Jamani BAWACHA amkeni, hutuwachukii, tunawapa changamoto.
ni promo au?
Kujenga hoja tu ndo kumpe mtu uongozi?
hamna mjadala hapa kwa manufaa ya cdm uongoz bawacha ni lazima uondolewe.bila kuwaunganisha wanawake cdm 2tajutaccm inajivunia sana kupata ushindi kwa sababu ya wanawake,maana ikumbukwe wanawake wa tanzania
hawana mwamko kwenye mambo ya siasa hasa ili leya ya chini ndio maana wanadanganywa kwa kanga
tu wanatoa kura zao.wamama wa tanzania wanahitaji hamasa na kusaidiwa wajue umuhimu wa mabadiliko
na hili lingefanya kazi sana kama bawacha wangezunguka na m4c yao kama bawacha na kukutana na
wanawake na kuweka msingi kuanzia ngazi ya chini kabisa,hasa vijijini.maana ikumbukwe wanawake si
wafutiliaji sana wa mambo ya siasa na ukiwauliza kitu kinahusu wanawake wao wanajua uwt tu.please
tumeshatoa wito kwenu mara kadhaa akina naomi kaihura lakini mnaonekana mmeweka pamba masikioni.
Mkuu umesema vizur M4C BILA UHAMASISHAJ NA KUSIMIKA UONGOZI WA MABARAZA 2TAKUA 2NAPOTEZA MAANA YAKE DR.SLAA TAZAMA HILI KWA MAKINIMkuu mimi siamini kuwa wanachukiwa ila BAWACHA wanajichukia wenyewe,kwa kukubali kuwa
kwenye uongozi halafu hawafanyi yale wanayopaswa kuyafanya.Kwa nini wanawafanya Mwenyekiti
na katibu wafanye kazi kwa kuugua kuwa hata BAWACHA wawasimamie wao!!!! Mimi nionavyo BAWACHA
walitakiwa kuwa kuwa Sweaper kule ambako viongozi wa kitaifa wanatakiwa kwenda kwa ajili ya M4C, wao
wanatakiwa wawe wameshapita na kuweka uongozi wao upande wa wanawake utaona hamasa kwa wanawake
kwenye mikutano ya M4C itakuwa kubwa zaidi hata ya vijana."Mama ndie msimamizi wa nyumba".
Kumthaminisha kungekua na maana nzuri zaid na faida kwa CDM kama akipewa nafas ndan ya BAWACHA ILIYOPWAYA HIZO NI CHANGAMOTO TUNakubaliana na mleta hoja ila twende step kwa step!
Tukiwa tunakurupuka tutakurupikiwa tena vibaya sana! si kila anae ingia DCM lazima apewe uongozi!
Dada Ester namkubali sana tuu! ila bado tuna mda mwingi tuu wa 'kumthamanisha' kabla ya kumpa uongozi ndani ya chama
kujenga hoja ndio njia pekee ya kujua na ya uwazi ya kujua uwezo na mtazamo wako. Hata ukiwa na na madegree 200 lakini bubu, kama walivyo mabubu viongozi wa BAWACHA tutakutambuaje.ni promo au?
Kujenga hoja tu ndo kumpe mtu uongozi?
watu aina yako ndio watafanya cdm ichelewe kuchukua dola.nguvu ya wanawake katika uchaguz n kubwa ndio maana kipindi cha uchaguz ccm kontena nyingi zinazoletwa ni za kangathat's a stupid topic,am men but i know women are more in numbers u can't compare to men,hivyo succes ya chadema inatokana na nguvu kubwa ya kina mama,so stop demoralize women wing of chadema,then chadema hawakurupuki kama vipi aingie kwa kinyang!anyiro
msiwe mnashabikia ushenzi nyie mpunga nini?
Mkuu ESTER WASSIRA NA SHIBUDA NI WATU WAWILI TOFAUT KABISA KIMTAZAMOSi lazima awe kiongozi anaweza akafanya kazi na kamanda mawazo kwenye M4C, mbona ye hajachaguliwa kitengo na anafanya kazi nzuri? Kama mtu mwenye hoja nzuri akiingia kwenye chama na moja kwa moja akapewa uongozi tutegemee makundi ya hatari sana kwenye chama, nimempenda esther kwa hoja zake lakini kupewa uongozi wa chombo nyeti kama BAWACHA nadhani ni mapema, apewe muda kama atataka aje agombee baadae wakati ameaminika tayari..
hivi shibuda na kupayuka kwake tungempa umakamu cdm ingekuwaje!??
