Bashiru Ally: Rebirth of Chachage?

Bashiru Ally: Rebirth of Chachage?

Nilitegemea tu ungesema hayo..tunajua ni kwanini??

Never appreciate akishakuwa na majina kama yaleeee..

Mkuu sijakuelewa hebu fafanua. Ila kama ku-appreciate unataka mtu afanye nini?, ukimleta mtu hapa JF ajadiliwe basi huu ndiyo mjadala otherwise kama appreciation nafikiri wanafunzi wake wa siasa darasani ndiyo wanapaswa kufanya hivyo. Kwa upande wangu mimi nilichofanya post #5 kama umepitia thread yote kinatosha.
 
Bashiru Ally ni type ya kina Benson Bana. Hawezi kumfikia Chachage hata kwa 2%. Kwa taarifa yako huyu bwana ni mmoja ya wapiga debe wa CCM wazuri sana. Aliisha wahi kuwa Kampeni manager wa aliyekuwa mbunge wa CCM bukoba vijiji marehemu Sebastian Rukiza Kinyondo (RIP) ambaye alimpatia asante baada ya kuukwaa uwaziri wa kazi kwa kumwachia nyumba yake iliyo karibu na Mabibo Hostel aishi bila kulipa kodi.

Mimi huwa nikimuangalia simuamini na wala simuelewi dhamira yake ni nini hasa?, kuonekana academician?, kuonekana ni Independent person au kuonekana vipi hasa, maana matamko yake mengi hayaelezi uhalisia wa maisha ya leo zaidi ya blah blah za ujamaa. Sidhani kama hana dhamira ya kugombea nafasi ya uongozi hasa ubunge kupitia CCM, maana hiyo ni hobbie, aliishawahi kujaribu kuombea urais wa DARUSO mwaka 1998 akashindwa vibaya sana. Ila jamaa ukiwa humfahamu anaweza kukubadili nia kwa utaalamu wa kupangalia hoja. Nafikiri bado anapima upepo ili asiharibu kipaji.

Mkuu Hofstede, nakubali baadhi ya hoja zako na hasa unavyomfahamu Bashiru. Lakini nitofautiane nawe kwa baadhi ya hoja. Kwanza nikiri simfahamu Dr Bashiru zaidi ya kusoma machapisho yake na kumsikiliza kwenye tv. Umesema hawezi mfikia Chachage. Kwa hapo umehukumu na umechukua jukumu la kuumba. Nani aijuaye kesho? Kuna mtu kamtaja lwaitama kama mfano bora wa wasomi. Wanasahau miaka 15 nyuma hakuwa hv. Ndio maana nasema rebirth, kuzaliwa upya. Bado 'mtoto'. Tumsubiri akue. Katika makuzi yake kuna kufanya makosa na kujisahahisha. Khs ujamaa, wengi, huenda nawe pia - tupo kwenye kipindi cha sintofahamu ambapo hatujui - na labda tunatafuta - mfumo sahihi baada ya kuanguka ujamaa na sasa kufeli kwa ubepari. Kwa yeye kachagua analolijua na kuliamini, ujamaa. Sijui uccm wake unamuangusha kiasi gani kuwa 'independent and value free thinker', hiyo ni changamoto kwake. Km ilivyo uchaguzi wa aidha siasa au taaluma. Khs nyumba atleast akufisadi. Nakuunga mkono kuwa siasa alipita mlango usio sahihi, uanaharakati, sawa
 
Na hoja kubwa ni suala la ardhi. Km kuna jambo ambalo serikali inalifanyia mzaha ni suala hili. Ardhi kwa wakulima ni zaidi ya uchumi. Ni imani, uhai, familia. Ni kila kitu. Uwekezaji wa ardhi kwa sheria zilizopo zinasababisha uporaji wa ardhi wa wakulima. Mikoa ya pwani, arusha, morogoro, iringa na mbeya hali ni mbaya!

