G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,555
- 35,881
SawaNahisi umechanganya ma file,
Umri wa hii Id nakushauri uachane nao, sawa MATAGA ?
SawaNahisi umechanganya ma file,
Umri wa hii Id nakushauri uachane nao, sawa MATAGA ?
Mayalla,wewe umesoma na kuelimika,kwa nini unajenga hoja nyepesi kama Kibajaji,Kasheku au Mlinga?Umewahi kuuona huo mkataba unaotupatia manufaa hayo?Je,wachimaji Dhahabu hapa Tanzania ni Barrick pekee?Hiyo mikataba inahusisha madini mengine kama Almasi,Tanzanite,Gas,Coal au Chuma?Yes ni mazuri, tulikuwa tunamiliki nothing, sasa tunamiliki 16% stake!.
Tutagawana manufaa ya Kiuchumi 50/50.
That is good !.
P
Akitokea wakukujibu initag mkuuHata mm nashangaa maana tuliambiwa na lisu kuwa tutashitakiwa MIGA matokeo yake hatujashitakiwa wala nn,pia tuliambiwa na Serikali kuwa makinikia hayataondoka na tutajenga smelter hapa hapa,lakini matokeo yake makinikia bado yanaondoka pia smelter haijengwa mpaka leo,Sasa sisi wakazi wa huku Katoro tuamini kuwa lissu alitudanganya na Serikali pia imetudanganya?au nyinyi wa huko mjini mnaonaje huko?
So what ?
Mayalla hana tofauti na Kabudi aliyesema ametolewa Jalalani pale University of Dar Es salaamB
Mayalla,wewe umesoma na kuelimika,kwa nini unajenga hoja nyepesi kama Kibajaji,Kasheku au Mlinga?Umewahi kuuona huo mkataba unaotupatia manufaa hayo?Je,wachimaji Dhahabu hapa Tanzania ni Barrick pekee?Hiyo mikataba inahusisha madini mengine kama Almasi,Tanzanite,Gas,Coal au Chuma?
Tusikariri majibu ya maswali magumu kutoka kwa waliotuingiza chaka.Vipi kuhusu makinikia na deni letu la kodi USD 190 Billion?
Je unawafahamu hao wanaoteka na kuua? Kama unawafahamu unashindwa Nini kutoa taarifa kunakohusika?! Huo ndio unafiki wenu kueneza kuwa Kuna watu wanaotekwa wakati ni porojo tu...wataje hao watekaji...Wanaoteka na kuua watanzania wenzenu ili mpate madaraka si ndiyo nyinyi wenyewe ??
Msitufanye sisi watanzania kama wajinga
Hapo umemkamata maana ni mtu wa kukariri.You are talking about sheria za kimataifa?! Unataka nilete humu ile video ya wazungu wa Lissu akiwemo Amsterdam na wenzake walichopanga dhidi ya Tanzania...wamepanga kuchochea maandamano na mauaji ili vurugu zitokee na kinachoitwa jumuiya ya kimataifa iitishe mkutano wa usuluhishi na Lissu...wazungu hao wanasema na kuropoka bila aibu kwamba ni lazima damu imwagike Tanzania...kuchomwa kwa ofisi za chadema ni miongoni mwa mikakati hiyo...
Kuna jamaa amesema wengine tunafikiri kwa kutumia makalio baadala ya kichwa Mimi binafsi nimemwambia aanze kumwambia hivyo baba yake mzazi na jibu lake atupe mrejesho humu jf...Wakuu mada nzuri, lakini mbona mmeanza kutukanana tena?sio vizuri jamani
Nani anayeteka watu serikali iko kimya ?Je unawafahamu hao wanaoteka na kuua? Kama unawafahamu unashindwa Nini kutoa taarifa kunakohusika?! Huo ndio unafiki wenu kueneza kuwa Kuna watu wanaotekwa wakati ni porojo tu...wataje hao watekaji...
