Ahhh siku ya kufa nyani miti yote inatereza. Chadema Mungu kawatupia Taulo hilo, mlitumie ipasavyo katika siasa za ushindani hapo Igunga. Kama ambavyo CCM walivyotumia issue ya DC Fatuma Kimario na Hijabu fake yake, na ninyi jegeni hoja juu ya huyu Msomali na hii pistol yake.