msikonge
Senior Member
- Aug 4, 2010
- 151
- 8
Hii inavutia, !Kata kumi na tano zimeenda upinzani CCM mpaka sasa wana kata nne hata meya wa jiji la Arusha atatoka CHADEMA.
Hii inavutia, !Kata kumi na tano zimeenda upinzani CCM mpaka sasa wana kata nne hata meya wa jiji la Arusha atatoka CHADEMA.
CHADEMA 12
CCM wamechukua kata 4
TLPView attachment 16068 3
Wananchi waandamana wakidai matokeo yatangazwe, nipo eneo la tukio pata picha kamili ya hali jinsi ilivyo.
yani hali ianpoelekea mbona inatisha, kwani yeye kama anni mpaka atoe hiyo amri....inatia hofu kwa kweli.
Tume ya uchaguzi will be held responsible for what will happen
heshima kwenu wanajamvi,
wakuu taarifa za kanzi lema anabembelezwa kwa mshiko wa nguvu [1 bilion] afanye kama alivyofanya mwaka 2005.wadau kama kuna viongozi wa chadema tafadhali sana wawahi manispaa lema akiachwa peke yake atafanya biashara faster ni kawaida yake nilishawahi kudokeza ni moja ya sifa zake.