BAVICHA yakamata Nchi

BAVICHA yakamata Nchi

Wawekeze vijijini kule elimu bado kabisa kuna baadhi ya maeneo ccm imeworoga wananchi wake japo kuwa masikini. Ila octoba itajulikana2. Kichinjio tayari nimechukua.
 
Hakuna kulala wala kusinzia....pia na vijana wa bavicha kusin,sasa hivi ni mwendo wa vijiji kwa vijiji
 
Hakuna kulala wala kusinzia....pia na vijana wa bavicha kusin,sasa hivi ni mwendo wa vijiji kwa vijiji

Hakuna kulala wala kusinzia NYIE WANGA???acheni kujidanganya na kaulimbiu zenu za kujilisha upepo!kulala mtalala tu mbaya zaidi wananchi vijijini hawawaelewi!
 
Molemo

Hapa ni mikoa Mbalimbali Vijana wetu wa Bavicha wakiwa kwenye matukio. Bavicha wamekua tegemeo kubwa sana kwa vijana wa Tanzania na mpaka sasa hivi ndio Baraza bora la vijana kwenye vyama vya siasa
 

Attachments

  • IMG-20150618-WA0042.jpg
    IMG-20150618-WA0042.jpg
    32.3 KB · Views: 571
  • IMG-20150618-WA0038.jpg
    IMG-20150618-WA0038.jpg
    25.7 KB · Views: 527
  • IMG-20150618-WA0041.jpg
    IMG-20150618-WA0041.jpg
    26.7 KB · Views: 526
  • IMG-20150618-WA0039.jpg
    IMG-20150618-WA0039.jpg
    44.7 KB · Views: 519
  • IMG-20150618-WA0037.jpg
    IMG-20150618-WA0037.jpg
    35.9 KB · Views: 491
Last edited by a moderator:
wakati vijana wao wanatwangana na kuuana kugombea posho za wagombea urais ( inasemekana ndio rushwa kubwa zaidi ya uchaguzi kuwahi kutolewa na watia nia duniani ) sisi tunasonga mbele .
Mkuu hao jamaa wa CCM walikuwa wanaigiza au ilkuwa show ya ukweli baada ya mtia nia kuwaachia faranga wagawane?
 
Back
Top Bottom