MAGEUZI KWELI
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 1,947
- 254
kazeni buti kitaeleweka wapendwa....
Kweli mkuu mungu ni mkubwaBavicha ni mpango wa mungu
Bavicha ni mpango wa mungu
Kweli mkuu mungu ni mkubwa
kazeni buti kitaeleweka wapendwa....
CHADEMA imekuwa jamani....Sasahivi majimboni CHADEMA haina shida ya watu....watu wanatosha....
Changamoto inayoikumba CHADEMA ni kwendana na ukuaji wa ghafla wa chama
CHADEMA imekuwa jamani....Sasahivi majimboni CHADEMA haina shida ya watu....watu wanatosha....
Changamoto inayoikumba CHADEMA ni kwendana na ukuaji wa ghafla wa chama
Mkuu hayo mabuti wanayakaza kuelekea tumboni teh teh teh waambie hao MABAVICHA wapinge posho wabunge wao wanapiga posho sijasikia wakisema bado!
CDM haina wanachama ina wachumia tumbo!kivumbi utakiona Oktoba ndo utashangaa teh teh teh!
Baraza la Vijana CHADEMA limejipambanua kama Baraza bora kabisa la vijana katika vyama vyote vya siasa hapa nchini.
Mwenyekiti wa BAVICHA Patrobass Katambi amelijenga Baraza hilo kama Taasisi imara kabisa tofauti na mtizamo wa baadhi ya watu siku za nyuma.
Ni takribani miezi miwili sasa viongozi wote wa BAVICHA wako mikoani na vijijini sehemu tofauti za nchi wakihamasisha operesheni yao ya BVR Shahada mkononi kuhamasisha watu kujiandikisha kupiga kura.
Kwa mfano kwa sasa Mwenyekiti wa Taifa Patrobass yuko mikoa ya Kanda ya Ziwa Mashariki akifanya mikutano ya hadhara na ya ndani kuhamasisha zoezi hilo na ujenzi wa chama.
Makamu Mkiti Patrick Ole Sosopi akiwa na viongozi wengine wa baraza hilo wanaongoza hamasa kubwa mikoa ya Kanda ya kaskazini na mikutano yao imeitisha CCM
Katibu Mkuu Bavicha Julias Mwita na Katibu Mwenezi Edward Simbeye wanatikisa mikoa ya Kanda ya ziwa Victoria huku idadi kubwa ya wananchi ikiwaunga mkono kote wanakopita.
Wanachama wengi wa CHADEMA wamepongeza kazi kubwa inayofanywa na BAVICHA kote nchini na ni urithi bora kabisa kutoka kwa viongozi mashuhuri nchini Freeman Mbowe na Dr Wilbroad Slaa.
Hongereni BAVICHA...Endelezeni mapambano!!
Hapa ni mikoa Mbalimbali Vijana wetu wa Bavicha wakiwa kwenye matukio. Bavicha wamekua tegemeo kubwa sana kwa vijana wa Tanzania na mpaka sasa hivi ndio Baraza bora la vijana kwenye vyama vya siasaAttached Thumbnails![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nimeipenda hii kauli mbiuMkuu Molemo usisahau shahada ya kupigia kura tummeibadilisha jina sie Ukawa, saa hivi tunaiita 'kichinjio'. Kichinjio cha kuichinjia CCM mnamo mwezi Oktoba, kwahiyo waambieni watanzania kabisa kila mtu ahakikishe ana kichinjio chake tayari kuichinja chinja CCM
sawa tutawaambia...Vipi umeshachamba?
Sawa mkuu...wewe ni mchumia Kei au mchumia nini?
Saa zakujifungia na fisi zimefika nenda kakojoe ulale wewehuyo mungu wa herufi ndogo wa ngumi na mateke ndo anatawala Lema ngumi, Lisunkupigana,Sugu ngumi,Mbowe ngumi na bado kapigwa mwaka Hai da huyo mungu wenu ni shidaa!
Nimeipenda hii kauli mbiu
Ukishaona Nyuki wanachikia Ufisadi nakumtoa mbia mzee wa Upara aka Tembo Man basi jua mwisho wa ccm ni octoberEndelea kutumika dogo!na matumaini yenu mnayopewa ya kwenda IKULU wakati wenzenu makao makuu CDM wanakula Ruzuku,mtaingia kwenda kunywa juice tu wakati wa dhifa ya kitaifa ya RAIS MPYA kutoka CCM au hilo hamlijui?
Naona Joto la October limeshakupandia wewe MbilingondoMkuu hao wanaweweseka tu mabadiliko yanakuja kwa watu makini na waaminifu!CDM hakuna wasafi ni wachumia tumbo tu!
Mkuu kaa pembeni inaelekea hujua kama CDM wana ufisadi wa posho teh teh pole kijana inaelekea una mahaba sana!