Acha wanyang'anywe hawa ndiyo watatia akili kuwa kura ya kila mmoja ni zaidi ya kusombwa kwenye karandinga na kupewa kanga na tshirt. CCM is helping us to aweken the sleeping wananchi let them increase the speed!
 
Acha Chachage pembeni, Mnajua kwamba hakuna Mwanasiasa hata mmoja Tanzania mwenye ilani inayotetea maslahi ya WAKULIMA ningawa ndilo kundi kubwa la wananchi na Kilimo ni uti wa mgongo wa Uchumi wetu?
Duh itakuwa sii mchezo maanake leo hii huko Syria wafanyabiashara wote wameamua kufunga maduka yao basi serikali imeyumba vibaya sana hadi wanajeshi wanatembeza bakora watu wakafungue maduka sasa imagine iwe Wakulima hapa kwetu!.

Ukumbi wa Siasa Tanzania ni mfinyu sana na kama atakuja tokea mtu akagombea Urais kwa kuwatetea wakulima kwanza akawatumia hawa kama kigezo cha harakati zake basi sidhani kama kuna chama ama mtu wa kushindana naye lakini ndio hivyo wanasiasa wetu bado wapo kizani sana wanatazama matukio kujenga sera na ilani zao badala ya kuwa na msingi wa malengo mbele...

Uwanja uko wazi na kusema kweli wanasiasa kama wanataka ku score umaarufu haraka, uwanja huu uko wazi kwa miaka mingi sana toka Nyerere aondoke na hakika kilichompa umaarufu Nyerere ni kuwajali Wakulima kwanza - Nchi hii ni ya WAKULIMA na Wafanyakazi, akachukua nchi..
 
Duh itakuwa sii mchezo maanake leo hii huko Syria wafanyabiashara wote wameamua kufunga maduka yao basi serikali imeyumba vibaya sana hadi wanajeshi wanatembeza bakora watu wakafungue maduka sasa imagine iwe Wakulima hapa kwetu!.

Ukumbi wa Siasa Tanzania ni mfinyu sana na kama atakuja tokea mtu akagombea Urais kwa kuwatetea wakulima kwanza akawatumia hawa kama kigezo cha harakati zake basi sidhani kama kuna chama ama mtu wa kushindana naye lakini ndio hivyo wanasiasa wetu bado wapo kizani sana wanatazama matukio kujenga sera na ilani zao badala ya kuwa na msingi wa malengo mbele...

Uwanja uko wazi na kusema kweli wanasiasa kama wanataka ku score umaarufu haraka, uwanja huu uko wazi kwa miaka mingi sana toka Nyerere aondoke na hakika kilichompa umaarufu Nyerere ni kuwajali Wakulima kwanza - Nchi hii ni ya WAKULIMA na Wafanyakazi, akachukua nchi..

Ni kweli ccm imewatosa wakulima. Sera za vyama vya upinzani havijielekezi kwa ukamilifu kwa wakulima. Kuna dhana - potofu - kuwa mabadiliko yanaanzia mijini ambapo w'nchi wenye 'uelewa' ni wengi. Wakulima wameachwa na 'zimwi' walijualo, ccm. Mfano, inasikitisha kuona kwa miaka mingi sasa tarafa maarufu zamani kwa kilimo, Ismani, 'imetelekezwa' kwa lukuvi na ccm yake. Wananchi wa ismani ni maskini wa kutupwa. Mabinti zao wamegeuka ma-house girls. Wakiubeba ukimwi toka mijini na kuupeleka ismani. Tarafa hii iliyokuwa maarufu na tajiri kwa kilimo cha mahindi sasa ni hoehae. Vijana wanaelewa chanzo cha madhira hii. Wameelimishana 'elimu uraia'. Wanawasubiri vyama mbadala kuwaondolea kadhia hii, ccm.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Hivi Bashiru Ally kawa lini Dr? Huyu jamaa si ana MA tu? Halafu wewe uliesema alipewa nyumba na mzee kinyondo unaropoka tu. Acheni kusingizia watu wasioweza kujitetea. Bashiru tangu lini kawa campaign manager wa Kinyondo?
 
