BAVICHA yakamata Nchi

BAVICHA yakamata Nchi

Posho aisee, wanasubiri mgao mwingine kutoka bungeni wa posho maana waliunga mkono kwa asilimia 100 nyongeza ya posho teh teh UKAWA kwa posho ni sheedah

..sasa tunawakumbusha kwamba wakichapa kazi zaidi, UKAWA itapata wabunge wengi, na posho zitakuwa kubwa zaidi.
 
nakuunga mkono nchi hii imekombolewa kwa jasho na damu , tunawaombea Mungu awapunguzie adhabu makamanda wote waliopoteza maisha kwenye uwanja wa mapambano ya ukombozi AMINA .

Usiniunge mkono mimi mkuu, Waunge hao vijana waliopiga cha ARUSHA wakafikiri wako juu ya sheria!
 
Last edited by a moderator:
Baraza la Vijana CHADEMA limejipambanua kama Baraza bora kabisa la vijana katika vyama vyote vya siasa hapa nchini.

Mwenyekiti wa BAVICHA Patrobass Katambi amelijenga Baraza hilo kama Taasisi imara kabisa tofauti na mtizamo wa baadhi ya watu siku za nyuma.

Ni takribani miezi miwili sasa viongozi wote wa BAVICHA wako mikoani na vijijini sehemu tofauti za nchi wakihamasisha operesheni yao ya BVR Shahada mkononi kuhamasisha watu kujiandikisha kupiga kura.

Kwa mfano kwa sasa Mwenyekiti wa Taifa Patrobass yuko mikoa ya Kanda ya Ziwa Mashariki akifanya mikutano ya hadhara na ya ndani kuhamasisha zoezi hilo na ujenzi wa chama.

Makamu Mkiti Patrick Ole Sosopi akiwa na viongozi wengine wa baraza hilo wanaongoza hamasa kubwa mikoa ya Kanda ya kaskazini na mikutano yao imeitisha CCM

Katibu Mkuu Bavicha Julias Mwita na Katibu Mwenezi Edward Simbeye wanatikisa mikoa ya Kanda ya ziwa Victoria huku idadi kubwa ya wananchi ikiwaunga mkono kote wanakopita.

Wanachama wengi wa CHADEMA wamepongeza kazi kubwa inayofanywa na BAVICHA kote nchini na ni urithi bora kabisa kutoka kwa viongozi mashuhuri nchini Freeman Mbowe na Dr Wilbroad Slaa.

Hongereni BAVICHA...Endelezeni mapambano!!


  • Hapa ni mikoa Mbalimbali Vijana wetu wa Bavicha wakiwa kwenye matukio. Bavicha wamekua tegemeo kubwa sana kwa vijana wa Tanzania na mpaka sasa hivi ndio Baraza bora la vijana kwenye vyama vya siasa
    paperclip.png
    Attached Thumbnails



    • paperclip.png
      Attached Thumbnails







CCM na ma-green guard yao wamepoteana muda mrefuu....wanasubiria kuanza ufidhuli jinsi ya kuhujumu kuelekea Oktoba pamoja mamluki wa kuiba kura maana kwa siasa za kawaida za kuwapata wananchi walishashindwa zamani....! burian! CCM, walikupenda zamani, ila sasa umechukiwa zaidi...kwa heri!
 
Ukimaliza hilo WE KIBARAKA CHadema kwanza waulize kwa nini hawataki kujenga ofisi za makao makuu ya Chama?
 
Hakuna kulala wala kusinzia....pia na vijana wa bavicha kusin,sasa hivi ni mwendo wa vijiji kwa vijiji
hawa vijana nimewavulia kofia aisee ! pamoja na mito kujaa mamba lakini wanasonga tu !
 

