BBC: Marekani ilijua kuwa mkuu wa Wagner alikuwa akipanga kuchukua hatua kabla ya uasi wake

5520

JF-Expert Member
Sep 10, 2011
610
1,148
409a0372-05e1-4ab6-9f53-abcb07824a88.jpg

Wakati maasi ya Prigozhin yalionekana kuipata Kremlin kwa ghafla mashirika ya kijasusi ya Marekani yalikuwa tayari yamepata ishara kwamba alikuwa akipanga kuchukua hatua na yalikuwa yamemjulisha Rais Biden pamoja na viongozi wakuu wa bunge mapema wiki hii, vyombo vya habari vya Marekani viliripoti.

Habari za kijasusi za Marekani ziligundua kuwa kiongozi wa kundi la mamluki alikuwa akikusanya silaha, risasi na vifaa vingine karibu na mpaka na Urusi, CNN iliripoti.

Gazeti la New York Times linaripoti kuwa Rais Biden alizungumza na viongozi wa Ufaransa, Ujerumani na Uingereza kwa sababu ya wasiwasi kwamba udhibiti wa Putin wa silaha kubwa za nyuklia za Urusi ungeweza kumponyoka katikati ya machafuko hayo.

Wakuu wa kijasusi wa Marekani walikuwa wakifuatilia uhusiano unaozidi kuzorota kati ya Prigozhin na maafisa wa ulinzi wa Urusi kwa miezi kadhaa na ujasusi ulibaini kuwa ni ishara kwamba vita vya Ukraine vinakwenda vibaya kwa Wagner na wanajeshi wa kawaida, gazeti hilo linasema.

BBC
 
"Vita ya Ukrein inakwande vibaya Kwa Wagner na wanajeshi wakawaida"..ukisoma hii sentence unagundua kabisa kuwa hawakua na taarifa zozote bali ni propaganda Kwa kujifanya wanafahamu Kila kitu.

Jambo lakujiuliza ni je?.

Kati ya Wagner na wanajeshi wa urusi dhidi ya wanajeshi wa ukrein ninani kati yao vita/SMO inawaendea vibaya?. Jibu lake Kila mwenye ufahamu na akili timamu analifahamu.
 
Timu Putin mwaka huu mna hali mbaya sana🤔
Aliyekudanganya ni nani? Nawewe umeingia kwenye mtego wa kuwaamini US kwamba Kremlin ilikuwa haijui? Hivi watu wanaopigwa risasi kila uchao huko USA wanakuaga wapi kujua kabla? Mbona nyambizi Titan tangu ipate ajali hawakuipata na ipo hukohuko? Mdogo wangu hii ni dunia kuwa makini kabla hujaliwa kichwa! Najua mlifurahi mkiamini sasa Putin anatolewa ikulu sijui mnamuogopea nini huyu jamaa na kwa taarifa yenu kichapo kipo palepale mlikuwa mnapigwa akili na wenye akili na mmedhihirisha kuwa hamnazo ndo maana hata mkubwa mnaemwamini nae kaingizwa chaka
 
Aliyekudanganya ni nani? Nawewe umeingia kwenye mtego wa kuwaamini US kwamba Kremlin ilikuwa haijui? Hivi watu wanaopigwa risasi kila uchao huko USA wanakuaga wapi kujua kabla? Mbona nyambizi Titan tangu ipate ajali hawakuipata na ipo hukohuko? Mdogo wangu hii ni dunia kuwa makini kabla hujaliwa kichwa! Najua mlifurahi mkiamini sasa Putin anatolewa ikulu sijui mnamuogopea nini huyu jamaa na kwa taarifa yenu kichapo kipo palepale mlikuwa mnapigwa akili na wenye akili na mmedhihirisha kuwa hamnazo ndo maana hata mkubwa mnaemwamini nae kaingizwa chaka
Warusi wa Tanzania mna hali mbaya sana, Putin hawezi kushinda hii Vita
 
