Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,707
- 1,729
Hujanielewa, nilikuwa na maana ya mwenye thread kama ana UPENDO wa kweli amtaje jina lake huyo jamaa tapeli.Ati upendo wa kweli! Hahaha. Mitandao soo!
Hujanielewa, nilikuwa na maana ya mwenye thread kama ana UPENDO wa kweli amtaje jina lake huyo jamaa tapeli.Ati upendo wa kweli! Hahaha. Mitandao soo!
Yalaaaa,heh! Kafanye homework yako bwana! Usinifanye nikaitwa mdaku!
This is for jf ladies! Jamani mapenzi ya voda fasta hakunaga! Mfahamu mtu mtandaoni, take your time kumjua na ujue walau familia na marafiki. Tatizo letu uchumba wa siku hizi unatoka pm, unaingia simu, unamalizikia gesti hausi. Kuweni na kiherehere kama magelofrendi wa diamond. Kabla hajatamja unapiga mapicha na mamake mzazi unaji-blogg! Mtatapeliwa sio hela tu. Utu na magonjwa vinahusika. Hamuogopi kuchinjwa (i watch too much criminal investigations, lol)
Lakini huyo dogo wa kusaka tundu kw kuua tundu kaharibu mbayaHa ha ha ha, vijana wanasaka ndoa hapa
Wakati wenzao tunasaka tundi tu.
Too much criminal Investigation movies are not good
Kongosho, kusaka ndoa sio swala la ajabu hasa kwa binti au mdada ambaye bado hajaolewa, na haata walio kwenye ndoa walipitia shuruba flani(kama wapo ambao hawakupitia basi ni bahati yao).Mmmh, ulikuwa unasaka ndoa?
nashangaa sana mtu ambae anaponda wapenzi wa hapa,watu tumenyamaza tu ! sitaki maswaliKongosho, kusaka ndoa sio swala la ajabu hasa kwa binti au mdada ambaye bado hajaolewa, na haata walio kwenye ndoa walipitia shuruba flani(kama wapo ambao hawakupitia basi ni bahati yao).
Kuhusu Nilijuaje kuhusu yeye....najua mwenyewe. Kwamba aliniingiza town au lahh.....hili nalo sio kwani mie mwenyewe mjanja wa jiji, sijaanza kujua internet leo na michezo yake.
Kuhusu kumtaja, siwezi kumtaja huyu mtu, nimeweka hii kuwaonya wanawake kwamba wawe makini na watu wa mitandaoni. Ni kweli wapo waliooana kwa kuwapata wenza wao humu humu, na facebook...(nawajua kwa majina), mimi pia kupitia facebook nilimpata rafiki ambae amekuwa ni msaada kwangu na kwa familia yangu kwa jinsi Mungu anavyomtumia. Hivyo humu wapo wa kila aina i.e. wazuri na wabaya, la muhimu ni umakini wa namna ya kuwachuja.
Kwa mlengwa: Muhimu Mhusika abadilike, asipobadilika ajue kuna Mungu asiyependa uongo na hivyo hukumu yake inamngoja. Kwani akisema ameoa na anataka tu mchezo kuna ubaya gani, why atafute sympathy?
Hujanielewa, nilikuwa na maana ya mwenye thread kama ana UPENDO wa kweli amtaje jina lake huyo jamaa tapeli.
Happy Valentine all,
Poleni na mzunguko wa maisha wa miaka nenda miaka rudi.
Naomba kuwasilisha swala lifuatalo.......Huu sio utani ni swala muhimu sana.
Kuna kijana ni tapeli wa mapenzi/muongo sana yuko hapa JF na huwa ana ID nyingi sana. Huyu kaka amekuwa akitumia kigezo cha kufiwa na mchumba wake kama kigezo cha kupata huruma ya wadada na hivyo kuwarubuni kimapenzi. Sio kweli kwamba amefiwa na mchumba, ukweli ni kwamba ameoa na ana familia yake (mke tena mzuri tu na watoto wawili). Ni mtu ambae basi tu anapenda tabia ya udanganyifu online kwa warembo mbalimbali hadi kufikia hatua ya kuwa kwenye mahusiano. Ni mkazi wa mikoa ya kaskazini.
