Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,731
Hawa ndiyo watanzania wanaojiita great thinkers kweli? matusi ya nini sasa ? ebu tujenge taifa kwa kutoa michango yenye matinki , wewe bora utoke hautufai humu
Gazeti la MWANANCHI!
But sheria inasemaje juu ya kutembea na silaha hadharani namna hii?
Sheria zinasema watu wote ni sawa,
ila (unwritten) kuna walioko sawa zaidi kuliko wengine!!