i have felt so happy to see him there.
Yesu anasema,dhambi zako zikiwa nyekundu kama damu nitazisafisha zitakuwa nyeupe kama theruji,acheni bwana amsafishe..
yupo pale utamwona tuunaangalia live lakini sijamwona pale
pamoja anasemwa na mengi mm nampenda lowasa im a cdm sapporter but if that man stand for president 2015 i wil vote for him !
Atautafuta sana urais but hatapata.
Makanisa kibao Tanzania anafuata nguvu gani huko?
muacheni afanye mambo yake binafsi ila yasiingiliekweli bwana.........au hawaamini wachunga kondoo wa hapa?
Takataka hiiNasikia mzee wa Monduli ameonekana leo kwenye ibada ya tb joshua huko nigeria!!
Hivi hizi toba kweli zinasaidia maana mali yote ya kifisadi bado anaimiliki!au ni toba ya kuomba gamba livuke?