Kweli mkuu ni mabubu wamelala pono wanasubiri viti maalumukujenga hoja ndio njia pekee ya kujua na ya uwazi ya kujua uwezo na mtazamo wako. Hata ukiwa na na madegree 200 lakini bubu, kama walivyo mabubu viongozi wa BAWACHA tutakutambuaje.
If youno something but you cant tell people that you know is a good as you knownothing. BAWACHA mpoozi?
Waambieni CDM mnajua ninikilichowafanya mkagombea na kushinda hizi nafasi mlizo nazo.
Katika kuelekea uchaguzi wa 2015 kila mmoja ndani ya CHADEMA anatakiwa kuwajibika kwa nafasi yake ndan ya chama kwa pamoja kama kweli 2nahtaj mageuz ya kuundoa mfumo wa utawala wa CCM ulioshindwa.Katika hili uwajibikaji kwa upande wa BAWACHA ni kama haipo na hili ndio kundi ambalo lingeweza kuwaunganisha wakinamama ambao ndio wamekua mara nyingi wapiga wengi kuliko kundi lolote ndan ya jamii.Kunahtajka mabadiliko ya haraka ndan ya BAWACHA la svyo CDM tutaishia kulalamika.ESTER WASSIRA AMEONYESHA WELED WA HALI YA JUU KATIKA KUJENGA HOJA NA MAONO YA MSINGI KWA KIPINDI KIFUPI NDAN YA CDM HVYO ANGEINGIA KATIKA BAWACHA ILI KUWAUNGANISHA WAKINA MAMA KUIUNGA MKONO CDM UONGOZ UZINGATIE NAFAS YA KINA MAMA KATIKA KUCHUKUA DOLA 20I5 NI KUBWA HVYO MKAKAT NI MUHIMU KWA KUNDI HILI KWA MASLAH YA TAIFA NA CDM NAWASILISHA
Estar Wassira ndio hbr ya mjiniBahati mbaya jana sikuhudhuria kongamano wal akuliangalia kwenye Luninga. Lakini jioni nilipita kwenye kijiwe changu cha kahawa na kama kawaida nikawakuta vijana ambao huwa nakunywa nao kahawa. Hawa vijana wengi ni wapenzi wa CDM na wachache wa CCM. Huwa nikifika pale kabla sijapata kikombe cha kahawa huwa tunaanza kuongelea yaliyojiri kwenye mambo ya siasa kwa siku husika. Basi jana nilipofika tu vijana wakaniuliza kama nilihudhuria kwenye kongamano, nikawaambia sikupata wasaa nikaombe wanipe yaliyojiri. Kwa kuwa wao waliangalia kupitia Luninga basi wakanipa meengi yaliyojiri. Lakini wote kwa pamoja walitoa sifa nyingi sana kwa Ester Wassira wakisema ni jembe jipya na muhimu kwa CDM na kwa hakika wakaniambia ni vyema huyu mdada akapewa nafasi ndani ya CDM.
Huenda CDM wamelamba dume.
That's a stupid topic,am men but I know women are more in numbers u can't compare to men,hivyo succes ya chadema inatokana na nguvu kubwa ya kina mama,so stop demoralize women wing of chadema,then chadema hawakurupuki Kama vipi aingie kwa kinyang!anyiro
Msiwe mnashabikia ushenzi nyie mpunga nini?
Bavicha, sasa kumekucha amkeni. Mmeona Esta Wasira? Tafuteni hawa, sio lazima wawe viongozi, watumieni kujenga BAWACHA.
Inawezekana mkuu anajua kitumbu chake kitaingia mchangaBila shaka wewe ni mmoja wa viongozi wa BAWACHA ambao mmeshindwa kwendana na kasi ya M4C
kaeni pembeni muone watu wanavyopiga kazi ,mnawaza viti maalum tu!!!!