Shida ipo kwenye management ya madereva, mbona Shabiby, ABC, Kimbinyiko na Nyehunge hazisikiki zikipata ajali?Baada ya juzi kupata ajali mbaya na kuua watanzania wengi japo Serikal imeficha ukwl na kusema ni abiria watano
Leo tena kampuni ya newforce imepAta ajali maeneo ya Kibaha
Hii itakua ajali ya 6 ndani ya siku 21
Chanzo kikuu cha ajali hizo ni kile kile mwendokasi na kufanya overtaking za ovyo
Sasa ni wakati wa Serikal kuipiga Rungu kampuni hii ya mwekezaji kama ilivyofnya kwa kampuni za wazawa
View attachment 2666040
Inasemekana ina mkono wa mstaafu asiyestaafuSasa ni wakati wa Serikal kuipiga Rungu kampuni hii ya mwekezaji kama ilivyofnya kwa kampuni za wazawa
Ni kweli kabisaKibaha-morogoro ni eneo hatari sana tuwe makini
Labda lakini kelele za mitandaoni hua siziamini sana[emoji38][emoji38]Na wanajua ratiba zote za gari??
Wapo humo wanawajua hadi madereva wa gari hizo na kuwasifia [emoji1][emoji1]
Kuna mmoja anaitwa Tito hadi wafuasi anao humo
ABCSasa ni basi gani walau ni makini kwa kipindi hiki, maana nilitaka kusafiri na hilo basi ila ndo hizo ajali zake zimenitisha..
Angalia kwingine hao new force kama wanataka sifa mara nyingiSasa ni basi gani walau ni makini kwa kipindi hiki, maana nilitaka kusafiri na hilo basi ila ndo hizo ajali zake zimenitisha..
Huwa sielewi. Ukimwambia dereva punguza mwendo endesha kwa weledi hakuna anayeunga mkono hoja na dereva akianza kubisha ndo kabisa hutopata sapoti.
Watz walivvo wajinga utakuta Leo hii..mwengine anaenda kata ticket kabisa ya kampun hyo..Endeleeni kupanda Mabasi ya hiyi
Endeleeni kupanda Mabasi ya hiyo kampuni mtakapokatwa vichwa ndio mtaelewa..
Newforce,Sauli majanga
Ni maeneo ya jkt ruvu karibu na sekondariBaada ya juzi kupata ajali mbaya na kuua watanzania wengi japo Serikal imeficha ukwl na kusema ni abiria watano
Leo tena kampuni ya newforce imepAta ajali maeneo ya Kibaha
Hii itakua ajali ya 6 ndani ya siku 21
Chanzo kikuu cha ajali hizo ni kile kile mwendokasi na kufanya overtaking za ovyo
Sasa ni wakati wa Serikal kuipiga Rungu kampuni hii ya mwekezaji kama ilivyofnya kwa kampuni za wazawa
View attachment 2666040
Ajali ni ajali tuu.Ingekuwa ajali abilia wasingempongeza dreva mkuu
Mabus yanayoanza safari za SAA 9 ni machache Sana tofauti na SAA 12 .... kwahiyo kama unaenda mikoa ya kanda ya ziwa au mbeya ni Bora utembee usiku tuWafanye Saa ngp wakat mabus kuanzia saa 9 Ndio yanatoka dsm hapo Bado kuna yale ya kigoma na bukoba ayajafika
Nyie abiria mnashindwa kujisimamiaHiki ndicho hutokea mamlaka husika ya usimamizi inapokuwa legelege.
Umeandika vema,kama kuna mijitu huwa inanikera ni ile mijitu mizima inayo-bet mabasi na kusimama mabarabarani kushangilia mabasi na kuyamwagia maji,inafaa ikamatwe yote na kuwekwa Mahabusu kukomesha upuuzi ule,unakuta jitu zima na ndevu zake linasimama barabarani kushabikia mabasiMadereva wanawahi zile posho za watu kubeti yaani Kuna watz wamekaa mikoani wanabet nani atafungua geti Leo hii ni biashara ya kamari dereva anaefungua geti anapewa laki moja.Serikali ipige marufuku betting zote za mabus mfano pale uyole,kule kahama nk vijana wanakaa na ndoo kabisa za maji gari inayofungua geti inapokelewa kwa kumwagiwa maji yanafanyika,iwakamate wote wao ndio Chanzo Cha hizi ajali.
New force, Sauli, katarama,kiazi kikuu, Ally's,nk yaangaliwe kwa macho sita ndio yapo kwenye orodha ya hizi betting club za mabus Hawa vijana saa kumi na moja jioni wakionekana stand kamata wote wakafanye kazi zingine na Sio kutegemea betting za mabus huku watz wakiteketea kwa ajali sababu ya ushabiki wa kijinga.
Shida betting yahuko sio official ningumu kuzuia koz wabetije Wana contacts za madereva....jamvi linawekwa juu kwajuu.na kingine hawo traffic police nawo pia wanabeti.....Umeandika vema,kama kuna mijitu huwa inanikera ni ile mijitu mizima inayo-bet mabasi na kusimama mabarabarani kushangilia mabasi na kuyamwagia maji,inafaa ikamatwe yote na kuwekwa Mahabusu kukomesha upuuzi ule,unakuta jitu zima na ndevu zake linasimama barabarani kushabikia mabasi