KIMAROO
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 453
- 259
hawa jamaa hawapo serious kabisa... watu wamefanya kazi mwaka mpaka leo makato yao hayajapelekwa PPF/NSSF, zaidi ya miaka miwili wafanyakazi hawajapata likizo coz mkataba wao na wafanyakazi wao ni kwa miezi mitatu mitatu tuu. wafanyakazi waao wanaweza kucheleweshewa mishahara wakiulizia wanaambiwa tumesahau akaunti zenu....
ni recruitment agency ya kinyonyaji sana....
swali langu hivi wizara ya kazi inajua unyonyonyaji unaofanywa na hizi recruitment agencies???
ni nani anayewapa kiburi hawa jamaa???
source: mie mwenyewe niliwahi kufanya nao kazi
ni recruitment agency ya kinyonyaji sana....
swali langu hivi wizara ya kazi inajua unyonyonyaji unaofanywa na hizi recruitment agencies???
ni nani anayewapa kiburi hawa jamaa???
source: mie mwenyewe niliwahi kufanya nao kazi