BAVICHA yakamata Nchi

BAVICHA yakamata Nchi

Chadema ni "kuti bovu" wenye akili lazima wanielewe.
 
Kazi inayofanywa ni ya kutukuka

wakati vijana wao wanatwangana na kuuana kugombea posho za wagombea urais ( inasemekana ndio rushwa kubwa zaidi ya uchaguzi kuwahi kutolewa na watia nia duniani ) sisi tunasonga mbele .
 

Attachments

  • attachment-10.jpeg
    attachment-10.jpeg
    9.5 KB · Views: 2,972
Siasa Zilizofanywa Na Chadema Miaka Mitano Hii Ni Siasa Zenyewe Hazijawai Kufanywa Na Chama Chochote Hapa Duniani, Kweli Chadema Ni Mpango Wa MUNGU

ni siasa za kikakamavu zilizogharimu jasho , pesa , nguvu pamoja na damu , mafanikio hayaji kirahisi hasa kwenye nchi yenye ukandamizaji kama hii .
 

Attachments

  • attachment-5.jpeg
    attachment-5.jpeg
    12 KB · Views: 387
Mkuu Molemo usisahau shahada ya kupigia kura tummeibadilisha jina sie Ukawa, saa hivi tunaiita 'kichinjio'. Kichinjio cha kuichinjia CCM mnamo mwezi Oktoba, kwahiyo waambieni watanzania kabisa kila mtu ahakikishe ana kichinjio chake tayari kuichinja chinja CCM

Mkuu Rweye umenifurahisha sana sana na ujumbe wako huu..

Nimebarikiwa sana!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Molemo usisahau shahada ya kupigia kura tummeibadilisha jina sie Ukawa, saa hivi tunaiita 'kichinjio'. Kichinjio cha kuichinjia CCM mnamo mwezi Oktoba, kwahiyo waambieni watanzania kabisa kila mtu ahakikishe ana kichinjio chake tayari kuichinja chinja CCM
Neno CCM halitakiwi kuwemo kwenye kaulimbiu ya UKAWA, itachanganya watu...! Unaipa CCM promo bure...! Nawaza tu.
 
Mkuu Molemo usisahau shahada ya kupigia kura tummeibadilisha jina sie Ukawa, saa hivi tunaiita 'kichinjio'. Kichinjio cha kuichinjia CCM mnamo mwezi Oktoba, kwahiyo waambieni watanzania kabisa kila mtu ahakikishe ana kichinjio chake tayari kuichinja chinja CCM
Hachinjwi mtu hapa..!
 
huna lolote,maneno matupu na tantalila


There are many types of followers, but I am going to mention only two types of followers I know:
1) Sheep followers-they are not assertive, they tend to agree with anything a leader does or says even if it's wrong,They are there to please their leaders, and normally they can't be valuable advisers to the leader because of their 'yes Sir' attitude.

2) Independent followers-they are very assertive and outspoken followers, they like to speak out their minds. They are the valuable asset to their leader.Any leader who has got self-confidence,high self-esteem and who want to be successful will turn to independent followers.

Where do you fall into these two types of followers?Kabla ya kubishana sana na wewe ni vyema kwanza ukajielewa wewe ni nani na mimi pia nikufahamu wewe ni mtu wa muundo gani,kisha ndo tusonge mbele na majibizano.
 
Back
Top Bottom