BAVICHA yakamata Nchi

BAVICHA yakamata Nchi

Bavicha ndio nguzo ya uenezi wa elimu ya uraia,nakumbuka kuna vijana niliwakuta karagwe vijijini wakitoa elimu hata kwa wazee kuzitambua haki zao
 
Safii CDM songa mbele yale MaUvccm yanasaka hela kutoka kwa Wagombea maana ni kipindi cha mavuno kwao!!!JK Uvccm acheni Ukuwadi.

Hilo jina linawauma kweli uvccm,ila sasa watafanyaje?
 
pingeni mafao ya kufuru mtakayolipwa!!!
kama kweli mnauzalendo!
hospitali hakuna madawa
walimu wanamadai lukuki
Tumia akili wewe, wapinge mafao kwani wao ndio wamepanga hicho kiasi? Hata wakiacha kitarudishwa kwa hao uliowalenga? Hivi huoni aibu serikali ya ccm kuongelea suala la madawati katika karne hii ya 21? Dawa itanunuliwa na wabunge wa chadema tu> Uzalendo uliofanywa kuwajulisha watu uchafu na upumbavu wa viongozi wa vvm ni mkubwa hujawahi kutokea nchi hii, huoni aibu kuongea kitu cha kipuuzi kilichopangwa na serikali hii dhaifu ya ccm? Kwenda au unataka waache ili wabunge wa ccm wachukue zote?
 
wakati vijana wao wanatwangana na kuuana kugombea posho za wagombea urais ( inasemekana ndio rushwa kubwa zaidi ya uchaguzi kuwahi kutolewa na watia nia duniani ) sisi tunasonga mbele .

Kiongozi nimekuvulia kofia,salute kwa kapicha kazuri
 
Siasa Zilizofanywa Na Chadema Miaka Mitano Hii Ni Siasa Zenyewe Hazijawai Kufanywa Na Chama Chochote Hapa Duniani, Kweli Chadema Ni Mpango Wa MUNGU

Maneno murua,yananiongezea hamu ya kuzidi kumalizia kula mgebuka wangu hapa kigoma.
 
Simiyu na msalani njoo mtoe mchango wenu ingawa tunajua utakuwa wa kutuvunja moyo,kitu ambacho ni changamoto kwetu na kutufanya tusonge mbele
 
ni siasa za kikakamavu zilizogharimu jasho , pesa , nguvu pamoja na damu , mafanikio hayaji kirahisi hasa kwenye nchi yenye ukandamizaji kama hii .

Yaani ccm wana tabia ya kinyama kabisa.
 
Yaani ccm wana tabia ya kinyama kabisa.

mijitu zaidi ya mia moja inamshambulia kijana mdogo lakini mkakamavu , hata hivyo walichemsha ! ama kweli visukari , presha na vitambi vya ufisadi ni noma sana .
 
Back
Top Bottom