Kipigi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2012
- 815
- 334
Yesu ni kama ile historia ya Isaka na Esau , Mungu aliiratibu mwenyeweeeHiyo chapter ilishafungwa, kama alionewa ilikuwa ni mipango ya Mungu asiwe rais.
Yesu ni kama ile historia ya Isaka na Esau , Mungu aliiratibu mwenyeweeeHiyo chapter ilishafungwa, kama alionewa ilikuwa ni mipango ya Mungu asiwe rais.
Hii ni zaidi ya kula nyama ya mtu!Mbunge wa Nzega, Hussein Bashe amesema anaamini Edward Lowassa hakuenguliwa kwa haki na CCM katika mchakato wa kumpata mgombea urais wa chama hicho, na kwamba waziri mkuu huyo wa zamani si pekee ambaye amekumbana na uonevu kama huo.
Bashe, ambaye ameingia bungeni kwa mara ya kwanza katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana akipeperusha bendera ya CCM, pia amesema kashfa zote zinazoikumba Serikali hutengenezewa suluhisho kwa malengo fulani na si kutafuta muafaka wa haki.
Kiongozi huyo wa zamani wa Umoja wa Vijana wa CCM alisema hayo katika mahojiano maalumu na Mwananchi yaliyofanyika jijini Dar es Salaam juzi.
Bashe, ambaye alikuwa kambi ya Lowassa wakati wa mchakato wa kumpata mgombea urais wa CCM, alisema ingawa hana uhusiano tena wa kisiasa na kada huyo, anaona tukio lake kuwa ni historia ya kutotendea haki wanachama wengi wa CCM. “Si Lowassa pekee, wako wengi,” alisema Bashe katika mahojiano hayo.
Chanzo: Mwananchi
Miungu wapo wengi fafanua zaidi,Hiyo chapter ilishafungwa, kama alionewa ilikuwa ni mipango ya Mungu asiwe rais.
Ana haki ya kutoa maoni yakeBashe ni mbunge wa chadema kupitia CCM, ataisoma Namba muda sio mrefu
Jaji Ramadhani, Pinda, Bilall, Mwigulu, Makongoro, Wasira, Sumaye, etc. Wote ambao hawakufika 5 bora tuseme walionewa!!Wengi walionewa kama wakina Profesa mwandosya n.k.
Umenena. Huyu ni Mbunge wa CDM kupitia CCM!!Bashe ni mbunge wa chadema kupitia CCM, ataisoma Namba muda sio mrefu
That was expected.Naunga mkono hoja.
swissme
Hata kama watamtimua kina Bashe watazaliwa mamilioni kwa mamilioni, ukweli utasimama!Huyu Mkaka ni mfuasi na mpiga debe wa Lowasa namba moja. Kama hufahamu hilo fahamu. Na yuko hata huko CCM jina tuuu na wala si mwana CCM. Muwe mnachunguza vitu kabla ya kutoa yenu ya moyoni. Na kama watamuacja CCM atawatafuna kama mchwa maana ni moja kati ya wale wengi wa EL.
Huyu kijana anataka kuharibu mstakabali wake kwenye ccm ya magufuli. kujua kwingi kutamponza. kama anaamini upigaji dili ndio mpango bora kuiletea nchi maendeleo amfuate lowassa chadema. wananchi wanachukia upigaji dili...ni balaa kwa maendeleo ya nchi.Mbunge wa Nzega, Hussein Bashe amesema anaamini Edward Lowassa hakuenguliwa kwa haki na CCM katika mchakato wa kumpata mgombea urais wa chama hicho, na kwamba waziri mkuu huyo wa zamani si pekee ambaye amekumbana na uonevu kama huo.
Bashe, ambaye ameingia bungeni kwa mara ya kwanza katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana akipeperusha bendera ya CCM, pia amesema kashfa zote zinazoikumba Serikali hutengenezewa suluhisho kwa malengo fulani na si kutafuta muafaka wa haki.
Kiongozi huyo wa zamani wa Umoja wa Vijana wa CCM alisema hayo katika mahojiano maalumu na Mwananchi yaliyofanyika jijini Dar es Salaam juzi.
Bashe, ambaye alikuwa kambi ya Lowassa wakati wa mchakato wa kumpata mgombea urais wa CCM, alisema ingawa hana uhusiano tena wa kisiasa na kada huyo, anaona tukio lake kuwa ni historia ya kutotendea haki wanachama wengi wa CCM. “Si Lowassa pekee, wako wengi,” alisema Bashe katika mahojiano hayo.
Chanzo: Mwananchi
Kwamba yule jamaa wewe na Chadema mlikuwa mnataka achomwe moto au akaozee gerezani kwa ufisadi alionewa na CCM?Naunga mkono hoja.
swissme
Mungu ana njia nyingi za kuepusha mambo, hapa alipanga "aonewe" ili Tz iende sawa.
Ndio tunashangaa kama PM na Makamu wa Rais walikatwa, nini EL ambaye hakuwa na wadhifa wowote!!Jaji Ramadhani, Pinda, Bilall, Mwigulu, Makongoro, Wasira, Sumaye, etc. Wote ambao hawakufika 5 bora tuseme walionewa!!
Hizi zama hakuna kulindana khali ngumu ata kwaohana mpango wa kugombea 2020 hi inaitwa potelea mbali