Basi gani luxury barabara ya Dar-Arusha?

Basi gani luxury barabara ya Dar-Arusha?

Shukrani. Hadi sasa highly rated ni Kilimanjaro, BM na Tahmeed.
1)Tahmeed
2)Kilimanjaro
3)BM
4)Dar Lux

Ila kwa njia ya Arusha/Nairobi Tahmeed ndio baba lao, sijui falcon mombasa yuko wapi akufanyie mchakato wa tiketi akupatie na VIP seat offer kwa Jf family member.
 
Nimesafiri since namiaka 17 mpka leo 28 asee KILIMANJARO ndio the best route iyo ya Dsm-Arusha then wanakuja BM kilimanjaro ndio kampuni bora kwa sasa ukiacha iliyokua inaitwa Scandnavia mkuu i recommend KLM ukikosa ndio panda BM coach
 
Panda BM wako vzr ktk time management na hata huduma zao, nilikuwa mteja mzr wa Kilimanjaro lkn baada ya kuwa wameanzisha utaratibu wa kukaa pale Korogwe nusu na kufika Arusha saa mbili usiku, nimehamia BM.

BM linatoka saa kumi na moja na nusu au kumi na mbili na kufika Dar/AR saa kumi na moja.
Kwangu mimi:

1. BM
2. Tahmeed
Then mengine yanafuata
 
Kilimanjaro ndio standard na wazoefu lakini wanalinga mnoo na gari zao kadhaa kwa sasa zimechoka, hivyo unaweza kubambikizwa basi mkweche ukasafiri kwa majuto. Jina linawabeba kuliko huduma.

Binafsi kwa sasa nakushauri Marangu Coach, wako smart na standard kwa gari zao zote. Wanajitahidi kutoa service nzuri ili kujenga jina.
 
Nenda Shekilango pale panda BM Coach la kwanza hutojutia nauli yako lina huduma zote ndani ikiwemo choo na 2 by 1 seat ukitaka halafu timetable wapo vizuri sana saa 10 upo Arusha
 
Panda BM wako vzr ktk time management na hata huduma zao, nilikuwa mteja mzr wa Kilimanjaro lkn baada ya kuwa wameanzisha utaratibu wa kukaa pale Korogwe nusu na kufika Arusha saa mbili usiku, nimehamia BM.

BM linatoka saa kumi na moja na nusu au kumi na mbili na kufika Dar/AR saa kumi na moja.
Kwangu mimi:

1. BM
2. Tahmeed
Then mengine yanafuata

Sababu yako haina mashiko ulitaka ule chakula dk 10 kikukabe au uchimbe dawa dk 5 wewe unapemda kuwai uendapo nakushaurinata ao BM sio hitaji lako panda tu gari za magezeti ili uwe unawai fila kabisa
 
mimi kwenye suala la haya mabasi sijajua luxury huwa wanamaanishaga nini
mimi naangaliaga kampuni na upya wa gari maana na kuwa na uhakika kidogo wa safari ila suala la uluxury bado aiseee
kama ni miguu hakuna nafasi kubwa ya kunyoosha na mitikisiko ndani ni kama kawaida
 
mimi kwenye suala la haya mabasi sijajua luxury huwa wanamaanishaga nini
mimi naangaliaga kampuni na upya wa gari maana na kuwa na uhakika kidogo wa safari ila suala la uluxury bado aiseee
kama ni miguu hakuna nafasi kubwa ya kunyoosha na mitikisiko ndani ni kama kawaida

Daraja la Chini 3x2 haina AC wala USB ports
Daraja la Kati 2x2 AC, USB ports na refreshments
Daraja la Juu 2x1 au 2x2 ilio na Choo ndani pamoja na AC USB na refreshments

Dar Express zote ni 2x2
Kilimanjaro 2x2 pamoja na 2x1 Chache
Extra Luxury 2x2
Kidia One 2x2
BM Coach 2x1 pamoja na 2x2
Marangu Coach 2x2
Tahmeed 2x1

DarLux alikuja vizuri lakini kwa sasa magari yake mengi yana shida ya service


Gari nzuri za kwenda Kaskazini (Arusha na Moshi) ni zile zinazoanzia Shekilango
 
Jaribu kupanda tahmeed ya nairobi mkuu, hautojuta kamwe.
Full kipupwe, refreshments na seat unalaza mpaka mwisho kabisa. 1x2 safi.
mimi kwenye suala la haya mabasi sijajua luxury huwa wanamaanishaga nini
mimi naangaliaga kampuni na upya wa gari maana na kuwa na uhakika kidogo wa safari ila suala la uluxury bado aiseee
kama ni miguu hakuna nafasi kubwa ya kunyoosha na mitikisiko ndani ni kama kawaida
 
Daraja la Chini 3x2 haina AC wala USB ports
Daraja la Kati 2x2 AC, USB ports na refreshments
Daraja la Juu 2x1 au 2x2 ilio na Choo ndani pamoja na AC USB na refreshments

Dar Express zote ni 2x2
Kilimanjaro 2x2 pamoja na 2x1 Chache
Extra Luxury 2x2
Kidia One 2x2
BM Coach 2x1 pamoja na 2x2
Marangu Coach 2x2
Tahmeed 2x1

DarLux alikuja vizuri lakini kwa sasa magari yake mengi yana shida ya service


Gari nzuri za kwenda Kaskazini (Arusha na Moshi) ni zile zinazoanzia Shekilango
ila kiongozi hizo 2 by 2 na choo ndani ndo kunafanya gari iwe luxury duh
kuna
Jaribu kupanda tahmeed ya nairobi mkuu, hautojuta kamwe.
Full kipupwe, refreshments na seat unalaza mpaka mwisho kabisa. 1x2 safi.
kuna basi la kampuni flani nilipanda ilikua ni full ac
chakushangaza vinywaji navyo wanagawa ni vya baridi balaaa nikaona duh hatari hiii
 
Ila tahmeed tangu kipindi naishi chuga ndio lilikuwa bus langu. Wahudum walikuwa na wanaume na hawana nyodo kabisa.
ila kiongozi hizo 2 by 2 na choo ndani ndo kunafanya gari iwe luxury duh
kuna

kuna basi la kampuni flani nilipanda ilikua ni full ac
chakushangaza vinywaji navyo wanagawa ni vya baridi balaaa nikaona duh hatari hiii
 
Jaribu kupanda tahmeed ya nairobi mkuu, hautojuta kamwe.
Full kipupwe, refreshments na seat unalaza mpaka mwisho kabisa. 1x2 safi.
Nauli yao ni kiasi gani
 
Back
Top Bottom