100%Sajda,Superfeo/Selous Nenda Stand Kuu Mbeya utapata usafiri ni bwerere
superfeo - mby to mtwaraNilikuwa nataka nifahamua na bei yake kabisa ili nijipange mazima nikitoka huku wilayani.. nikifika hapo Green City kesho yake niamshe mapema.
Aisee,hata St.Kayumba nadhani hujapita.Kwa ufahamu huu ni noma sana.Hivi Mtwara huwa hawanaga treni?
Aaah, wachaa wee, mimi huwa hata siyajuagi hayo majituAisee,hata St.Kayumba nadhani hujapita.Kwa ufahamu huu ni noma sana.
Haya mkuu,ila ulipaswa kujua.Aaah, wachaa wee, mimi huwa hata siyajuagi hayo majitu
Iling'olewa kumzuia MRENO....Hivi Mtwara huwa hawanaga treni?
Nichoandika hapo mbona kinaeleweka mkuu na Kiko clear?Unamaanisha nini..?
Kupitia Njombe mapema sana masasi, vipi Manning Nice na Baraka hawapo hio route Mbeya-Masasi-MtwaraSajda, Superfeo/Selous Nenda Stand Kuu Mbeya utapata usafiri ni bwerere