Yakikufika ya kukufika usije sema hukuambiwa, kuweni makini sana na hawa the so called online lovers, friends n.k. Wengi wao sio, wengi wao ni waongo tu wanaojaribu kucheza na psychology za watu.
Asanteni.
unalalaje na lijitu hulijui vizuri tena mtandaoni aisee kinadada tuna kazi sana mbado aiseee!
Kongosho, kusaka ndoa sio swala la ajabu hasa kwa binti au mdada ambaye bado hajaolewa, na haata walio kwenye ndoa walipitia shuruba flani(kama wapo ambao hawakupitia basi ni bahati yao).
Kuhusu Nilijuaje kuhusu yeye....najua mwenyewe. Kwamba aliniingiza town au lahh.....hili nalo sio kwani mie mwenyewe mjanja wa jiji, sijaanza kujua internet leo na michezo yake.
Kuhusu kumtaja, siwezi kumtaja huyu mtu, nimeweka hii kuwaonya wanawake kwamba wawe makini na watu wa mitandaoni. Ni kweli wapo waliooana kwa kuwapata wenza wao humu humu, na facebook...(nawajua kwa majina), mimi pia kupitia facebook nilimpata rafiki ambae amekuwa ni msaada kwangu na kwa familia yangu kwa jinsi Mungu anavyomtumia. Hivyo humu wapo wa kila aina i.e. wazuri na wabaya, la muhimu ni umakini wa namna ya kuwachuja.
Kwa mlengwa: Muhimu Mhusika abadilike, asipobadilika ajue kuna Mungu asiyependa uongo na hivyo hukumu yake inamngoja. Kwani akisema ameoa na anataka tu mchezo kuna ubaya gani, why atafute sympathy?
kuna waliopata wenza humu humu kwenye mitandao......
na siku hizi idadi inaongezeka
Sasa tough girl,jamaa si kaona aisee?klaaaa...kuwa wataka mchunguza...ungemezea halafu umchunguze kimya kimya as umesema umemtolea humu JF ina maana possibility ya yeye kupita hapa ni kubwa!
ana bahati kakutana na wewe mimi ningemtaja live kama nilivyomtaja yule aliyekuwa ananitongoza tongoza humu mimi nataja potelea mbaliHappy Valentine all,
Poleni na mzunguko wa maisha wa miaka nenda miaka rudi.
Naomba kuwasilisha swala lifuatalo.......Huu sio utani ni swala muhimu sana.
Kuna kijana ni tapeli wa mapenzi/muongo sana yuko hapa JF na huwa ana ID nyingi sana. Huyu kaka amekuwa akitumia kigezo cha kufiwa na mchumba wake kama kigezo cha kupata huruma ya wadada na hivyo kuwarubuni kimapenzi. Sio kweli kwamba amefiwa na mchumba, ukweli ni kwamba ameoa na ana familia yake (mke tena mzuri tu na watoto wawili). Ni mtu ambae basi tu anapenda tabia ya udanganyifu online kwa warembo mbalimbali hadi kufikia hatua ya kuwa kwenye mahusiano. Ni mkazi wa mikoa ya kaskazini.
Yakikufika ya kukufika usije sema hukuambiwa, kuweni makini sana na hawa the so called online lovers, friends n.k. Wengi wao sio, wengi wao ni waongo tu wanaojaribu kucheza na psychology za watu.
Asanteni.
Ok, lakini ungemtaja huyo uliyemwelezea hapa ingekuwa BUSARA zaidi. Kuhusu wengine hatuwahitaji maana wapo wengi, sisi tunataka huyu uliyemweka kwenye hii topic.Muhimu sio kutaja jina, la muhimu ni umakini mpendwa. Kuna matapeli wengi humu, kuna baadhi ya watu wana access na internet za bure hawana ya maana ya kufanya zaidi ni kufanya michezo michafu kama hii. Sasa tutakutajia wangapi?
Kufumbafumba mambo wakati mwingine huwa UONGO. Kama pana ukweli kwanini panafichwa jina???????????? Mshauri huyu mwenzio amtaje huyo aliyemkusudia humu kwenye thread.ana bahati kakutana na wewe mimi ningemtaja live kama nilivyomtaja yule aliyekuwa ananitongoza tongoza humu mimi nataja potelea mbali
general, hebu tupe wengine hatuko sana love connect