Elections 2010 BBC wanauma bila kupuliza

The Dreamer

JF-Expert Member
Feb 2, 2009
1,282
20
Naifuatilia BBC kwa makini tangu jana ila napata wasiwasi kama wapo balanced kwenye habari zao. Wanajifanya kama vile wanachambua wakati wanahitimisha kwa ushabiki. Leo ilikuwa mara ya pili kuwasikia wakihoji watu kwenye mikutano ya CHADEMA kwa lengo la kuonyesha kwamba ile nyomi ipo ipo tu. Mara ya kwanza niliwasikia Karagwe na leo ilikuwa Zanzibar. Anyway, kuhusu Zanzibar haishangazi lakini BBC wanapaswa "Kudeclare Interest". Bado tuna kumbukumbu na Tido Mhando 2005!
 
Radio fair ni deutsche welle.
naamini wanabaniwa kuingia kwenye kuripoti kwa mapana kwa sababu ccm wanajua hawana mapandikizi mule. ila bbc ambayo TIDO ametokea humo kuna chipukizi kibao ya ccm ambayo yanasubiri kupangiwa kazi na serikali ya ccm.
Kama mnabisha semeni
 
Radio fair ni deutsche welle.
naamini wanabaniwa kuingia kwenye kuripoti kwa mapana kwa sababu ccm wanajua hawana mapandikizi mule. ila bbc ambayo TIDO ametokea humo kuna chipukizi kibao ya ccm ambayo yanasubiri kupangiwa kazi na serikali ya ccm.
Kama mnabisha semeni


Serikali ipi?

Wewe mbona waturudisha nyuma.
 
Waliobaki BBC Kiswahili wameona CCM inavyowaenzi makada wake kama Tido Mhando alivyoukwaa U-DG hapo TBC na wao wanahisi kwa kuifyagilia CCM huenda neema zikawaangukia lakini mahesabu yao safari hii wameyapiga vibaya...............
 
Sasa ndio naanza kupata picha kwanini BBC imepigwa marufuku kwenye baadhi ya nchi kama Zimbambe NK
 
BBC Kiswahili kwasasa inaongozwa na Mkenya, je na yeye anataka vyeo Tanzani?
 
hivi mlitaka tuambiwe Slaa atakomba kura zanzibar ndo turidhike wakati hicho kitu hakipo?
 
via redio one 6:00 - 6:30 am/pm (89.5)

ok... Thanx... Nilidhani kuna masafa yanatangaza siku nzima... Kwa kweli ili la BBC kuwa sided na upande wa CCM sidhani... Mara nyingi Radio hii ni mwiba wa chama chochote kilichoko madarakani... ..
 
Naifuatilia BBC kwa makini tangu jana ila napata wasiwasi kama wapo balanced kwenye habari zao. Wanajifanya kama vile wanachambua wakati wanahitimisha kwa ushabiki. Leo ilikuwa mara ya pili kuwasikia wakihoji watu kwenye mikutano ya CHADEMA kwa lengo la kuonyesha kwamba ile nyomi ipo ipo tu. Mara ya kwanza niliwasikia Karagwe na leo ilikuwa Zanzibar. Anyway, kuhusu Zanzibar haishangazi lakini BBC wanapaswa "Kudeclare Interest". Bado tuna kumbukumbu na Tido Mhando 2005!

Kuwa wazi kidogo wanasemaje hasa, na wapo upande gani?
 
Waliobaki BBC Kiswahili wameona CCM inavyowaenzi makada wake kama Tido Mhando alivyoukwaa U-DG hapo TBC na wao wanahisi kwa kuifyagilia CCM huenda neema zikawaangukia lakini mahesabu yao safari hii wameyapiga vibaya...............
Kwani TIdo si katoka huko, nadhani kaacha matawi yake na wengine wanajua wataunga msafara kwenda TBC,
au wameahidiwa kitu fulani na huyu jamaa,

Lakini si ajabu maana JK kamwaga fedha kwenye vyombo vya habari vingi tu! na hiyo yawezekana ni mojawapo
 
Ni kweli BBC nami nimewafuatilia tangu jana. Jana asubuhi walitangaza eti katika barabara ya ali Hassani mwinyi wameona mabango manne yote ya CCM the waka conclude kwamba hiyo ni ishara kwamba CCM wanapendwa na hakiwezi kutolewa madarakani. Lazima waelewe kwamba mabango mengi ya CCM hayajawekwa na wananchi bali ofisi za chama na kwa hiyo kamwe hayawezi kuchukuliwa kama ishara ya ushindi.
 
BBC wameingia Tanzania tayari wakiwa na matokeo yao ya uchaguzi na wasipoangalia watajikuta wakiwa upande mmoja ambapo dalili zimeshaanza kuonekana. Sijaua lengo ni kumfurahisha bosi wao wa zamani au ni kukosa taarifa. Na kwa nini wasiwaulize wananchi huku bara kama walivyofanya zanzibar na badala yake wanatoa conclusion kwa kuangalia wingi wa mabango. waulize wananchi katika mikoa ya Dar, Kilimanjaro, Tanga, Arusha na pia Manyara
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom