BAVICHA iko wapi?

BAVICHA iko wapi?

Minadhani mwenzetu kahoji kama mdau wa siasa hakuhoji kama yeye ni CCM, chamsingi nachamaana naingekua busara zaidi kama hoja hii inge jibiwa na viongozi wa CDM sio vifuata upepo,ambao hata yalipo makao makuu ya chama hampajui

Sasa hapa ndio walipo viongozi wa CDM au tupo wanachama wa JF? hebu wewe unayejuwa yalipo makao makuu ya chama (sijui kipi) muelekeze
 
Wanahangaika.
Waliloliita "pigo takatifu" sasa kila kitu nje nje. Na hii ndiyo ilikuwa karata yao ya mwisho. Bahati mbaya (Ni Mapenzi ya Mwenyezi Mungu), wameicheza stupidly.

Safari ya ukombozi inaendelea. Zamu hii wapiganaji wakiwa na nguvu kemkem.

Kweli Kamanda.Tutakua imara kuliko wakati wowote ule
 
Minadhani mwenzetu kahoji kama mdau wa siasa hakuhoji kama yeye ni CCM, chamsingi nachamaana naingekua busara zaidi kama hoja hii inge jibiwa na viongozi wa CDM sio vifuata upepo,ambao hata yalipo makao makuu ya chama hampajui

Mkuu,
Chadema ina idara ya mitandao ya jamii. Wengi unaowaona hapa wako kwenye idara hiyo. Kinachoshangaza ni kuona idara ya chama inamshambulia kiongozi wa chama hichohicho. Kazi ya kumshambulia Zitto pia imefanywa sana na gazeti la Tanzania Daima.

Tatizo kubwa zaidi ni kwamba wanavuka mipaka na kutumia jumuiya ya chama kama Bavicha kuhalalisha maovu...
 
Mkuu,
Chadema ina idara ya mitandao ya jamii. Wengi unaowaona hapa wako kwenye idara hiyo. Kinachoshangaza ni kuona idara ya chama inamshambulia kiongozi wa chama hichohicho. Kazi ya kumshambulia Zitto pia imefanywa sana na gazeti la Tanzania Daima.

Tatizo kubwa zaidi ni kwamba wanavuka mipaka na kutumia jumuiya ya chama kama Bavicha kuhalalisha maovu...

Aya.......yaaani mnayoyafanya kule kwenye ofisi yenu upanga mnadhani na wengine ni hivyohivyo? Nani aliyesema BASHE sio Raia? Nani aliyesema MASAUNI kafoji cheti cha kuzaliwa? Nani aliye engineer SITTA kukosa usupika? Nani aliyesema SALIM ndiye aliyemuuwa Karume?
 
Kwa hiyo unataka Ben afukuzwe ili ajee mumupokee kwa mikono 2 kwa macho yote pua na mguu yote?.
Hakika Beni akitimuliwa ndani ya CDM bac nasafari yake ya kisiasa itakua imeishia hapo. Hakika Beni ni m-mbeya na mchonganishi hafai kua hata rafiki, bola uishi na mtu mchoyo kuliko kuishi na mtu m-mbeya mwenye majungu utafikili muimba taarabu kama Beni. Kunamsemo wa k-portugues unaosema"seu amigo e inimigo" sasa Beni ni "INIMIGO" kinacho mlea CDM ni ukanda na udini tu
 
Tuko busy na ule UZI wa press conference ya Lissu, huu ujanja wa ku spin issues mliouanzisha maccm tumeishaustukia.

Mme spin ishu ya kufeli watoto wa form four kwa kumteka Kibanda na kuachia movie aliyoitengeneza Mwigulu na Msacky, na wewe ulivyo ----- MTOZENi una spin issue ya maccm kuaibika kwa kuleta uzi usio na mashiko.

Kaombe kazi Bavicha ya kufagia vyoo kama njaa imepitiliza toka tumboni hadi kichwani
 
Aya.......yaaani mnayoyafanya kule kwenye ofisi yenu upanga mnadhani na wengine ni hivyohivyo? Nani aliyesema BASHE sio Raia? Nani aliyesema MASAUNI kafoji cheti cha kuzaliwa? Nani aliye engineer SITTA kukosa usupika? Nani aliyesema SALIM ndiye aliyemuuwa Karume?

Maoni ya kila mtu tunayaheshimu, ila jitahidi usitoke nje ya mada.

Hiki ulichoandika ni nje ya mada ya impunity ndani ya Bavicha tunayojadili...
 
Maoni ya kila mtu tunayaheshimu, ila jitahidi usitoke nje ya mada.

Hiki ulichoandika ni nje ya mada ya impunity ndani ya Bavicha tunayojadili...

Kwa hiyo tusijadili UVCCM yako? Kama hutaki hilo basi na wewe usijadili BAVICHA
 
Ndugu yangu kamam zito kachafuliwa embu mtakase atakasike............na kumbuka ameaga kwao kwaiyo hata uko alipo indirect bado hampo salama
 
Huwezi kujzdili bavicha wewe huna izo sifa meza mate ulale
 
Hujakatazwa kuanzisha thread ya jumuiya unayotaka kujadili. Mjadala wa hapa ni Bavicha na impunity kwa anayemchafua Zitto Kabwe.

Kwa hiyo nikukubalia uwongo unaotaka kuufanya uwe ukweli? NIMEKUULIZA ZITTO YUKO CHADEMA wewe GAMBA sasa unaumia nini akionewa na CHADEMA wenziye?
 
Wewe ni nani mpaka udai kuwa ''unataka kuona haki inatendeka''

Jitendee haki wewe mwenyewe kwanza kwa kuanza kufikiri/ kutumia muda na akili yako japo kidogo!

Ninachotaka kuona ni HAKI inatendeka, misingi ya Usawa na Utawala Bora inaheshimiwa.
 
Aya.......yaaani mnayoyafanya kule kwenye ofisi yenu upanga mnadhani na wengine ni hivyohivyo? Nani aliyesema BASHE sio Raia? Nani aliyesema MASAUNI kafoji cheti cha kuzaliwa? Nani aliye engineer SITTA kukosa usupika? Nani aliyesema SALIM ndiye aliyemuuwa Karume?

Mkuu, tena mtuhumiwa wa mauaji ya Karume ambaye pia alikuwa mwanachama wa Hizbu amepewa ujumbe wa Kamati Kuu. Sikumbuki sehemu ambayo wale wanamtandao waliokuwa wakimchafua kurudi na kutuambia kwamba they were wrong. Na sikumbuki pia ni lini Bashe alikuja tena kuwa raia.


CCM ni mabingwa wa tuhuma na michezo michafu ili kufanikisha malengo yao
 
Sasa hapa ndio walipo viongozi wa CDM au tupo wanachama wa JF? hebu wewe unayejuwa yalipo makao makuu ya chama (sijui kipi) muelekeze
Kwakua hujui ni kipi basi ni bola niku ache, wahenga walisema "Asie jua maana usimpe maana" kwahiyo siwezi kukupa maana mtu usie jua maana
 
Ni wapi nilikomchafua

BAVICHA inakuhusu nini wewe CCM?Ni lini umeanza kuwa na nia njema na CHADEMA?

ben?bora umejitokeza kulikana hilo,humu ktk jf cjaliona hilo yeye mleta hoja ya kijinga katoa wapi?na ni lini ameanza kula pilipili ya cdm?nakusihi usimjibu lolote mjinga mkubwa huyu.
 
Mkuu,
Chadema ina idara ya mitandao ya jamii. Wengi unaowaona hapa wako kwenye idara hiyo. Kinachoshangaza ni kuona idara ya chama inamshambulia kiongozi wa chama hichohicho. Kazi ya kumshambulia Zitto pia imefanywa sana na gazeti la Tanzania Daima.

Tatizo kubwa zaidi ni kwamba wanavuka mipaka na kutumia jumuiya ya chama kama Bavicha kuhalalisha maovu...
Jamaa wana mawazo kama ya Alfonso Jakama (m/kiti wa Renamo) Huyu jamaa anatatizo la ubinafsi, kilasiku anataka asifiwe yeye tu ikitokea akasifiwa mtu mwengine ndani ya chama kupita yeye basi mtu huyo atafute chama chengi nasio Renamo. Kulikua na mtu anae itwa Davide Simango huyu jamaa alikubalika ndani ya chama nanje ya chama alikifanya chama kipendwe navijana wengi kutoka kila makundi, lakini mwisho wake alitimuliwa ndani ya Renamo, na kwenda kuanzisha chama chake. jambo lilo fanya Renamo kukosa ushawishi na kubaki kutishia kuingia msituni kila kukicha. Kwahiyo hata CDM wana tatizo kama hilo ( kila sifa apewe Slaa na Mbowe) bilakujua (au wanajua ila wanabisha tu) kua Zitto anakubalika na wengi aijalishi itikadi ya chama. Binafi CDM siikubali ila Zitto namkubali ile mbaya, labda walitaka nayeye awe mchaga.
 
Hilo ndilo tatizo la vijana mtu akiwa tofauti kimawazo basi yeye ni CCM. Ila kama ni ukweli lazima usemwe hakuna cha Tuntemeke wala Pasco. Tuangalie je anachokifanya Ben ni sawawa.

[h=2]Hali inayoendelea sasa Ndg Zitto, Mwigulu, Shonza, Nape, Mchange na Mwampamba wahojiwe[/h]
Kuna chochote alichoongea Zitto kuhusu Lwakatare au Kibanda, mimi nilimwona kwenye press conference alipokuwa na Dr slaa.

Ila kwa maneno haya kwenye red napata shida na Ben wa Saanane.

Kupitia uanachama wangu kwa CHADEMA Kamwe msitegemea kosa lolote kutoka kwangu litakalowapa easy ride kwa mitego yenu. Kati ya watu wanaotakiwa kuhojiwa na jeshi la polisi kulingana na matamshi yao hadharani kwa sasa ni Mwigulu Nchemba, Juliana Shonza, Mtela Mwampamba, Festo Richard Sanga, Habib Mchange, Nape Moses Nnauyeili watoe ushahidi walio nao pamoja na ndugu Zitto Kabwe aliyedai kwamba alisikia mipango ya Mauaji inayomhusu yeye kutoka kwa watu waleee… Ahojiwe aeleze alisikia kutoka kwa akina nani. Najua watu wa Usalama wa Taifa mnapita hapa, Take Note (kama hamko katika hila hizi)

pia na hii

Mwisho, nasikia sikia sana habari za kuchinjana. Kuuana nk. Nasikia habari hizi kwa watu wale wale wa kikundi kile kile. Moja, natoka Kigoma. Nimeaga kwetu.’’

haya yalishapita kwa chadema haisaidii kitu wewe kama unabifu na Zitto useme na ni nani anaekutuma umchafue kiasi hicho.
 
Back
Top Bottom