Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,749
- 91,814
Unaweza ona tuna Rais wa Aina gan? RAIS ambaye ndio Yuko kwenye Mamlaka lakini bado HAJIAMINI na Akisumbuliwa na Inferiority complex.
Tuna Rais ambaye Comfortability yake ni hadi Asifiwe, yaan Ukimsifia ndio anajisikia Rahaaaaaaa na hii imefanya CHAWA WAWE WENGI ,Taifa limeamuaa kua la Machawa ili kwenda naye pamoja !! Wasomi wamekula tayari kuacha Taaluma zao pemben na kwenda na mapambio !!.
Jana nimeandika hapa, Ni hatari sana sana Kwa baadhi ya Nafasi kuongozwa na Mwanamke, na nikasema, Mwanamke Maisha yake huendeshwa na HISIA na sio Akili , lakini bado Mwanamke kuongozwa na Hisia Haina maana kwamba hawapo Wanawake Duniani ambao Uwezo wao mkubwa wa Akili umejidhirisha kwenye Safari zao za ELIMU !!!! .
Ni wazi, RAIS anaugonvi Mkubwa na WASUKUMA , anawachukia sana WASUKUMA, Mashambulizi anayoyapeleka Kwa Viongozi wa Kisukuma , yanadhihirisha Kwa namna gani alimchukia Magufuli, Kwa namna gan anawachukia WASUKUMA !!.
Nadhan aelewe, Ile ndio Kanda ya Ziwa !!. TUNATAKA MABADILIKO ALAFU TUMUONYESHE KWAMBA ILE NDIO KANDA YA ZIWA !!.
Tuna Rais ambaye Comfortability yake ni hadi Asifiwe, yaan Ukimsifia ndio anajisikia Rahaaaaaaa na hii imefanya CHAWA WAWE WENGI ,Taifa limeamuaa kua la Machawa ili kwenda naye pamoja !! Wasomi wamekula tayari kuacha Taaluma zao pemben na kwenda na mapambio !!.
Jana nimeandika hapa, Ni hatari sana sana Kwa baadhi ya Nafasi kuongozwa na Mwanamke, na nikasema, Mwanamke Maisha yake huendeshwa na HISIA na sio Akili , lakini bado Mwanamke kuongozwa na Hisia Haina maana kwamba hawapo Wanawake Duniani ambao Uwezo wao mkubwa wa Akili umejidhirisha kwenye Safari zao za ELIMU !!!! .
Ni wazi, RAIS anaugonvi Mkubwa na WASUKUMA , anawachukia sana WASUKUMA, Mashambulizi anayoyapeleka Kwa Viongozi wa Kisukuma , yanadhihirisha Kwa namna gani alimchukia Magufuli, Kwa namna gan anawachukia WASUKUMA !!.
Nadhan aelewe, Ile ndio Kanda ya Ziwa !!. TUNATAKA MABADILIKO ALAFU TUMUONYESHE KWAMBA ILE NDIO KANDA YA ZIWA !!.