GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 6,600
- 9,207
Naombeni mwongozo wakuu! Safari ni wiki ijayo.
Kwa Sasa nipo Mwanza. Nitavukia mpaka wa Sirari. Naomba kufahamishwa kuhusu yafuatayo:
1. Ni muda gani mzuri kusafiri kutoka Sirari kwenda Mombasa kati ya Asubuhi, Mchana, Jioni na Usiku?
2. Kuna usafiri wa moja kwa moja kutokea Sirari hadi Mombasa?
3. Usafiri gani mzuri kama nataka nifaidi mandhari, wa kuunga unga au wa moja kwa moja?
4. Nauli ni shilingi ngapi kutoka Sirari hadi Mombasa?
5. Ni mabasi gani yanayoenda huko Mombasa? Yanapaki wapi Sirari? Muda wa kuondoka Sirari ni saa ngapi?
6. Lodge/gesti gani Mombasa ni nzuri yenye usalama lakini bei rahisi?
7. Wakati wa kurejea Tanzania, nitapenda kuzungukia Kampala niingie Tanzania kupitia mpaka wa Mutukula. Nauli inaweza ikagharimu kiasi gani kutoka Mombasa hadi Mutukula kupitia Kampala? Ni mabasi gani yanaweza kunifikisha Kampala kutokea Mombasa?
8. Lodge/Guest gani nzuri yenye ulinzi/ usalama Kampala lakini ya bei rahisi?
Kwa Sasa nipo Mwanza. Nitavukia mpaka wa Sirari. Naomba kufahamishwa kuhusu yafuatayo:
1. Ni muda gani mzuri kusafiri kutoka Sirari kwenda Mombasa kati ya Asubuhi, Mchana, Jioni na Usiku?
2. Kuna usafiri wa moja kwa moja kutokea Sirari hadi Mombasa?
3. Usafiri gani mzuri kama nataka nifaidi mandhari, wa kuunga unga au wa moja kwa moja?
4. Nauli ni shilingi ngapi kutoka Sirari hadi Mombasa?
5. Ni mabasi gani yanayoenda huko Mombasa? Yanapaki wapi Sirari? Muda wa kuondoka Sirari ni saa ngapi?
6. Lodge/gesti gani Mombasa ni nzuri yenye usalama lakini bei rahisi?
7. Wakati wa kurejea Tanzania, nitapenda kuzungukia Kampala niingie Tanzania kupitia mpaka wa Mutukula. Nauli inaweza ikagharimu kiasi gani kutoka Mombasa hadi Mutukula kupitia Kampala? Ni mabasi gani yanaweza kunifikisha Kampala kutokea Mombasa?
8. Lodge/Guest gani nzuri yenye ulinzi/ usalama Kampala lakini ya bei rahisi?