Bashiru Ally ni type ya kina Benson Bana. Hawezi kumfikia Chachage hata kwa 2%. Kwa taarifa yako huyu bwana ni mmoja ya wapiga debe wa CCM wazuri sana. Aliisha wahi kuwa Kampeni manager wa aliyekuwa mbunge wa CCM bukoba vijiji marehemu Sebastian Rukiza Kinyondo (RIP) ambaye alimpatia asante baada ya kuukwaa uwaziri wa kazi kwa kumwachia nyumba yake iliyo karibu na Mabibo Hostel aishi bila kulipa kodi.

Mimi huwa nikimuangalia simuamini na wala simuelewi dhamira yake ni nini hasa?, kuonekana academician?, kuonekana ni Independent person au kuonekana vipi hasa, maana matamko yake mengi hayaelezi uhalisia wa maisha ya leo zaidi ya blah blah za ujamaa. Sidhani kama hana dhamira ya kugombea nafasi ya uongozi hasa ubunge kupitia CCM, maana hiyo ni hobbie, aliishawahi kujaribu kuombea urais wa DARUSO mwaka 1998 akashindwa vibaya sana. Ila jamaa ukiwa humfahamu anaweza kukubadili nia kwa utaalamu wa kupangalia hoja. Nafikiri bado anapima upepo ili asiharibu kipaji.

Bashiru namfahamu vizuri tumesoma naye Kilosa Agricutural secondary school, almaalufu "KIZUNGUZI" anajua kupanga hoja kweli ila tatizo lake 80% huwa hana msimamo na haeleweki, vinginevyo he is a goodman
 
Chachage s chachage ni namba nyingine hyo msijaribu kuharibu sifa ya csc.Mlinganisheni na akina bana akina lwaitama na akina mkandara
 
Mnaopinga 'mwelekeo' msomi huyu kijana kuwa 'the next Chachage Sethy Chachage mnaegemea hoja ya kumfahamu 'personally'. Hakuna anayesema kwa mfano kwa nini hawezi kuja kufanana naye kwa yale anayoyaamini na kuyasimamia. Nguvu ya hoja yangu imejiegemeza kwenye machapisho yake ya kitaaluma na harakati zake za utetezi wa masuala ya ardhi. Hoja kwamba miaka kadhaa, jinsi 'tumjuavyo' alikuwa hana msimamo au wa system au ccm (km ni dhambi) haina mashiko. Binadamu bado anakua. Alichokiamini jana, si lazima iwe na leo. Baadhi watu, husimama na kanuni za kimaisha bado wadogo. Wengine huwachukua miaka kuja na misingi na kanuni za maisha yake. Why not Bashiru?
 
Bashiru Ally ni type ya kina Benson Bana. Hawezi kumfikia Chachage hata kwa 2%. Kwa taarifa yako huyu bwana ni mmoja ya wapiga debe wa CCM wazuri sana. Aliisha wahi kuwa Kampeni manager wa aliyekuwa mbunge wa CCM bukoba vijiji marehemu Sebastian Rukiza Kinyondo (RIP) ambaye alimpatia asante baada ya kuukwaa uwaziri wa kazi kwa kumwachia nyumba yake iliyo karibu na Mabibo Hostel aishi bila kulipa kodi.

Mimi huwa nikimuangalia simuamini na wala simuelewi dhamira yake ni nini hasa?, kuonekana academician?, kuonekana ni Independent person au kuonekana vipi hasa, maana matamko yake mengi hayaelezi uhalisia wa maisha ya leo zaidi ya blah blah za ujamaa. Sidhani kama hana dhamira ya kugombea nafasi ya uongozi hasa ubunge kupitia CCM, maana hiyo ni hobbie, aliishawahi kujaribu kuombea urais wa DARUSO mwaka 1998 akashindwa vibaya sana. Ila jamaa ukiwa humfahamu anaweza kukubadili nia kwa utaalamu wa kupangalia hoja. Nafikiri bado anapima upepo ili asiharibu kipaji.

