BE WARNED:this is for all mmu female members

BE WARNED:this is for all mmu female members

heh! Kafanye homework yako bwana! Usinifanye nikaitwa mdaku!

This is for jf ladies! Jamani mapenzi ya voda fasta hakunaga! Mfahamu mtu mtandaoni, take your time kumjua na ujue walau familia na marafiki. Tatizo letu uchumba wa siku hizi unatoka pm, unaingia simu, unamalizikia gesti hausi. Kuweni na kiherehere kama magelofrendi wa diamond. Kabla hajatamja unapiga mapicha na mamake mzazi unaji-blogg! Mtatapeliwa sio hela tu. Utu na magonjwa vinahusika. Hamuogopi kuchinjwa (i watch too much criminal investigations, lol)
Yalaaaa,
Yani umequote maelezo yangu halafu ukaunganisha na ujumbe kwa ladies wote humohumo.... Hautawafikia mazee.... Hebu do the needful
 
Ha ha ha ha, vijana wanasaka ndoa hapa

Wakati wenzao tunasaka tundi tu.

Too much criminal Investigation movies are not good
Lakini huyo dogo wa kusaka tundu kw kuua tundu kaharibu mbaya
 
Mmmh, ulikuwa unasaka ndoa?
Kongosho, kusaka ndoa sio swala la ajabu hasa kwa binti au mdada ambaye bado hajaolewa, na haata walio kwenye ndoa walipitia shuruba flani(kama wapo ambao hawakupitia basi ni bahati yao).

Kuhusu Nilijuaje kuhusu yeye....najua mwenyewe. Kwamba aliniingiza town au lahh.....hili nalo sio kwani mie mwenyewe mjanja wa jiji, sijaanza kujua internet leo na michezo yake.

Kuhusu kumtaja, siwezi kumtaja huyu mtu, nimeweka hii kuwaonya wanawake kwamba wawe makini na watu wa mitandaoni. Ni kweli wapo waliooana kwa kuwapata wenza wao humu humu, na facebook...(nawajua kwa majina), mimi pia kupitia facebook nilimpata rafiki ambae amekuwa ni msaada kwangu na kwa familia yangu kwa jinsi Mungu anavyomtumia. Hivyo humu wapo wa kila aina i.e. wazuri na wabaya, la muhimu ni umakini wa namna ya kuwachuja.

Kwa mlengwa: Muhimu Mhusika abadilike, asipobadilika ajue kuna Mungu asiyependa uongo na hivyo hukumu yake inamngoja. Kwani akisema ameoa na anataka tu mchezo kuna ubaya gani, why atafute sympathy?
 
Kongosho, kusaka ndoa sio swala la ajabu hasa kwa binti au mdada ambaye bado hajaolewa, na haata walio kwenye ndoa walipitia shuruba flani(kama wapo ambao hawakupitia basi ni bahati yao).

Kuhusu Nilijuaje kuhusu yeye....najua mwenyewe. Kwamba aliniingiza town au lahh.....hili nalo sio kwani mie mwenyewe mjanja wa jiji, sijaanza kujua internet leo na michezo yake.

Kuhusu kumtaja, siwezi kumtaja huyu mtu, nimeweka hii kuwaonya wanawake kwamba wawe makini na watu wa mitandaoni. Ni kweli wapo waliooana kwa kuwapata wenza wao humu humu, na facebook...(nawajua kwa majina), mimi pia kupitia facebook nilimpata rafiki ambae amekuwa ni msaada kwangu na kwa familia yangu kwa jinsi Mungu anavyomtumia. Hivyo humu wapo wa kila aina i.e. wazuri na wabaya, la muhimu ni umakini wa namna ya kuwachuja.

Kwa mlengwa: Muhimu Mhusika abadilike, asipobadilika ajue kuna Mungu asiyependa uongo na hivyo hukumu yake inamngoja. Kwani akisema ameoa na anataka tu mchezo kuna ubaya gani, why atafute sympathy?
nashangaa sana mtu ambae anaponda wapenzi wa hapa,watu tumenyamaza tu ! sitaki maswali
pole sana
kwa nini mtu aseme mkewe amekufa jamani?
 
