Beach gani nzuri jamani Dar-es-salaam

kigamboni! sema ya kiswaz mbaaya! ukiweka nguo zako vibaya unaeza ukaenda home na kichup chako cha kuogelea .......... njoo nikupeleke?

mambo ya kurudi na kichupi mkononi na tz11 hapana lol
 
wewe nenda yeyote mpaka upelekwe kwani we kipofu
 

Faiza uko sahihi, lakini kutoka Shungubweni pale kwenda Boza usafiri vipi, nazungumzia barabara, imerekebishwa au bado ? Kama kuna njia nyingine niambie.

Kwa beach safi na salama, Boza the best.Bado natural kabisa.
 
Faiza uko sahihi, lakini kutoka Shungubweni pale kwenda Boza usafiri vipi, nazungumzia barabara, imerekebishwa au bado ? Kama kuna njia nyingine niambie.

Kwa beach safi na salama, Boza the best.Bado natural kabisa.

Daah uko mbal, panafaa for holidays, ukienda ukrud unajua kesho ntapumzka tu
 
Naona ndugu yangu nimecheka kweli comments za watu humu ndani. Hope umepata jibu though. Otherwise njoo pm nyakupa uzoefu wangu na beach za mbezi

Ver fun, kuna walio serious, kuna wenye bang, napia wanaoleta utan wapo pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…