bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,345
- 25,301
Hawa ni wachina Sio waswahili,wapo maalumu kwa ajili ya mabus ya kampuni za China.Kafara kama zote tu, 🤣🤣🤣🤣🤣🤣😅😅
Asee utajiri unatafutwa kwa shida na taabu sana
Sisi hata kuunda tu mabus hatuwezi


tulianza safari saa 12, kwenye saa sita kasoro niko moro, ila sio stendi