Ngushi
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 9,064
- 18,367
mbona hamjakata rufaa sizonje kuhujumiwa tuzo?Wakakate rufaa.
mbona hamjakata rufaa sizonje kuhujumiwa tuzo?Wakakate rufaa.
Bashe kwa lowasa ni kama ugali na mboga[emoji216]Kama ni kweli basi huyu jamaa huwa nampenda sana kwakuwa anamsimamo sana
Kwahiyo tunaenda sawa!!![emoji196] [emoji216]Mungu ana njia nyingi za kuepusha mambo, hapa alipanga "aonewe" ili Tz iende sawa.
Imeshaanza kuwaingiaBashe ni mbunge wa chadema kupitia CCM, ataisoma Namba muda sio mrefu
Hata hivyo Nikuulize Mungu yupi ?acha wehu ukimuonea mtu nimipango yamungu?
kuna mtu wangu wa karibu akikuwa na Lowassa UDSM miaka hiyo.
Yaani misimamo kwako ni kuiponda ccm!! Aise hiki kizazi ni balaa. Vyuo vifutwe tu kibaki udsm pekee mana vyuo hivi vingine ni shida wanachukua had I div 3 ndo mana reasoning ya humu jf ni mdogo sana kama huyu kiwavi jeshiKama ni kweli basi huyu jamaa huwa nampenda sana kwakuwa anamsimamo sana
🙂Na Kiongozi wa Fitina alikuwa Baba Kuchekacheka.
Dar es Salaam. Mbunge wa Nzega, Hussein Bashe amesema anaamini Edward Lowassa hakuenguliwa kwa haki na CCM katika mchakato wa kumpata mgombea urais wa chama hicho, na kwamba waziri mkuu huyo wa zamani si pekee ambaye amekumbana na uonevu kama huo.Mwenye habari kamili atuwekee hapa