Hujanielewa, nilikuwa na maana ya mwenye thread kama ana UPENDO wa kweli amtaje jina lake huyo jamaa tapeli.

Muhimu sio kutaja jina, la muhimu ni umakini mpendwa. Kuna matapeli wengi humu, kuna baadhi ya watu wana access na internet za bure hawana ya maana ya kufanya zaidi ni kufanya michezo michafu kama hii. Sasa tutakutajia wangapi?
 
Happy Valentine all,

Poleni na mzunguko wa maisha wa miaka nenda miaka rudi.

Naomba kuwasilisha swala lifuatalo.......Huu sio utani ni swala muhimu sana.

Kuna kijana ni tapeli wa mapenzi/muongo sana yuko hapa JF na huwa ana ID nyingi sana. Huyu kaka amekuwa akitumia kigezo cha kufiwa na mchumba wake kama kigezo cha kupata huruma ya wadada na hivyo kuwarubuni kimapenzi. Sio kweli kwamba amefiwa na mchumba, ukweli ni kwamba ameoa na ana familia yake (mke tena mzuri tu na watoto wawili). Ni mtu ambae basi tu anapenda tabia ya udanganyifu online kwa warembo mbalimbali hadi kufikia hatua ya kuwa kwenye mahusiano. Ni mkazi wa mikoa ya kaskazini.

Yakikufika ya kukufika usije sema hukuambiwa, kuweni makini sana na hawa the so called online lovers, friends n.k. Wengi wao sio, wengi wao ni waongo tu wanaojaribu kucheza na psychology za watu.

Asanteni.

Nakadori pole sana....ni moja ya mbinu ya wanaume na wanawake kutongozea mitandaoni, keep in mind pia kuna wanawake malaya huku wanatafuta wanaume wakuwatapeli.....kwangu mimi sioni kama kuna tatizo hapo maana mwanamke anatafuta mwanaume na mwanaume anatafuta mwanamke mtandaoni. Sio wanawake tuu naamini pia kuna wanaume wameshadanganywa mitandaoni sema wanaume ni wasiri. Pia kila kitu unachokifanya kuna advantage na disadvantage, kwa hiyo chukulia hiyo ni moja ya changamoto tuu..usife moyo utakuja mpata wa kweli siku moja...keep on searching.
 
unalalaje na lijitu hulijui vizuri tena mtandaoni aisee kinadada tuna kazi sana mbado aiseee!

Kitu ambacho kinanisikitisha mtoa mada alivyoileta hii mada inaonyesha asilimia kubwa ya wanawake humu mtandaoni wanatafuta kitu....wako kwa ajili ya kutafuta wanaume....mimi kwa kweli sipati picture mwanamke unamtongoza mtandaoni alafu anakukubali....lazima ujiulize kuna wangapi ameshawagegeda na pia kuna wangapi wameshamgegeda....Strange kwa kweli.
 
Kuna mambo mengine yanashughulikiwa na muda tu

Umri ukisonga uhalisia huingia akilini (ellusions zote hukimbia)

Enzi zile za mkoloni nimechaguliwa kuingia chuo kikuu
Nilidhani maisha yamebadilika, na 'NIKIMALIZA TU CHUO' nitakuwa naendesha vogue la kijani, sitakaa niwe na mfugo kwangu maana nitakuwa na walinzi elfu.

Utu uzima ukanijibu hivi, you need to work hard kupata hayo, na ni process.

Ngoja tu umri uongezeke utaelewa.

Kongosho, kusaka ndoa sio swala la ajabu hasa kwa binti au mdada ambaye bado hajaolewa, na haata walio kwenye ndoa walipitia shuruba flani(kama wapo ambao hawakupitia basi ni bahati yao).

Kuhusu Nilijuaje kuhusu yeye....najua mwenyewe. Kwamba aliniingiza town au lahh.....hili nalo sio kwani mie mwenyewe mjanja wa jiji, sijaanza kujua internet leo na michezo yake.

