Mkuu kitomari2 ... unaposema weusi una naana ni wale wenye rangi ya kahawa iliyopo kwenye vichwa, mbawa au mgongoni .... ninao sasa hivi ametamia mayai 8
Mkuu kitomari2 ... unaposema weusi una naana ni wale wenye rangi ya kahawa iliyopo kwenye vichwa, mbawa au mgongoni .... ninao sasa hivi ametamia mayai 8
kitomari2 naombwa unijuze, kwa sasa mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji na chotara, natamani nianze kufaga bata bukini, je ni lazima uwe na bwawa kwa ajili ya ufugaji wa bukini?
kitomari2 naombwa unijuze, kwa sasa mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji na chotara, natamani nianze kufaga bata bukini, je ni lazima uwe na bwawa kwa ajili ya ufugaji wa bukini?