Bornvilla
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 924
- 271
Hakuna kifo hadi sasa lakini watu wameumia na hakuna huduma yoyote waliyopata.Polisi hawajafika na hata ambulance haijafika. Kuna watu wawili wamebanwa ndani ya basi msaada wa haraka unahitajika. Kwa wale wenye ndugu zao basi wajitahidi kuwatafuta kwa simu ili wajue hali zao.
Source:Radio Imani.
Source:Radio Imani.