Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,544
- 35,405
Labda 2020 atahamia Chadema.Kama Bashe anaamini hivyo anafanya nini CCM?
Labda 2020 atahamia Chadema.Kama Bashe anaamini hivyo anafanya nini CCM?
Sijui ni kwanini ashamie kwenye chama cha wasema kweli.
Mbona anajikosesha amani kwa kukaa na chama hiki.
Bashe Jiunge na wapenda haki na wasema kweli wenzio.