Aliyekudanganya ni nani? Nawewe umeingia kwenye mtego wa kuwaamini US kwamba Kremlin ilikuwa haijui? Hivi watu wanaopigwa risasi kila uchao huko USA wanakuaga wapi kujua kabla? Mbona nyambizi Titan tangu ipate ajali hawakuipata na ipo hukohuko? Mdogo wangu hii ni dunia kuwa makini kabla hujaliwa kichwa! Najua mlifurahi mkiamini sasa Putin anatolewa ikulu sijui mnamuogopea nini huyu jamaa na kwa taarifa yenu kichapo kipo palepale mlikuwa mnapigwa akili na wenye akili na mmedhihirisha kuwa hamnazo ndo maana hata mkubwa mnaemwamini nae kaingizwa chaka
Hivi saa 48 za kuisambaratisha Ukraine bado tu? Mlitwambia warusi wa buza tusiwe na shaka, Ukraine itapigwa ndani ya saa 48, vipi huko.
 
View attachment 2668368
Wakati maasi ya Prigozhin yalionekana kuipata Kremlin kwa ghafla mashirika ya kijasusi ya Marekani yalikuwa tayari yamepata ishara kwamba alikuwa akipanga kuchukua hatua na yalikuwa yamemjulisha Rais Biden pamoja na viongozi wakuu wa bunge mapema wiki hii, vyombo vya habari vya Marekani viliripoti.

Habari za kijasusi za Marekani ziligundua kuwa kiongozi wa kundi la mamluki alikuwa akikusanya silaha, risasi na vifaa vingine karibu na mpaka na Urusi, CNN iliripoti.

Gazeti la New York Times linaripoti kuwa Rais Biden alizungumza na viongozi wa Ufaransa, Ujerumani na Uingereza kwa sababu ya wasiwasi kwamba udhibiti wa Putin wa silaha kubwa za nyuklia za Urusi ungeweza kumponyoka katikati ya machafuko hayo.

Wakuu wa kijasusi wa Marekani walikuwa wakifuatilia uhusiano unaozidi kuzorota kati ya Prigozhin na maafisa wa ulinzi wa Urusi kwa miezi kadhaa na ujasusi ulibaini kuwa ni ishara kwamba vita vya Ukraine vinakwenda vibaya kwa Wagner na wanajeshi wa kawaida, gazeti hilo linasema.

BBC
Marekani kimbelembele chao tu.Hawana lolote.
 
View attachment 2668368
Wakati maasi ya Prigozhin yalionekana kuipata Kremlin kwa ghafla mashirika ya kijasusi ya Marekani yalikuwa tayari yamepata ishara kwamba alikuwa akipanga kuchukua hatua na yalikuwa yamemjulisha Rais Biden pamoja na viongozi wakuu wa bunge mapema wiki hii, vyombo vya habari vya Marekani viliripoti.

Habari za kijasusi za Marekani ziligundua kuwa kiongozi wa kundi la mamluki alikuwa akikusanya silaha, risasi na vifaa vingine karibu na mpaka na Urusi, CNN iliripoti.

Gazeti la New York Times linaripoti kuwa Rais Biden alizungumza na viongozi wa Ufaransa, Ujerumani na Uingereza kwa sababu ya wasiwasi kwamba udhibiti wa Putin wa silaha kubwa za nyuklia za Urusi ungeweza kumponyoka katikati ya machafuko hayo.

Wakuu wa kijasusi wa Marekani walikuwa wakifuatilia uhusiano unaozidi kuzorota kati ya Prigozhin na maafisa wa ulinzi wa Urusi kwa miezi kadhaa na ujasusi ulibaini kuwa ni ishara kwamba vita vya Ukraine vinakwenda vibaya kwa Wagner na wanajeshi wa kawaida, gazeti hilo linasema.

BBC
False kabisa
 
Inawezakuwa kweli,sababu wakati Russia wanajiandaa kuvamia Ukraine US walisema Putin anakwenda kuivamia Ukraine na Russia waka kataa matokeoyake tumeyaona.
CIA wana mkono kwenye uasi uliotokea jana, matarajio yao nchi ingeingia kwenye machafuko makubwa. Mambo yamekuwa kinyume.
 
Back
Top Bottom