Hapo kwenye red ni kweli kabisa ilikuwa Mwaka 1995 na alipoingia UDSM alikuwa anakaa Hall on amebebwa na mtu..Baadae akiwa 1 yrs akagombea urais DARUSO akashindwa vibaya sana..Muulize Kitila Mkumbo alikuwa anapinga sera zake akiwa rais wa Daruso..Huyo jamaaa anapenda sana kujipendekeza.Yeye na BANA wako sawa kabisa
 
Nasitisha mjadala ili kuruhusu historia ijiandike. Baada ya miaka kadhaa itasomwa. Ambacho nilikiona kwa bashire ni 'potency' na si 'actuality'. Baadhi ya wanabodi wana mashaka naye kutokana na historia ya nyuma. Alianza na mguu mbaya - politiki. Achague 'pacha moja', taaluma na siasa, au taaluma na harakati za utetezi jamii. Taratibu ajitambulishe kwa saizi ya viatu vyake. Akisimamia analoliamini. Kwa sasa, u-ccm na uanaharakati wa kupigania wanyonge, ni sawa na chumvi na sukari - havifungamani -amuulize mwakyembe, nape, sitta nk.
 
Bashiru Ally ni type ya kina Benson Bana. Hawezi kumfikia Chachage hata kwa 2%. Kwa taarifa yako huyu bwana ni mmoja ya wapiga debe wa CCM wazuri sana. Aliisha wahi kuwa Kampeni manager wa aliyekuwa mbunge wa CCM bukoba vijiji marehemu Sebastian Rukiza Kinyondo (RIP) ambaye alimpatia asante baada ya kuukwaa uwaziri wa kazi kwa kumwachia nyumba yake iliyo karibu na Mabibo Hostel aishi bila kulipa kodi.

Mimi huwa nikimuangalia simuamini na wala simuelewi dhamira yake ni nini hasa?, kuonekana academician?, kuonekana ni Independent person au kuonekana vipi hasa, maana matamko yake mengi hayaelezi uhalisia wa maisha ya leo zaidi ya blah blah za ujamaa. Sidhani kama hana dhamira ya kugombea nafasi ya uongozi hasa ubunge kupitia CCM, maana hiyo ni hobbie, aliishawahi kujaribu kuombea urais wa DARUSO mwaka 1998 akashindwa vibaya sana. Ila jamaa ukiwa humfahamu anaweza kukubadili nia kwa utaalamu wa kupangalia hoja. Nafikiri bado anapima upepo ili asiharibu kipaji.
Umesema kweli inaonekana unamfahamu vizuri. Huyu bwana ni opportunist na ni rahisi kununulika. Ukimwona kwa nje utaona yupo bold lakini ukweli hana tofauti na Dr Bana. Mwingine ambaye pia ukimwona kwa nje utadhani ni bold ni Dr Fransis Michael lakini ni kibaraka wa ajabu! Mtu ambaye anachipukia vizuri na msimamo usioyumba ni Dr Mkumbo
 
Hapo kwenye red ni kweli kabisa ilikuwa Mwaka 1995 na alipoingia UDSM alikuwa anakaa Hall on amebebwa na mtu..Baadae akiwa 1 yrs akagombea urais DARUSO akashindwa vibaya sana..Muulize Kitila Mkumbo alikuwa anapinga sera zake akiwa rais wa Daruso..Huyo jamaaa anapenda sana kujipendekeza.Yeye na BANA wako sawa kabisa
Kampeni zake zilikuwa nzuri na angeshinda ila alikosea akatumia udini (uislamu) watu wakamtosa siku za mwisho
 
Huyu msomi toka chuo kikuu cha dsm yupo channel ten. Anasema wakulima si muda mrefu watafanya mapinduzi kwa sababu ya wakulima kusahauliwa na mpango dhaifu wa kilimo kwanza. Msomi huyu ananikumbusha chachage. Amefanana kwa mengi na marehemu chachage sethy chachage.

