Bashe hataki tujenge reli kwa fedha zetu!!

Bashe hataki tujenge reli kwa fedha zetu!!

Soma coment za watu ktk hii thread ili ujue msingi wa hoja yangu sio kukurupa ukasoma maoni yangu then uka make conclusion....
I did not quote everyone's comment. I quoted only your comment. Use what we call common sense...
 
Bashe is right. Ndiyo maana tunasema ni muhimu kuchagua vipaumbele kwa umakini mkubwa. Ili tujenge hiyo reli kwa fedha za kodi zetu wenyewe, ni lazima vijana wetu wakose mikopo ya vyuo, dawa hospitali zikosekane, miradi ya maji isiendelee, n.k. Would you do that? Mtu anayefikiria kuwa na alternative means za kujenga hiyo reli, is very intelligent. Na mtu huyo hawezi kuwa kwenye kile chama...kama yuko huko, basi atakuwa ni very unpopular sana huko.

Bashe ni miongoni mwa vijana wachache saaana wanaojitambua ndani ya chama chao.
 
Alafu huyo Bashe" ana ndugu yake kule nchini South Africa" ni msomali mwenzie
ndo kalikuwa Kabosi kangu.....Aisee
SIKAPENDI.....!!! Aipiti siku bila kuikashifu
Tanzania....utamsikia.....hahahahahh....
njoo uwone nchi yenu inavyouzwa huku...
hahahah.....watanzani hamuna akili na musipoangalia WASOMALI tunaweza ichukua nchi......hahahha!

Alikuwa anamalizia kwa kusema......
Bola wewe ulivyoikimbia Tanzania....
We komaa tu hapahapa South...kikinuka tuunawaita ndugu zako au vp.....?!?

acha unafiki wewe, pia inaonyesha hauna shukrani kama ulizamia huko south na msomali akakuajiri ulivyokua na roho ya kwanini unamsema vibaya na kumzushia uongo....... utakufa masikini bwege wewe
 
acha unafiki wewe, pia inaonyesha hauna shukrani kama ulizamia huko south na msomali akakuajiri ulivyokua na roho ya kwanini unamsema vibaya na kumzushia uongo....... utakufa masikini bwege wewe

Pole sana mkuu" kwa dhana yako uliyonayo
Sikwenda kule kimazabe......Alafu South sio nchi yangu ya kwanza kwenda.....
Pia 95% ya nchi zilizoendelea ni ngumu kuajiliwa iwapo hauna Passport" au vibali halali vya kuishi nchini hapo....!

Huyo msomali alinifuata yeye" na sio mimi
niliyemfuta......Alafu wana UBINAFSI sana
PUMBAVU.....
 
Pole sana mkuu" kwa dhana yako uliyonayo
Sikwenda kule kimazabe......Alafu South sio nchi yangu ya kwanza kwenda.....
Pia 95% ya nchi zilizoendelea ni ngumu kuajiliwa iwapo hauna Passport" au vibali halali vya kuishi nchini hapo....!

Huyo msomali alinifuata yeye" na sio mimi
niliyemfuta......Alafu wana UBINAFSI sana
PUMBAVU.....

labda nikwambie kitu ndugu mimi nilisha drive kutoka charles hill botswana baada ya kuvuka mpaka wa trans kalahari, na kuelekea gaborone na nikatokea mpaka wa pioneer kati ya botswana na south africa, nikaenda mpaka midrand then johannesburg mpaka durban, huko saint georges kuna wabongo kibao kama wewe walienda na kugongewa entry isiozidi miezi mi3, mkifika huko wengine hua wanajiita mabaharia, wezi, vibaka walala chini ya madaraja huku wakidai wanasubiri meli, na wengine makwerere ndio kama wewe eidha ufanye u pusher wa kuuza unga wa wanaijeria au upige dei waka kwa wasomali, wa ethiopia na hata wahindi wafanya biashara, kazi hizo hazihitaji work permit kwakua unafanya kama kibarua, professional yoyote kabla hajaingia south africa huombewa kibali cha kufanya kazi eidha na serikali kama inamuhitaji au tajiri mmiliki wa taasisi fulani, sasa wewe huko ulikua na kibali cha kufanya kazi gani na ulikipata wapi/ na kwanini uombwe kazi na kaka yake bashe ukubali kufanya huku anakunyanyasa?

wewe ni muongo, mnafiki tena kizabizabina nasisitiza usipoangalia utakufa masikini, majungu tu ndio yamekujaaa.
 
Hata MNYARWANDA hawezi kuwa na UCHUNGU na Tanzania.


Angalau Mnyarwanda ni Mbantu na tuna uhusiano wa karibu hata Utamaduni unafanana na wetu na tushawahi kuwa nchi moja, Msomali ana uhusiano gani na sisi?
 
Bashe is right. Ndiyo maana tunasema ni muhimu kuchagua vipaumbele kwa umakini mkubwa. Ili tujenge hiyo reli kwa fedha za kodi zetu wenyewe, ni lazima vijana wetu wakose mikopo ya vyuo, dawa hospitali zikosekane, miradi ya maji isiendelee, n.k. Would you do that? Mtu anayefikiria kuwa na alternative means za kujenga hiyo reli, is very intelligent. Na mtu huyo hawezi kuwa kwenye kile chama...kama yuko huko, basi atakuwa ni very unpopular sana huko.
Deni likiongezeka mnapiga kelele. My motherland Tanzania. My fellow Tanzanians tunataka nini?
 
Hivi Watz mbona mnakuwa wavivu kufikiri? Kwani zikija hata kampunni 20 zikijiunga kujenga hiyo reli kuna shida gani? Hizo hela ambazo serikali ingetoa kujengea reli si ndio zingenunua dawa, kukopesha wanafunzi na kuboresha kilimo? Hamuoni mfano wa daraja la Kigamboni?
Halafu wastaafu wanacheleweshea mafao.
 
Why are you so negative kwamba lazima wafanyabiashara wa malori wahujumu huo mradi? And why are you so certain kwamba watafanikiwa kwenye hiyo hujuma? Kama mtu binafsi anaweza kumiliki mabasi sita bei ya milioni 400 kila moja hawezi kuwa shareholder kwenye hiyo kampuni ya reli? Na sio lazima hizo kampuni zimiliki kiasi kikubwa cha hizo shares. Hata wangechukua tu 30% ya hizo shares bado serikali ingeacha kutumia hizo pesa kwenye reli izitumie kwenye miradi mingine
70% atoe nani? Je ni kiasi cha shs ngapi hiyo 70%?
 
Deni likiongezeka mnapiga kelele. My motherland Tanzania. My fellow Tanzanians tunataka nini?[/QUOTE
No, don't get it wrong... hakuna hasara kukopa deni na kulitumia kufanya miradi mikubwa yenye manufaa ya wananchi wengi. Ndio maana Bashe amesema PPP, don't spin....
 
Acha njia serikali ijenge, PPP ije katika mabehewa..

Ila watanzania sisi hatujui tunataka nini, mfano tuna PPP katika mradi wa Mabasi yaendayo haraka.. Baadhi ya watu wanampiga vita mwekezaji wa ndani
 
Treborx : Tunataka nini hasa?;what's our stand? What is our heading focus?
Tunajichanganya sana!
 
Angalau Mnyarwanda ni Mbantu na tuna uhusiano wa karibu hata Utamaduni unafanana na wetu na tushawahi kuwa nchi moja, Msomali ana uhusiano gani na sisi?

Hahahhahahahhahahah mwenye tabia za KIKATILI hatuna hata uhusiano na for your infromation Mnyrwanda siyo Mbantu
 
Back
Top Bottom