Ni nini economic benefits? Tafadhali unaweza kutoa angalau mfano mmoja?Ni economic benefits not profits
BBC ni Shirika la Utangazaji la Serikali ya Uingereza linatangaza taarifa yoyote ya kweli na uhakika yenye ushahidi tosha tofauti na TBC ya Serikali pia inayotangaza uongo tupu wa Serikali na Chama. Huyu mjinga wa CCM mtafuta uteuzi anayedai anamfahamu mchambuzi wa CHADEMA aliyehojiwa na BBC kama ana ushahidi si apeleke taarifa kwa wahusika waanze kushughulika? Humu jf wengi walihoji ukweli wa majigambo ya Magufuli na uhalali wa takwimu za mgao wa manufaa ya uchimbaji wa madini.Nilisikiliza taarifa yote ya habari...na mchambuzi huyu wa Chadema...very stupid indeed...BBC wamefanya hivyo makusudi kwa kumleta anayejiita mchambuzi kutoka Chadema..ni mkakati wa kampeni za Chadema
P.Nimemsikiliza Zuhura Yanus, BBC ni waongo, hakuna mkataba wala makubaliano ya 2017, mkataba ni mmoja tuu, ule uliosainiwa Ikulu 2019!.
Yale ya 2017 yalikuwa ni mapendekezo tuu.
BBC Swahili Iache Uongo!.
NB, uongo kama huu wa BBC pia uliwahi kuletwa na ZZK, baada ya kuona makubaliano yamekuwa initialed, akaandika mkataba umesainiwa.
Tulisaidia kufafanua
Japo Kazi ya Upinzani ni Kupinga, Lakini Sio Kupinga Kila Kitu, Kwenye Maslahi Ya Taifa, Tutangulize Utaifa, Tuwe Wamoja, Wakweli na Tusipotoshe.
P
Hata mm nashangaa maana tuliambiwa na lisu kuwa tutashitakiwa MIGA matokeo yake hatujashitakiwa wala nn,pia tuliambiwa na Serikali kuwa makinikia hayataondoka na tutajenga smelter hapa hapa,lakini matokeo yake makinikia bado yanaondoka pia smelter haijengwa mpaka leo,Sasa sisi wakazi wa huku Katoro tuamini kuwa lissu alitudanganya na Serikali pia imetudanganya?au nyinyi wa huko mjini mnaonaje huko?
Wakuu Jana niliangalia BBC Swahili, wamesema kwenye makubaliano yetu na kampuni ya uchimbaji madini ya Barrick kwenye zile asilimia ni kama tumepigwa, hivi hiki chombo cha habari cha mabeberu kinatutafutia nini?
Shida ya magufuli ilikuwa kiki za kisiasa kuliko maslahi ya nchi.Magu ni mwongo,ni mwongo hadi anajidanganya mwenyeweKwenye Swala la mikataba hasa madini bila kutoa damu! Bado Mabeberu yataendele kuitwa hivyohivyo!
Hiyo ndiyo inapaswa iwe vita sasa! Zingine hizi za kuoneana Sisi Kwa Sisi, Tatalaaniwa bule
Swala la mikataba ya madini nadhani ipo shida kubwa kuliko tunavyosikia,
Kama ni vita tafadhari zianze upya
Ukiona zee zima linakuwa liongo,jua ama ni mchawi au taahira.Nikiweka hapa itakuwa issue kubwa mno...binafsi nimeiangalia ile video nikashangaa na kuogopa namna wazungu wale walivyoandaa mipango...yaani bila hata aibu wanataka watu wafe Tanzania ili iwe vurugu kubwa ...
Kwa hyo mkuu kabudi ametuingiza chaka kuwa tutapata 50/50 ya mgawanyo?alafu mbona vyombo vya habari vya ndani havihoji ili jambo kuwa mkataba umesainiwa ikulu,hii imekaaje kiongozi wangu?
Unfortunately, sio tu kuwa Jiwe ni muongo bali pia ni IGNORANT hivyo he is easily duped!Shida ya magufuli ilikuwa kiki za kisiasa kuliko maslahi ya nchi.Magu ni mwongo,ni mwongo hadi anajidanganya mwenyewe
Unfortunately, sio tu kuwa Jiwe ni muongo bali pia ni IGNORANT hivyo he is easily duped!
Hivyo watu kama Kabudi na Mpango take that advantage na kumlisha matango pori.