Attachments

  • attachment-2.jpeg
    attachment-2.jpeg
    4.4 KB · Views: 166
CCM na ma-green guard yao wamepoteana muda mrefuu....wanasubiria kuanza ufidhuli jinsi ya kuhujumu kuelekea Oktoba pamoja mamluki wa kuiba kura maana kwa siasa za kawaida za kuwapata wananchi walishashindwa zamani....! burian! CCM, walikupenda zamani, ila sasa umechukiwa zaidi...kwa heri!

Kwa kweli kwa sasa wamegawanyika kimakambi ya Urais..Kila mtu ana mgombea wake na kazi ni kutukanana matusi tu.
 
Ukimaliza hilo WE KIBARAKA CHadema kwanza waulize kwa nini hawataki kujenga ofisi za makao makuu ya Chama?
Lengo kubwa la bavicha ni kukata minyororo ya utumwa na umasikini miongoni mwa jamii .
 

Attachments

  • attachment.jpeg
    attachment.jpeg
    8.7 KB · Views: 245
  • 10413289_443379535821384_8736472890136950428_n.jpeg
    10413289_443379535821384_8736472890136950428_n.jpeg
    7.8 KB · Views: 229
  • attachment-11.jpeg
    attachment-11.jpeg
    6.6 KB · Views: 234
  • attachment-4.jpeg
    attachment-4.jpeg
    8.4 KB · Views: 243
  • attachment-13-2.jpg
    attachment-13-2.jpg
    7.6 KB · Views: 209
Ukimaliza hilo WE KIBARAKA CHadema kwanza waulize kwa nini hawataki kujenga ofisi za makao makuu ya Chama?

Kwa sababu Katibu Mkuu wao [Chadema] au wanachama wao hawako ktk Biashara wa Meno ya Tembo, kuuza Unga na kuua Albino kama mlivyokubuhu ktk genge lenu la Kijani. Kuuza Kontena la Meno ya Tembo na Tani 30 za Unga si mnaweza kujenga hata Ofisi 5 za Makao makuu? Lumumba, Dodoma nk....? Chadema inajenga Ofisi mioyoni mwa Watanzania...na ndio ofisi imara kuliko zote! Tupo pamoja Kinje??
 
Kwa sababu Katibu Mkuu wao [Chadema] au wanachama wao hawako ktk Biashara wa Meno ya Tembo, kuuza Unga na kuua Albino kama mlivyokubuhu ktk genge lenu la Kijani. Kuuza Kontena la Meno ya Tembo na Tani 30 za Unga si mnaweza kujenga hata Ofisi 5 za Makao makuu? Lumumba, Dodoma nk....? Chadema inajenga Ofisi mioyoni mwa Watanzania...na ndio ofisi imara kuliko zote! Tupo pamoja Kinje??

Kwa jibu hili kama atarudi tena basi atakuwa kalogwa na aliyemloga keshakufa.
 
Nchi hii itakuwa na bahati ya pekee kuwa na chombo hiki,na kupitia chadema uzalendo utajengwa kwani Bavicha na jeshi la wasomi,wafanyabiashara,wakulima na watu wa chini kabisa! Wameungana kujenga nchi.


Uvccm ilivyokufa,ni kutokana na chama kukikabidhi kundi lenye maslahi binafsi( mafisadi), UWT na zingine,hazitalingana na Chaso

Viva bavicha,chaso na bawacha,Mh. Mbowe anastahili sifa
 
Nchi hii itakuwa na bahati ya pekee kuwa na chombo hiki,na kupitia chadema uzalendo utajengwa kwani Bavicha na jeshi la wasomi,wafanyabiashara,wakulima na watu wa chini kabisa! Wameungana kujenga nchi.


Uvccm ilivyokufa,ni kutokana na chama kukikabidhi kundi lenye maslahi binafsi( mafisadi), UWT na zingine,hazitalingana na Chaso

Viva bavicha,chaso na bawacha,Mh. Mbowe anastahili sifa

Bavicha ndiyo tegemeo la vijana wa Taifa hili kwa sasa..
 
Back
Top Bottom