Basi gani linalotoka Mbeya kwenda Masasi/Mtwara?

Zekoddo

JF-Expert Member
Jul 28, 2022
1,831
4,498
Habari Wazee wenzangu,

Naulizia bus za kutoka Mbeya hadi Masasi au Mtwara Mkoani.

Kama zipo ni kampuni gani na nauli ni shilingi ngapi hadi Masasi Town.

Asante.
 
Nilikuwa nataka nifahamua na bei yake kabisa ili nijipange mazima nikitoka huku wilayani.. nikifika hapo Green City kesho yake niamshe mapema.
superfeo - mby to mtwara
superfeo - mby to masasi
Sajda - mby to Masasi
 
Super feo bus kubwa na vipisi huwa wanaenda Mbeya so wanapitia Makambako, Njombe, Madaba, Songea,Namtumbo, Tunduru, Nakapanya, mangaka, then masasi
 
Back
Top Bottom