Nauli yao Bei gani?Hapo sijagrade kitu, ila tahmeed ni full 2*1 siti sofa
Nauli yao Bei gani?Hapo sijagrade kitu, ila tahmeed ni full 2*1 siti sofa
Wacheki kilimanjaro wanayo ya saa 2 kama sijakosea.Salaam..!! Naomb kujua ni bus nzuri ambayo inafany safar zake dar- arusha. Mana nimejarbu kuwachek shabiby line naona tarehe nayotak kusafir hawana bus. Nataka iwe luxury bus
35,000Nauli yao Bei gani?
Ok35,000
Watafute Esther LuxurySalaam..!! Naomba kujua ni bus nzuri ambayo inafanya safari zake Dar- Arusha. Maana nimejaribu kuwachek Shabiby line naona tarehe nayotaka kusafiri hawana bus. Nataka iwe luxury bus
Wakuu habari.
Nina safari ya kwenda Arusha siku ya Jumatano ama Alhamisi. Sasa naomba kujua basi ambalo ni luxury au basi semi luxury zuri lenye uhakika. Ni muda sijasafiri hiyo barabara, hivyo naomba kujua ni basi gari zuri na lenye huduma nzuri na zenye uhakika.
Ahsante.
Tafuta Kidia One wana route ya Kupitia Bagamoyo ya Saa kumi na mbili asubuhi, hutojuta mkuu. Ni 2*2 ila comfortableSalaam..!! Naomba kujua ni bus nzuri ambayo inafanya safari zake Dar- Arusha. Maana nimejaribu kuwachek Shabiby line naona tarehe nayotaka kusafiri hawana bus. Nataka iwe luxury bus
Tena BM Sahiv anayo hadi yenye madaraja, daraja la kwanza na la pili, hata Huduma ndani ni nzuri sanaBM Coach..
Wadau basi la uhakika Dodoma to Kahama ni lipi asante!Wakuu habari.
Nina safari ya kwenda Arusha siku ya Jumatano ama Alhamisi. Sasa naomba kujua basi ambalo ni luxury au basi semi luxury zuri lenye uhakika. Ni muda sijasafiri hiyo barabara, hivyo naomba kujua ni basi gari zuri na lenye huduma nzuri na zenye uhakika.
Ahsante.
Satco ya bukoba itakufaaWadau basi la uhakika Dodoma to Kahama ni lipi asante!
Tahmeed coachWakuu habari.
Nina safari ya kwenda Arusha siku ya Jumatano ama Alhamisi. Sasa naomba kujua basi ambalo ni luxury au basi semi luxury zuri lenye uhakika. Ni muda sijasafiri hiyo barabara, hivyo naomba kujua ni basi gari zuri na lenye huduma nzuri na zenye uhakika.
Ahsante.
Grow up kid.Kapandie pale kwa daraja la MFUGALE, ukifumba macho ukifumbua unajikuta Old Moshi au Majengo pale Moshi
Im grown up BOYGrow up kid.
Thanks nimekata kwa nauli ya 30,000/=Satco ya bukoba itakufaa