Mtoa mada umemtaja kistaarabu sana. Ukisoma love connect utamfahamu. Nimeikumbuka hii stori na nilimuonea huruma sana. Iddiotilycious!
sijawai kukutana na huyo mjane kwa kweli!NiPM ID yake basi, mimi nimeshindwa kuunganisha dots.
Mtoa mada umemtaja kistaarabu sana. Ukisoma love connect utamfahamu. Nimeikumbuka hii stori na nilimuonea huruma sana. Iddiotilycious!
Kumuamini mtu humu kwenye mtandao yataka moyo!
Hakuambiwa alikuja kugundua mwenyewe tena the hard way, the good thing is that she has decided to warn her colleagues. Wadada siyo kila kingaacho ni DHAHABU!Pole sana kwa yaliyo kukuta...Mpaka alikuambia ameoa na ana watoto wawili...?Pole sana..
Wanawake wa siku hizi wengi bila kuwapiga sound inakua ngumu sana kupewa mzigo lakini huyu mshkaji I think he's gone a bit too far 'kumuua' mkewe!
Mkuu, mimi kila nikipiga sound wananikaushia, najiuliza sijui nitumie na mimi hiyo technic, nahitaji kimwana wa JF.Wanawake wa siku hizi wengi bila kuwapiga sound inakua ngumu sana kupewa mzigo lakini huyu mshkaji I think he's gone a bit too far 'kumuua' mkewe!
Poleni sana!Happy Valentine all,
Poleni na mzunguko wa maisha wa miaka nenda miaka rudi.
Naomba kuwasilisha swala lifuatalo.......Huu sio utani ni swala muhimu sana.
Kuna kijana ni tapeli wa mapenzi/muongo sana yuko hapa JF na huwa ana ID nyingi sana. Huyu kaka amekuwa akitumia kigezo cha kufiwa na mchumba wake kama kigezo cha kupata huruma ya wadada na hivyo kuwarubuni kimapenzi. Sio kweli kwamba amefiwa na mchumba, ukweli ni kwamba ameoa na ana familia yake (mke tena mzuri tu na watoto wawili). Ni mtu ambae basi tu anapenda tabia ya udanganyifu online kwa warembo mbalimbali hadi kufikia hatua ya kuwa kwenye mahusiano. Ni mkazi wa mikoa ya kaskazini.
Yakikufika ya kukufika usije sema hukuambiwa, kuweni makini sana na hawa the so called online lovers, friends n.k. Wengi wao sio, wengi wao ni waongo tu wanaojaribu kucheza na psychology za watu.
Asanteni.
Naona Kijana huyu ni mzinzi na ana pepo la ngono lina mtawala AU MGONJWA ?
ngoja nifunge na kuomba kwa ajili yake
..