BASHITE ana jeuri saaana

BASHITE ana jeuri saaana

Shetani hana muda wa kuwa na amani.
Mlitaka afukuzwe, kafukuzwa ,ofisi iko mikononi mwenu, fanyeni kazi msitafute kisingizio.
Mvuvi hujitafutia kisingizio.
 
Anaonewa sana, Tuhuma nyingi haxina ushahidi,, ile ya claud itakuwa alikua anafollow order tu...
Claud ilikuwa propaganda tu CCTV iliyotoka ilikuwa ya anayoingia tu lakini ile ya kusema anawapiga mbona haikutoka..??
Kauli nyengine muwe mnazitafakari kwa kina mfano kuingia claud na mitutu ya bunduki halikuwa kosa!,coz yule alikuwa ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi mkoa husika sasa usiku ule walitegemea atembee na deli la maandazi..?
Hivi unakuwaje askari utembee siraha umeacha nyuma..? 😅
 
Ndio anazidi kuonesha ujuha wake.. Tayari yuko kwenye blacklist ya marekani. Angekaa kimya aachane na hizi faraja za kitoto ana tuhuma za mauaji hayuko salama.. Hao wanaomlinda wakimchoka yatamtokea yaliyompata Charles Taylor Nigeria
Hizo hadithi Mkuu RC hawezi kuwa wanted USA kilichotokea alikuwa anatafutwa mwajiri wake na sasa hayupo. Mkuu wa nchi ndiyo anayo mamlaka ya kufanya aliyofanya Makonda bora hata angekuwa Waziri
 
Shetani hana muda wa kuwa na amani.
Mlitaka afukuzwe, kafukuzwa ,ofisi iko mikononi mwenu, fanyeni kazi msitafute kisingizio.
Mvuvi hujitafutia kisingizio.
Kwahiyo muhalifu akifukuzwa kazi ndio basi? Punguza ujjinga
 
Claud ilikuwa propaganda tu CCTV iliyotoka ilikuwa ya anayoingia tu lakini ile ya kusema anawapiga mbona haikutoka..??
Kauli nyengine muwe mnazitafakari kwa kina mfano kuingia claud na mitutu ya bunduki halikuwa kosa!,coz yule alikuwa ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi mkoa husika sasa usiku ule walitegemea atembee na deli la maandazi..?
Hivi unakuwaje askari utembee siraha umeacha nyuma..? [emoji28]
Huoni aibu kumtetea jambazi Bashite?
 
Picha ya zamani saaaana
Picha sio ya zamani hiyo,hata Mo Dewji alikwenda hapo msibani,msiwe mnabisha kwa vitu msivyo vijua.

Screenshot_20220217-002615_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom