Kama waliojibu umeona sio sahihi, aliyekwambia JF ni ofisi ya CDM nani? Mshauri mburura mwenio aende kuuliza ofisi za CDM kama ana uchungu na ZZK our Jembe la ukweli. Mmeshindwa kuwasuluhisha akina Membe na Lowasa na Sitta ila ya Zitto yanawawasha kama nini.Mbona CDM hawajasema kuwa Sitta atendewe haki, kimbelembele tu kwenye ugonvi wa majirani kama mkojo wa asubuhi. Imekula kwenu mtatapatapa sana mwaka huu mlidhani mtatumia migogoro ya ndani ya chama kuiuwa CDM. Mkajipange upya hiyo bado.Minadhani mwenzetu kahoji kama mdau wa siasa hakuhoji kama yeye ni CCM, chamsingi nachamaana naingekua busara zaidi kama hoja hii inge jibiwa na viongozi wa CDM sio vifuata upepo,ambao hata yalipo makao makuu ya chama hampajui