BAVICHA yakamata Nchi

BAVICHA yakamata Nchi

Endelea kutumika dogo!na matumaini yenu mnayopewa ya kwenda IKULU wakati wenzenu makao makuu CDM wanakula Ruzuku,mtaingia kwenda kunywa juice tu wakati wa dhifa ya kitaifa ya RAIS MPYA kutoka CCM au hilo hamlijui?

Mkuu umejisafisha kweli wewe? mbona unanuka?
 
Mkuu kaa pembeni inaelekea hujua kama CDM wana ufisadi wa posho teh teh pole kijana inaelekea una mahaba sana!

Huo mnaoita Ni ufisadi wa Chadema mulize Mr. Upara aka Tembo Man anakutana na aibu gani kwenye ziara zake maana tumewashugulikia vilivyo
 
Haturudi nyuma kamwe, mkumbukeni vita ni silaha basi silaa yetu ni shaada ya mpiga kura tujiandikishe kwa mapambano ifikapo October.
 
Asanteni Sana Bavicha kwa ziara zilizoweza kuwaelimisha wananchi wa Tanzania

Safi sana CHADEMA

Siku hizi hata mjumbe wa serikali ya Mitaa anaita watu kwenye mkutano na wanajaa kumsikiliza

Chezea strategy wewe.

Hiki ni chama bana...cha siasa...sio cha mihemko
 
Back
Top Bottom