Basi gani luxury barabara ya Dar-Arusha?

Basi gani luxury barabara ya Dar-Arusha?

Kuna Kilimanjaro , Dar lux, na marangu coach kwangu ndio mazuri ila yapo mengi ila kwa huduma bora jaribu hayo
 
Ni luxury ama semi luxury?
Mkuu usijaribu kupanda hii gari, huduma yake ni mbaya sana. Haina muda maalum kutoka stendi na inaspeed utafikiri wanasafirisha samaki. Tumia kilimanjaro au marangu hutajuta
 
1. Tahmeed ♨
2. BM 🔱
3. Kilimanjaro ✅
4. Dar Express
5. Esta, Kidia, Extra, Marangu, Mbazi, Machame nk
6. Dar Lux
7. Hayo mengine...
Afu hicho kialama cha fork 🔱 kinamaanishaga nini naomba kueleweshwa.
 
Afu hicho kialama cha fork 🔱 kinamaanishaga nini naomba kueleweshwa.
🔱 Alama hii ya mkuki wenye sura tatu inaonekana sawa na uma/fork ni emoji ambayo inaashiria "trident emoji" hii pia unaweza kuitumia kama ishara ya mkuki wa silaha lakini pia mara nyingi huonekana juu ya sanamu za miungu ya kirumi au kigiriki.
 
Wakuu nime-search humu uzi wa mambo ya mabasi wa mdau Falcon siuoni, naomba mdau anayejuwa route ya Dar Moshi Arusha nahitaji kupanda luxury ya two by one yenye toilet na tv kwenye kila seat.

Binafsi naijuwa BM na Tahmeed inayokwenda Nairobi ila muda mrefu sijapanda, na najuwa kwenye industry hii ya transportation ushindani ni mkubwa hivyo kuna uwezekano kuna kampuni iko kwenye chati kwa sasa kuliko hizokampuni mbili ambazo nimewahi kusafiri nazo.

Kwa mdau anayejuwa tutiririke hapa tupeane information.
Bado hakuna mwingine mwenye sifa hizo
 
BM hutojutia!

Kaanzisha na Dar Dodoma..

Shabiby, ABC wajipange! Nilisafiri last week.

Everyday is Saturday............................... 😎
Shabiby abc kimbinyiko ni magiant huko, wajipange wale wanyonge wenye gari mbili mbili
 
🔱 Alama hii ya mkuki wenye sura tatu inaonekana sawa na uma/fork ni emoji ambayo inaashiria "trident emoji" hii pia unaweza kuitumia kama ishara ya mkuki wa silaha lakini pia mara nyingi huonekana juu ya sanamu za miungu ya kirumi au kigiriki.
Ndio ni trident emoji ila sasa nataka kujua wewe umemaanisha nini hasa na kama unamaanisha silaha ya mkuki ulitaka kumaanisha nini kwenye jibu lako?, samahani lakin nataka nijue tu maana yake kila wakati nikiiona nashindwa kuelewa "the basic implication" huwa wanamaanisha nini manake hata Idriss Sultan kwenye Twitter bio yake ameweka "I am 🔱" now I don't get what he actually means.
 
hivi Dar express wamekuwaje siku hizi...?

Dar Experience analeta bus mpya
5b5ce37d-3165-4831-999a-be9e831476de.jpg

701105f0-4334-4895-b33e-36f1a99bb346.jpg

c312aed9-f108-4e08-862a-2cfe858455ed.jpg
 
Back
Top Bottom