Naona haitawezekana kumfananisha Bashiru Ally na Sethy Chachage. kwa hii minong'ono kwamba Dr. Bashiru Ally anaweza kuteuliwa kuwa katibu mkuu wa CCM baada ya Kinana.
 
Bashiru Ally ni type ya kina Benson Bana. Hawezi kumfikia Chachage hata kwa 2%. Kwa taarifa yako huyu bwana ni mmoja ya wapiga debe wa CCM wazuri sana. Aliisha wahi kuwa Kampeni manager wa aliyekuwa mbunge wa CCM bukoba vijiji marehemu Sebastian Rukiza Kinyondo (RIP) ambaye alimpatia asante baada ya kuukwaa uwaziri wa kazi kwa kumwachia nyumba yake iliyo karibu na Mabibo Hostel aishi bila kulipa kodi.

Mimi huwa nikimuangalia simuamini na wala simuelewi dhamira yake ni nini hasa?, kuonekana academician?, kuonekana ni Independent person au kuonekana vipi hasa, maana matamko yake mengi hayaelezi uhalisia wa maisha ya leo zaidi ya blah blah za ujamaa. Sidhani kama hana dhamira ya kugombea nafasi ya uongozi hasa ubunge kupitia CCM, maana hiyo ni hobbie, aliishawahi kujaribu kuombea urais wa DARUSO mwaka 1998 akashindwa vibaya sana. Ila jamaa ukiwa humfahamu anaweza kukubadili nia kwa utaalamu wa kupangalia hoja. Nafikiri bado anapima upepo ili asiharibu kipaji.
Du! kumbe! Nimemfahamu Bashiru Ally kwa miaka michache, na nimekuwa nikishangazwa na jinsi anavyogeuka msimamo siku kwa siku, katika hoja zake. nilivutiwa na hoja zake mwanzoni, lakini siku za karibuni nimekuwa na mashaka naye. sasa naelewa kwa nini.
 
Bashir kuwa sawa na Chachage ni utani usofaa.

Anaficha misimamo yake. Pale Ihungo H/school akiwa HP hakupata kutetea maslahi ya wanafunzi. Iliaminika kuwa alikuwa TISS coz it was known to be married lakini uongozi wa shule hawakumgusa
Wapi hiyo mkuu?
 
Bashiru Ally ni type ya kina Benson Bana. Hawezi kumfikia Chachage hata kwa 2%. Kwa taarifa yako huyu bwana ni mmoja ya wapiga debe wa CCM wazuri sana. Aliisha wahi kuwa Kampeni manager wa aliyekuwa mbunge wa CCM bukoba vijiji marehemu Sebastian Rukiza Kinyondo (RIP) ambaye alimpatia asante baada ya kuukwaa uwaziri wa kazi kwa kumwachia nyumba yake iliyo karibu na Mabibo Hostel aishi bila kulipa kodi.

Mimi huwa nikimuangalia simuamini na wala simuelewi dhamira yake ni nini hasa?, kuonekana academician?, kuonekana ni Independent person au kuonekana vipi hasa, maana matamko yake mengi hayaelezi uhalisia wa maisha ya leo zaidi ya blah blah za ujamaa. Sidhani kama hana dhamira ya kugombea nafasi ya uongozi hasa ubunge kupitia CCM, maana hiyo ni hobbie, aliishawahi kujaribu kuombea urais wa DARUSO mwaka 1998 akashindwa vibaya sana. Ila jamaa ukiwa humfahamu anaweza kukubadili nia kwa utaalamu wa kupangalia hoja. Nafikiri bado anapima upepo ili asiharibu kipaji.
Kumbe ni kada toka siku nyingi...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom