jamani tujuzane hvi hawa jamaa wakikupatia kazi unakuwa chini yao au inakuwaje wadau nidadavulieni plz...
hawa jamaa hawapo serious kabisa... watu wamefanya kazi mwaka mpaka leo makato yao hayajapelekwa PPF/NSSF, zaidi ya miaka miwili wafanyakazi hawajapata likizo coz mkataba wao na wafanyakazi wao ni kwa miezi mitatu mitatu tuu. wafanyakazi waao wanaweza kucheleweshewa mishahara wakiulizia wanaambiwa tumesahau akaunti zenu....
ni recruitment agency ya kinyonyaji sana....
swali langu hivi wizara ya kazi inajua unyonyonyaji unaofanywa na hizi recruitment agencies???
ni nani anayewapa kiburi hawa jamaa???
source: mie mwenyewe niliwahi kufanya nao kazi
kaa nyumban uone utamu wake
hope muda huu unaotuma post hapa..hebu jaribu pia kugoogle ujue ofc zao...au vipi bibie/shemejisina kazi nina kazi ya kupika mchuzi na wali na kuwasaidia watoto homework tu
hope muda huu unaotuma post hapa..hebu jaribu pia kugoogle ujue ofc zao...au vipi bibie/shemeji
wananyonya saaaaana c jui pale nani kaweka mkono haiwezekani wawe hivi bure bure
Wewe inaonekana unazijua zijua hizi recruitment agencies, vipi kuhusu Manpower?Eurolink ni janga janga kweli kweli! Si masikhara! Mie nilinda kwa interview zao mbuzi, basi saa ya mshahara nikataja figure reasonable tu, wakashtuka eti! Basi wakaniambia wao wanatoa hio hela ya vocha. Nikawatolea salary sleep nikawaambia mimi huku niliko napata mara kibao zaidi ya hio ila hainitoshi ndo nataka kuhama hivoo, sasa huto tu pesa twa vocha ni deal breaker.
Wakaanza kunipiga sound nikawapotezeaaa mazimaaa!
Ila kuna decent recruitment agency kama Enrich Africa yule muhindi yuko poa sanaaaaa. Tena anakwambia usikubali kufanywa valuless na kampuni, unamwambia hela unayotaka anakutafutia within a short time, na humlipi chochote na mkataba un aingia na client wake na yeye analipwa na client. Na ukishaanza kwa client its over btn you guys hakutafuti tena unless usirizike urudi akutaftie pengine.
That was along time agooo alikuwa ndo anaanza anza siku hizi sijui amekuwaje au bado yuko honest.
Shughulika recruitment wahuni tu, radar recruitment na siku hizi wababishaji kupita maelezo, yaani hizi recruitment agency nyingi magumashi.
sina kazi nina kazi ya kupika mchuzi na wali na kuwasaidia watoto homework tu
Kukimbia tatizo si kutatua tatizo.nikiona kaz yoyote via recruitment agency sinahabari nayo!