Beach gani nzuri jamani Dar-es-salaam

Upande upi sasa kwa Dar unaelekeza kama mmasai.Huko Boza kama unaelekea Bagamoyo au kigamboni?Mwelekeze vzr wengine pia tupajue.
 
Km 65? Si siku nzima kusafiri?

Kusafiri ni saa moja mpaka matatu kutoka katikati ya jiji, inategemea na muda ulioondoka na msongamano uliopo.

Normally siku za weekend ukiondoka kabla ya saa mbili asubuhi, inakuchukuwa saa moja mpaka moja na nusu maximum.

Siku za week days ndio utahenya kidogo na msongamano mpaka ukishatoka nje ya mji, itakuchukuwa masaa mawili mpaka matatu kufika.

Lakini samahani sana, siwaambii ni wapi, mtapachafua. Wacha mpajue wenyewe kwa bahati mbaya.
 
Bichi nzuri na kali kuliko zote ni kitanda pekee tena kiwe nje kwenye gaden aaah
 

Nikija naomba uwe mwenyeji wangu.
 


Za nje ya jiji pia ni nzuri kama unapenda visafari safari...nendeni bwaga-heart
 
Ewe punguani, Pangani ni 65KM kutoka Dar.? Soma vizuri kabla hujakurupuka.

Hii mijitu mingine sijui ikoje! halafu atakwambia anaishi Dar., hata Boza Beach, haijui, huko wakuja hawapajui. Kumbuka hilo.

msamehe bure kwa kudandia treni kwa mbele.........

utanielekeza vizuri hiyo beach...........

natumaini haitanihitaji niwe na ulinzi huko.
 
Nenda South beach au Kunduchi wana huduma nzuri kwa mda niliokuepo hapo bt currently i knew nothing.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…