Beatification of Lowassa starts here

Beatification of Lowassa starts here

Nadhani anatubu zambi zake, ngoja anaweza kuwa safi!
 
Takataka hii
mimi nilijua kuna issue ibada zake sisi zinatuhusi nini?
kwani umeambiwa toba zote ni za kweli,
next time keep majungu yako
kanisani kuna mengi (siasa , uponyaji na social)
na hiyo uliyoandika ni takataka au ....? kama post inakuboa, ipotezee! tuna uhuru wa mawazo humu ndani!! nyambaf!
 
Muda si mrefu nimetoka kumwona mh Lowasa ndani ya kanisa la nabii TB joshua akiwa ametulia akisubili unabii wake. Naomba tumwombee katika harakati zake za kutengeneza na kuomba neema za Mungu juu yake na kufikia malengo yake
 
Muda si mrefu nimetoka kumwona mh Lowasa ndani ya kanisa la nabii TB joshua akiwa ametulia akisubili unabii wake. Naomba tumwombee katika harakati zake za kutengeneza na kuomba neema za Mungu juu yake na kufikia malengo yake


malengo yepi???naomba huo unabii usisemwe pale manake italeta mtafaruku
 
Lowasa nakushauri endeleana Uluteri wako acha kutangatanga. Ni ushauri tu
 
The more things change,the more they stay the same
 
Muda si mrefu nimetoka kumwona mh Lowasa ndani ya kanisa la nabii TB joshua akiwa ametulia akisubili unabii wake. Naomba tumwombee katika harakati zake za kutengeneza na kuomba neema za Mungu juu yake na kufikia malengo yake
yepi?Ya kurudia uwaziri mkuu?kuongeza mke?au watoto?????
 
kwa wale wenye access na emmanuel tv, chekini mh LOWASSA yupo live anapata neno la mungu kwa prophet TB JOSHUA.
Lowassa-rais.jpg
kaenda kutafuta upako wa kuingilia mahali patakatifu Ikulu mwaka 2015
 
Mungu ashukuriwe kwani hata wenye sifa kubwa, pesa nyingi na madaraka makubwa wanamtukuza Mungu. Kweli kwa yesu kila goti litapigwa....
 
Guys labda ameende kwenye ziara fulani ya serikali/bunge maana ni kiongozi huyu, akaona aende kwa mzee Joshua

haya mengine yenu

angekuwa emeingia choo cha mabibo hosteli mngesemaje??

He is human ebo!!!
 
nimemwona waziri wa botswana wa ulinzi aliyejiuzulu kwa ufisadi
 
Atautafuta sana urais but hatapata.
Makanisa kibao Tanzania anafuata nguvu gani huko?

we humjui Lowassa.huyu jamaa ana roho ngumu kuliko jiwe..yaani mpaka uchaguzi upite 2015 ndo ntajua hataki urais lakini as it stand by now to me he is a prespectve president on the marking.....
 
as a christian who believe in the saving power of the blood of Jesus Christ....he has all the right to be wherever he feels good....and being at SCOAN is a precious moment and it will change his life and belief. Above all the blood of Jesus has power to forgive him of whatever we see like unforgiven sins to him
 
Kila jambo kwa wakati na majira yake kila la heri.
 
Hayo ni mambo binafsi hayatuhusu Imani yake wanaopiga mi watu wa mashetani kila mtu Ana uzaifu wake mbona kuna wanzinzi wezi majambazi wote hawo mungu ndiye anatujua
 
Tunaacha. Kujadili mambo ya maana mnajadili mtu yuko kanisani ni kuingilia huru wa faraga ya mtu kusali
 
Back
Top Bottom