yamindinda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2011
- 1,589
- 1,320
hiyo PPP anayoitaka Bashe ni PPP ipi......maana sekta binafsi Tanzania bado changa sana.
Bashe ni msomali hawezi kujua umuhimu wa kutumia pesa za ndani
Yani mnajua kabisa jamaa ni msomali na bado mkampa ubungeToka lini Msomali akawa na uchungu na Tanzania?
Hisia za ubaguzi kamwe hazijawahi kuwa msaada mahalu popote. Tujifunze kutumia akili zetu kujibu au kupinga hoja. Jipange Lizaboni toka huko ulikoToka lini Msomali akawa na uchungu na Tanzania?
Kwani uongo?Alafu huyo Bashe" ana ndugu yake kule nchini South Africa" ni msomali mwenzie
ndo kalikuwa Kabosi kangu.....Aisee
SIKAPENDI.....!!! Aipiti siku bila kuikashifu
Tanzania....utamsikia.....hahahahahh....
njoo uwone nchi yenu inavyouzwa huku...
hahahah.....watanzani hamuna akili na musipoangalia WASOMALI tunaweza ichukua nchi......hahahha!
Alikuwa anamalizia kwa kusema......
Bola wewe ulivyoikimbia Tanzania....
We komaa tu hapahapa South...kikinuka tuunawaita ndugu zako au vp.....?!?
Eti anajidai ni msukumaHata MNYARWANDA hawezi kuwa na UCHUNGU na Tanzania.
Hizo kampuni 20 kutoka wapi? embu tuwe realistic....hakuna kampuni binafsi ambayo inaweza kuja kuwekeza kwenye massive public construction kama SGR. Alafu lazima ujue political economy behind the sence......wafanyabiashara wengi lazima watatafuta kila mbinu kuhakikisha kuwa huo mradi wa SGR hauanzi kwa sababu zifuatazoHivi Watz mbona mnakuwa wavivu kufikiri? Kwani zikija hata kampunni 20 zikijiunga kujenga hiyo reli kuna shida gani? Hizo hela ambazo serikali ingetoa kujengea reli si ndio zingenunua dawa, kukopesha wanafunzi na kuboresha kilimo? Hamuoni mfano wa daraja la Kigamboni?
Na Mh: Magufuli...anapolishughulikia hilo..Kwani uongo?
Leo resources zote wanamiliki wageni
Migodi yote wanawaibieni kwa mikataba mibovu
3% zenu 97% zao
Iptl ,dowans ,Richmond,stanbic nk
Nchi mmeiuza kwa mikataba ya kipumbavu
Hizo kampuni 20 kutoka wapi? embu tuwe realistic....hakuna kampuni binafsi ambayo inaweza kuja kuwekeza kwenye massive public construction kama SGR. Alafu lazima ujue political economy behind the sence......wafanyabiashara wengi lazima watatafuta kila mbinu kuhakikisha kuwa huo mradi wa SGR hauanzi kwa sababu zifuatazo
1. Ukijenga SGR inamaanisha unapunguza gharama za usafirishaji wa mazao kutoka rural kuja mijini....maana trip moja inaweza ikabeba mpaka mabehewa 70.
2. ukijenga SGR inamaanisha unapunguza gharama za input/raw materials kwa ajili ya uzalishaji kwenye kilimo na viwanda kwenye mikoa ambayo hiyo reli itapita...kwa sababu treni itakuwa na uwezo wa kubeba mzigo mkubwa kwa mara moja kutoka bandarini na kupeleka upcountry kwa bei nafuu
3. Chain nzima ya wafanyabiashara wa malori lazima watatafuta mbinu yoyote ile kuhujumu huo mradi (Wenye malori, Wauza vipuli, Madereva, na hata viwanda vya spea na malori yenyewe)
hivyo nashauri huyo Bashe kama anasapoti ujenzi wa SGR kwa PPP aeleze ni PPP zipi, wana Pesa kiasi gani na tujue je wana interest zipi???
Huyo muhamiaji haramu hana cha kupoteza akiwa hapa Tz, anakaa na wahujumu wenzie ili kuiharibu nchi yetu
Soma coment za watu ktk hii thread ili ujue msingi wa hoja yangu sio kukurupa ukasoma maoni yangu then uka make conclusion....Usipotoshe. Hakuna mtu anapinga uwekezaji unaofanywa. Wengi wana tatizo na namna unavyofanywa, na wana sababu za msingi na nzito za kusema wanachosema. Don't dramatize things for no reasons
Mna fedha gani nyie, wahisani wamejitoa ndio maana budget inayomalza muda wake imetekelezeka kwa 34% tu, Wahisani wamegoma kutoa mipunga yao kwenye nchi ambayo Wananchi wanashinda na njaa ila Faru Fausta anakula msosi wa Milioni 64 kwa Mwezi.
Baada ya kukosa hela za wahisani ndio wamepandisha makodi kila mahala ili angalau wapate pate hela za madafu matokeo yake kila kitu sokoni kimepanda bei, Aliingia Sembe ilikuwa inauzwa 1200/- leo hii imepanda kwa 100% Sembe inauzwa 2400.
Hahahaaa...Mwafaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji115] [emoji115] vp kuhusu katibu mkuu.Toka lini Msomali akawa na uchungu na Tanzania?
Mumegubdua lini kuwa msomali wakati mumempa ubunge,na wengine nyadhifa kubwa zaidi.
Acha mbwembwe wwe daraja la kigambon vp ?PPP iko wapi mpaka sasa.
Sekta binafsi kwa taifa letu baado sana. Watu wanafikiri Ulaya na Marekani walianza na PPP!! Walianza kama sisi na mwisho sekta binafsi wakaona inawalipa ndo wakaanza kuendesha.
Tumenunua zile takataka za kupaa angani na tumeona ilivyotugharimu mpaka sasa.
Kwa sasa bei ya vyakula ipo juu, naona ni vyema hizo pesa ziwekezwe kwa wakulima ili kupunguza ukali wa maisha.
mkuu, hata kujisaidia haja kubwa dining room nayo ni maamuzi pia.Hayo nimaoni yake
Siyo lazima Tuyafuate
Ilisha amliwa kutumia mapato yetu yandani
Hakuna lingine
Lianzisheni tu target sio wasomali target ni" kanzu"anzieni ndani ya chama hiyo game plan imeshafeli.na kwa taarifa yakosio mchwa wote watakuwa kumbikumbiNa ndo maana tunataka kuharibu ule mfumo.....UNATAKA KULA TU...BILA
KULIWA........?!?
Tutawafyeka wote" Hapa Kazi Tu....
Watanzania wenye mawazo taka bado wengi sana, hata wangepewa na pesa kila mwezi bado kuziondoa taka kichwani ni ngumu sana!Tumenunua zile takataka za kupaa angani na tumeona ilivyotugharimu mpaka sasa.
Kwa sasa bei ya vyakula ipo juu, naona ni vyema hizo pesa ziwekezwe kwa wakulima ili kupunguza ukali wa maisha.