BE WARNED:this is for all mmu female members

BE WARNED:this is for all mmu female members

watu kama hawa ni wa kuwabutua tu live

msiogope
 
Ya kweli Preta kunyonya damu tena

hakuna haja ya kumnyonya damu... damu yenyewe si ajabu si salama kabisaaa

dawa ni kupiga live kila mtu amjue kabisa, maana kaanza mwenyewe gemu chafu

piga live tu

halafu kama keshajulikana aisee
 
Watoto wa kike mmekuwa wepesi yani kwenye mtandao unatongozwa na unalika bila tabu!pole yenu...alafu unaanza kuumia kumbe ulitaka mwenyewe kuwa digitali...analogia mnawaona washamba..kumbe nyie ndo washamba mkifika elimu za juu ndo mnajiona mpo juu,kumbe hamna lolote mnataka maisha yawe marahisi...kazi kudandia waume za watu bila kutafakari...na viboifrend vyenu vya chuo kudandia wake za watu...mtaumia shauri yenu...fateni yaliyowapeleka shule!na muendelee na wale mliokuwa nao kuanzia elimu ya sekondari...sio kujifanya mmefika elimu ya juu alafu unamuona hana future na wew..p.mb.f. Zenyuuu..sh...nnnnzzz....kabisa nyamazenu...azabu yenu ni hapa hapa duniani..mtaliwa na watu thru mitandao mpaka mjute..na mpaka mtakapo amua kubadili tabia zenu..kazi kupenda wanaaume wanaofanya kazi kule porini...sijui afugem,tanzaniteone..nk!kaeni msome,wazazi wenu wanajua mnasoma sio kuuza na kutafuta umaarufu na wanaume!karibu tena....
 
Duh..! Itabidi nimchunguze vizuri huyu mupenzi niliyempata humu JF, yawezekana nae akawa wale walee..!

Umakini unahitajika katika hili suala aisee..! Unaweza ukadhani umeopoa kumbe imekula kwako..!
 
Duh..! Itabidi nimchunguze vizuri huyu mupenzi niliyempata humu JF, yawezekana nae akawa wale walee..!

Umakini unahitajika katika hili suala aisee..! Unaweza ukadhani umeopoa kumbe imekula kwako..!

Sasa tough girl,jamaa si kaona aisee?klaaaa...kuwa wataka mchunguza...ungemezea halafu umchunguze kimya kimya as umesema umemtolea humu JF ina maana possibility ya yeye kupita hapa ni kubwa!
 
mpuuzi sana unaua mke kisa K mshamba na hafai na hana vigezo haya mnaopenda dezo kazi kenu.
 
Nionavyo mimi mwanaume ukutane naye mtandaoni au nje ya mtandao bado tu utahitajika kuwa makini maana mambo ni yaleyale tu kama hiyo ni tabia yake ni tabia yake tu.....

cha msingi ni kuwa makini
maana huyo wa mtandaoni si ndo huyohuyo anayeweza akakulaghai hata huko nje ya mtando
kwahiyo ni yaleyale
kuwa tu na msimamo wako iwe mtandaoni au nje ya mtandao
 
Happy Valentine all,

Poleni na mzunguko wa maisha wa miaka nenda miaka rudi.

Naomba kuwasilisha swala lifuatalo.......Huu sio utani ni swala muhimu sana.

Kuna kijana ni tapeli wa mapenzi/muongo sana yuko hapa JF na huwa ana ID nyingi sana. Huyu kaka amekuwa akitumia kigezo cha kufiwa na mchumba wake kama kigezo cha kupata huruma ya wadada na hivyo kuwarubuni kimapenzi.

Wait....ina maana mtu akifiwa na mchumba/mke wake huwa mnamuhurumia?! Hakika Mwenyezi Mungu wanawake kawaumba kwa namna ya kipekee !! Wakati dume likikuta mwanamke aliyefiwa linaamua ku-take advantage(opportunism) wenzetu mnaamua kuwa na huruma na mfiwa na hivyo kuwa tayari kumfariji! Hakika kwa hili basi yeyote anayewachukiza basi huyo anapaswa kulaaniwa
 
unalalaje na lijitu hulijui vizuri tena mtandaoni aisee kinadada tuna kazi sana mbado aiseee!
 
Nionavyo mimi mwanaume ukutane naye mtandaoni au nje ya mtandao bado tu utahitajika kuwa makini maana mambo ni yaleyale tu kama hiyo ni tabia yake ni tabia yake tu.....

cha msingi ni kuwa makini
maana huyo wa mtandaoni si ndo huyohuyo anayeweza akakulaghai hata huko nje ya mtando
kwahiyo ni yaleyale
kuwa tu na msimamo wako iwe mtandaoni au nje ya mtandao

Kweli aisee.....jiongo jiongo tu, hata ukutane nalo msikitini au kanisani bado atafanya vile vile au zaidi ya lile ulilokumbana nalo mtandaoni! The only different ni kwamba yule wa mtandaoni anaweza kuku-cheat hadi his/her physical appearance!! If what u care more is not physical appearance, then hata online can be better platform for hunting!
 
unalalaje na lijitu hulijui vizuri tena mtandaoni aisee kinadada tuna kazi sana mbado aiseee!
We nahisi kama unataka kuniharibia hapa wakati PM zangu zinaenda vizuri!! For what i know, kidunguche hivi sasa ni kama saa tisa usiku...wht ru waiting hutaki kulala?! Or u were into pair somewhere for valentine na umejikuta ukirudi peke yako baada ya mwenzako kuaga anaenda washroom na hadi sasa hajarudi?!
 
hahaaaa nasubiria magftee acha kabisa si unajua zamu round ya mke mdogo ndio inaisha saa hizi ndio najianda mashhtamuu asikute haba.
We nahisi kama unataka kuniharibia hapa akati PM zangu zinaenda vizuri!! For what i know, kidunguche hivi sasa ni kama saa tisa usiku...wht ru waiting hutaki kulala?! Or u were into pair somewhere for valentine na umejikuta ukirudi peke yako baada ya mwenzako kuaga anaenda washroom na hadi sasa hajarudi?!
 
weka baadhi ya ID zake tumfahamu
hizi ni zama za uwazi na ukweli
kaniudhi sana hakuna dhambi mbaya kama kumuua mtu kwa maneno.
natamani siku akamatike mabaunza wamshughulikie atie adabu.
Mtambuzi kile kisa chako kinamfaa huyu bwana ulipochomoka hotelini mbele ya mabaunsa wale
 
hahaaaa nasubiria magftee acha kabisa si unajua zamu round ya mke mdogo ndio inaisha saa hizi ndio najianda mashhtamuu asikute haba.

Aisee....!! Manake ni kama nakuona umeingia chaka vilee! Na ni kwamba utasubiri sana na utakachopata is no longer kile cha valentine!!
 
Back
Top Bottom