Kuhusu kumtaja, siwezi kumtaja huyu mtu, nimeweka hii kuwaonya wanawake kwamba wawe makini na watu wa mitandaoni. Ni kweli wapo waliooana kwa kuwapata wenza wao humu humu, na facebook...(nawajua kwa majina), mimi pia kupitia facebook nilimpata rafiki ambae amekuwa ni msaada kwangu na kwa familia yangu kwa jinsi Mungu anavyomtumia. Hivyo humu wapo wa kila aina i.e. wazuri na wabaya, la muhimu ni umakini wa namna ya kuwachuja.

Kwa mlengwa: Muhimu Mhusika abadilike, asipobadilika ajue kuna Mungu asiyependa uongo na hivyo hukumu yake inamngoja. Kwani akisema ameoa na anataka tu mchezo kuna ubaya gani, why atafute sympathy?
 
kuna waliopata wenza humu humu kwenye mitandao......
na siku hizi idadi inaongezeka

inawezekana wapo but idadi yake ni ndogo kuliko wanaoingizwa mjini i guess!
 
Sasa tough girl,jamaa si kaona aisee?klaaaa...kuwa wataka mchunguza...ungemezea halafu umchunguze kimya kimya as umesema umemtolea humu JF ina maana possibility ya yeye kupita hapa ni kubwa!

Hahahaaaa... Tough boy.! Inawezekana jamaa mwenyewe ni wewe.. Mbona umeshtuka?? Hahahaa...
 
Happy Valentine all,

Poleni na mzunguko wa maisha wa miaka nenda miaka rudi.

Naomba kuwasilisha swala lifuatalo.......Huu sio utani ni swala muhimu sana.

Kuna kijana ni tapeli wa mapenzi/muongo sana yuko hapa JF na huwa ana ID nyingi sana. Huyu kaka amekuwa akitumia kigezo cha kufiwa na mchumba wake kama kigezo cha kupata huruma ya wadada na hivyo kuwarubuni kimapenzi. Sio kweli kwamba amefiwa na mchumba, ukweli ni kwamba ameoa na ana familia yake (mke tena mzuri tu na watoto wawili). Ni mtu ambae basi tu anapenda tabia ya udanganyifu online kwa warembo mbalimbali hadi kufikia hatua ya kuwa kwenye mahusiano. Ni mkazi wa mikoa ya kaskazini.

Yakikufika ya kukufika usije sema hukuambiwa, kuweni makini sana na hawa the so called online lovers, friends n.k. Wengi wao sio, wengi wao ni waongo tu wanaojaribu kucheza na psychology za watu.

Asanteni.
ana bahati kakutana na wewe mimi ningemtaja live kama nilivyomtaja yule aliyekuwa ananitongoza tongoza humu mimi nataja potelea mbali
 
Muhimu sio kutaja jina, la muhimu ni umakini mpendwa. Kuna matapeli wengi humu, kuna baadhi ya watu wana access na internet za bure hawana ya maana ya kufanya zaidi ni kufanya michezo michafu kama hii. Sasa tutakutajia wangapi?
Ok, lakini ungemtaja huyo uliyemwelezea hapa ingekuwa BUSARA zaidi. Kuhusu wengine hatuwahitaji maana wapo wengi, sisi tunataka huyu uliyemweka kwenye hii topic.
 
nashangaa sana mtu ambae anaponda wapenzi wa hapa,watu tumenyamaza tu ! sitaki maswali
pole sana
kwa nini mtu aseme mkewe amekufa jamani?
Smile i guess some one here hahaahahahha
 
Last edited by a moderator:
ana bahati kakutana na wewe mimi ningemtaja live kama nilivyomtaja yule aliyekuwa ananitongoza tongoza humu mimi nataja potelea mbali
Kufumbafumba mambo wakati mwingine huwa UONGO. Kama pana ukweli kwanini panafichwa jina???????????? Mshauri huyu mwenzio amtaje huyo aliyemkusudia humu kwenye thread.
 
hivi kumbe watu wanapata mzigo humuu,ngoja nami nianze
 
Back
Top Bottom