Bashe hataki tujenge reli kwa fedha zetu!!

Bashe hataki tujenge reli kwa fedha zetu!!

Kwanini unasema ni takataka? Ushawahi kutumia usafiri wa ndege kabla ya hizo bombadier? Fastjet walikuwa wanafanya wanavyotaka....tuache maneno maneno
Watu kama hawa hawajui hata wanataka nini?
 
Huu ni mchango wa Bashe mbunge wa nzega.

Hataki serikali itumie fedha za makusanyo kufanyia miradi na mfano alioutoa ni ujenzi wa Reli ya Kati ambayo imekuwa ni kiunganishi kikubwa kati ya mikoa ya mashariki na magharibi .
Badala yake anataka serikali itumie PPP.
BASHE USIMWAMINI HATA KAMA UMELEWA, UNAWEZA KUKUTA ANATETEA KUNDI LA WAFANYABIASHARA WA MAROLI - HUYU JAMAA NI MBINAFSI BALAA YUKO BUSY KUJITETEA YEYE TU NA KUNDI LAKE
 
Bashe is right. Ndiyo maana tunasema ni muhimu kuchagua vipaumbele kwa umakini mkubwa. Ili tujenge hiyo reli kwa fedha za kodi zetu wenyewe, ni lazima vijana wetu wakose mikopo ya vyuo, dawa hospitali zikosekane, miradi ya maji isiendelee, n.k. Would you do that? Mtu anayefikiria kuwa na alternative means za kujenga hiyo reli, is very intelligent. Na mtu huyo hawezi kuwa kwenye kile chama...kama yuko huko, basi atakuwa ni very unpopular sana huko.
 
JPM keshawaambia yeye ni dereva makini. imbeni, lieni, tukaneni, sinzieni fanyeni lolote. ila uhakika ni kwamba atawafikisha, tena atawafikisha salama salimini. kwa hiyo, tulizeni mzuka, hata mkilalamika vipi, mtafika tuu, 2025 sio mbali sana panapo majaaliwa.

hayo mengine mnapoteza muda tu bure, JPM hakwamishwi, mtakwama nyie msioona hata zuri moja la serikali ya CCM.

kama vipi mi nawaomba UKAWA MFE kwanza, siku ikiingia serikali ya UKAWA madarakani (nadhani mwaka 3000) ndio mfufuke pengine serikali yenu itafanya mnavyotaka nyie.

UKAWA wakubwa nyie.

Kwa hiyo na wewe n wale wanaoamini mwaka 2020 Tanzania itakuwa nchi ya viwanda?? are you honest even to yourself?
 
*Why are blacks not wealthy*

An interview with a Jewish leader about Blacks.

INTERVIEWER:
Why are blacks so behind Economically?

JEWISH LEADER:
The only thing blacks understand is Consumption.

Blacks don't understand the importance of creating and building wealth.

Ukisoma comment za watu humu utaona jinsi gani haowaoni uwekezaji unaofanywa na serikali kua ni wa muhimu all they talk & suggest is how to consume our tax collections ,mara madawa(which they want for free or the cheapest amount possible) while afya kwa inchi za wenzetu ni very expensive,huna bima itakula kwako & Elimu bure and the likes...and for that tutaendelea tu kua Taifa maskini hakuna namna until we change our mind set...

Usipotoshe. Hakuna mtu anapinga uwekezaji unaofanywa. Wengi wana tatizo na namna unavyofanywa, na wana sababu za msingi na nzito za kusema wanachosema. Don't dramatize things for no reasons
 
Huu ni mchango wa Bashe mbunge wa nzega.

Hataki serikali itumie fedha za makusanyo kufanyia miradi na mfano alioutoa ni ujenzi wa Reli ya Kati ambayo imekuwa ni kiunganishi kikubwa kati ya mikoa ya mashariki na magharibi .
Badala yake anataka serikali itumie PPP.
Mtu mwenye akili hawezi toa maoni yake kwa uzi uliokaa hivi!Huwezi weka sentesi moja ukaeleweka!
 
Gharama za vyakula kweli zipo juu..uongozi uliopo madarakani..angalieni miradi ambayo italenga moja kwa moja maendeleo ya MTU mwenye kipato cha chini..wataalamu wa uchumi mtusaidie..maisha ni magumu sana.wananchi ni waoga kusema ukweli.hali ni ngumu.
Are you aware that bad infrastructure hastens inflation? Haven't you heard farmers complaining that due to poor roads their produce rot in store? In that case, which one should come first? I hope you have the answer.
 
jamaa anaakili kwa watu wa procurement nadhani wanaelewa PPP hyo ndo staili tunatakiwa kuwekeza kupunguzia mzigo serikali yetu na wananchi wasiolewa watabishabisha tu...mikataba ya PPP ikisimamiwa vizuri nchi itaendelea vizuri sanaa na miradi itakamilika katika wakati bila shida yoyote
 
Hivi Watz mbona mnakuwa wavivu kufikiri? Kwani zikija hata kampunni 20 zikijiunga kujenga hiyo reli kuna shida gani? Hizo hela ambazo serikali ingetoa kujengea reli si ndio zingenunua dawa, kukopesha wanafunzi na kuboresha kilimo? Hamuoni mfano wa daraja la Kigamboni?
 
Back
Top Bottom