Kinjekitile junior
JF-Expert Member
- Apr 20, 2015
- 4,404
- 581
Huna tofauti na busati
Mahaba yako yatakuua muda si mrefu maana unapambana na jua!
Huna tofauti na busati
tutaendelea kutoa elimu bila kikomo hadi nchi ikombolewe .
Kweli mkuu inatia kichefuchefu
Mahaba yako yatakuua muda si mrefu maana unapambana na jua!
Ni kuomba uzima na kwa vijana wetu kuendelea na kuwa na moyo wa ukombozi wa nchi yetu
Siyo mapepo?
Jiandaeni kupelekwa leba maana hadi ifike Oktoba mtakua mmeota vibiongo!
Jamani mbona mnatuchafua sisi UVCCM, sisi ni wasafi na wala hatuchukui rushwa. Acheni kutusema vibaya.
Vijana wenu!!!, teh teh teh tumika mzee!leo ndo nimegundua wewe mzee unatafuta nini hapa na hata kama unatumiwa jiandae kurest in peace maana wakati huu sio wako!
Akili yako ipo humu,,4*4.
Mzee wewe unafanya mambo ya kitoto, mahaba niue yako kwenye siasa za bongo yatakuua mwaka huu!
Teeeeeh,teeeeeh
Wee mzee tu, kuwa makini na maneo yako teh teh na hii inaonyesha ni jinsi gani unatumika!
Kumbe?
Mzee wewe unafanya mambo ya kitoto, mahaba niue yako kwenye siasa za bongo yatakuua mwaka huu!
Utaweweseka sana nimesoma michango yako kitambo tu nikaamua nije kutuliza mapepo yako!kwanza nakupa pole kwa kujitoa ufahamu kushabikia siasa za bongo usizojua zinaelekea wapi!
Mwisho wao ni Oktoba.
Unajipa moyo? Endelea kuishi kwa matumaini