REMSA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,579
- 947
Naomba niwakumbushe viongozi wa BAWACHA kuwa mna jukumu la kufanya kuharakisha ukombozi wa Tanzania.
Viongozi wa BAWACHA baada ya kumaliza Bunge tunaomba sasa tuwasikie mkiwa kwenye M4C kama inavyosikika BAVICHA.Kwa taarifa yenu wanawake wengi hasa vijijini wanahitaji kuamshwa.
Leo hii ikiitishwa mikutano ya CCM wanaojaa kwenye mikutano ni wamama na kanga zao, na ikumbukwe wanawake ndio waelimishaji na wahamasishaji wazuri.
Viongozi wa BAWACHA baada ya kumaliza Bunge tunaomba sasa tuwasikie mkiwa kwenye M4C kama inavyosikika BAVICHA.Kwa taarifa yenu wanawake wengi hasa vijijini wanahitaji kuamshwa.
Leo hii ikiitishwa mikutano ya CCM wanaojaa kwenye mikutano ni wamama na kanga zao, na ikumbukwe wanawake ndio waelimishaji na wahamasishaji wazuri.