, tayari nna testimony kibao za kushea. wife alikuwa na vidonda vya tumbo vinamkamata mpaka anapanda dirishani low pressure, ile kukanyaga tu pale hakusikia chochote mpaka wali wa ki nigeria wenye pilipili kibao alikuwa anakula sasa hivi hakuna cha low pressure wala ulcers kwishney. glory be to lord JESUS

Tatizo la wanaigeria bwana usanii mwingi. Unaweza kudhani ni nguvu za YESU kumbe ni nguvu za kiumbe mwingine. Si unajua tuna wachungaji walioenda kuchota nguvu kule!
 
kwa nini asingeenda tu loliondo kwa babu akapata kikombe .. lakini lowasa ukiacha ile kashfa ya ufisadi lowasa ni mtu makini katika uongozi....

Nakubaliana na wewe angalau yeye alikuwea anajua anachokifanya tatizo ni huo ufiswadi wake.
 
Lowasa ameacha alama yake katika mfumo wa elimu Tanzania, hizi sekondari za kata ni kwa sbb ya juhudi zake na hata wakuu/wakurugenzi wa wilaya walikuwa wanamwogopa zaidi Lowasa kuliko bosi wake Lowasa.....wote tunashuhudia jinsi ambavyo serikali imepwaya baada ya kuondoka Lowasa.....mtu atakayezima ndoto za Lowasa ni Salaa tu kama atagombea 2015. Ila kwa CCM sitashangaa kusikia Lowasa ameshinda 2015
 
Anatuzuga tu Nigeria kafuata nini?.kule kunasifika kwa u......... hata Kakobe inaaminika kapitia huko wale jamaa wanaweza kukuunganishia mavituz ukadhani kuwa unahubiri lile neno kumbe ushir.......... mtupu!.Janja ya nyani tumegundua kumbe ndiyo anakochaji vfaa vyake pole sana.URAIS 2015 SAHAU KABISA.
 
Maombi ya kidunda kwa EL naamini Nabii Joshua msanii
 
..kwa tb. Joshua jamaa kaona mbele maana jamaa alikuja kipindi cha mchakato wa uchaguzi na ilikuwa kimya kimya aliletwa na gwajima kiukweli jamaa ana maupako na wala si tapeli namkuli...
 
Back
Top Bottom